Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa msaada wa Penalty za FERNANDES mbona iko wazi hiyo Mkuu.

Sema ule mpenat ulikuwa nje ya 18 au vipi mkuu

Liverpool FC's only win so far this year was against Aston Villa FC's academy

IMG_0099.jpg
 
Sasa manchester united na carabao wap na wapi na ww yale ndio makombe ya pep makombe ya ulaya hawez kubeba bila mess soma ubao hapo juu

Mngetufunga kwenye ligi tungeona pep kajitahidi tunakuja kuwapigia hapo hapo empty had kama mwaka jana tumepiga nje ndani
Huna uwezo wa kumfunga city ,ile draw sijui mlitoa wapi
EPL

Man utd - man city (0-0)

Carabao

Man utd -man city (0-2)

EPL

Man city -man utd(???)
 
Huna uwezo wa kumfunga city ,ile draw sijui mlitoa wapi
EPL

Man utd - man city (0-0)

Carabao

Man utd -man city (0-2)

EPL

Man city -man utd(???)

Ktk vi timu ambavyo sijishughulishi navyo ni hicho ki timu chako cha kuzuka kama uyoga ukiwa unakuja hapa hakikisha kamebeba makombe ya ulaya na dunia kwa ngaz ya club sio unatusumbua hapa wakat makombe unayobeba anabeba leicester city na arsenal

Hapa tunatakiwa kukamiana na watu wa liverpool,chelsea au hata aston villa na nottingham forest hao wanamakombe ya ulaya sio hiyo timu ya mafuta kwa hiyo city nenda kwenye jukwaa la arsenal,spurs na leicester city hizo ndio saiv yako
Utakapo anza kushinda uefa uje hapa kwa wakubwa

Jana zilikuwa zinacheza timu kubwa uingereza mababa ya mpira nyie vidagaa kaa kwa kutulia
 
Ktk vi timu ambavyo sijishughulishi navyo ni hicho ki timu chako cha kuzuka kama uyoga ukiwa unakuja hapa hakikisha kamebeba makombe ya ulaya na dunia kwa ngaz ya club sio unatusumbua hapa wakat makombe unayobeba anabeba leicester city na arsenal

Hapa tunatakiwa kukamiana na watu wa liverpool,chelsea au hata aston villa na nottingham forest hao wanamakombe ya ulaya sio hiyo timu ya mafuta kwa hiyo city nenda kwenye jukwaa la arsenal,spurs na leicester city hizo ndio saiv yako
Utakapo anza kushinda uefa uje hapa kwa wakubwa

Jana zilikuwa zinacheza timu kubwa uingereza mababa ya mpira nyie vidagaa kaa kwa kutulia
Siku zote nasemaga shabiki kilaza kama huyu mpumbavu ambaye hajielewi kutembelea historia za wanaume wenzake walizo Fanya ,badala akaze tako lake apambane ,ndio maana nasema shabiki wa man u ni zaidi ya vilaza na matakataka

Yanafikili akina Rooney ,ronaldo ,bado wapo hapo OT ,miaka 8 hayana EPL ila kazi ni kutembelea mafanikio ya AF ,

Wewe ni mjinga tu kama unashindwa kutofauti wakati uliopita ,uliopo na unaokuja (past,present and future )rudi shule ukaosome

Umepoteza school fees kwa kwenda kusomea ujinga ,hujui ,hujitambui na hujielewi

Kubishana na matakataka kama haya ni matumizi mabaya ya akili

Idiot!!
 
Siku zote nasemaga shabiki kilaza kama huyu mpumbavu ambaye hajielewi kutembelea historia za wanaume wenzake walizo Fanya ,badala akaze tako lake apambane ,ndio maana nasema shabiki wa man u ni zaidi ya vilaza na matakataka

Yanafikili akina Rooney ,ronaldo ,bado wapo hapo OT ,miaka 8 hayana EPL ila kazi ni kutembelea mafanikio ya AF ,

Wewe ni mjinga tu kama unashindwa kutofauti wakati uliopita ,uliopo na unaokuja (past,present and future )rudi shule ukaosome

Umepoteza school fees kwa kwenda kusomea ujinga ,hujui ,hujitambui na hujielewi

Kubishana na matakataka kama haya ni matumizi mabaya ya akili

Idiot!!

Wewe ndio utakuwa kilaza timu kubwa inatambulika kwa lipi? Ndio maana unashabikia timu ndogo kwa sababu ya akili ndogo

pep kocha wako manchester united na city yupi mkubwa?

Liverpool unaweza kuiweka mizani moja na wauza mafuta? Kwa nini hazikai pamoja ni historia iliyojengwa kwa mafanikio wewe mbulula

IMG_0101.png


Kocha wako mwenyewe anatambua anafundisha ka timu ka dogo wewe wa shitimbi unaongea ugolo hapa ndio maana nimekwambia ukiwa unakuja hapa hakikisha umejikoki kwa mataji sio unabeba vi carabao na epl unakuja kusumbua magiant

Tena kasema liverpool na manchester united hizo ndio timu kioo uingereza
Hizo zingine mnajijua ndio maana nasema uwe unashinda huko sio hili jukwaa



Wewe na kocha wako nani mwenye matumizi mabovu ya akili? Wazazi wameuza ng'ombe kusomesha ng'ombe mwingine.
 
Hizi devil zikishinda ni matatizo

Burnley kashinda anfield kaona kawaida ,sipati picha hizi nyumbu zingevunja unbeaten run ya anfield

But united ni team ya kawaida sana ,haichezi kibingwa,bado sanaa

Round ya Pili inakuja
Si ulitabiri kuwa kwa liver united lazima ipigwe. Well?
What happened?
Oh burnley kuifunga liver wanaona kawaida? Uliona reaction ya kocha wao na mashabiki? Mashabiki walishangilia mbaya. Mid table team kuifunga top team kama liver halaf waona kawaida umeona wapi?

Ww ni wa kutabiri mabaya kila mechi ya united inayokuja. Adui muombee njaa.. united inasonha mbele
 
Wewe ndio utakuwa kilaza timu kubwa inatambulika kwa lipi? Ndio maana unashabikia timu ndogo kwa sababu ya akili ndogo

pep kocha wako manchester united na city yupi mkubwa?

Liverpool unaweza kuiweka mizani moja na wauza mafuta? Kwa nini hazikai pamoja ni historia iliyojengwa kwa mafanikio wewe mbulula

View attachment 1685641

Kocha wako mwenyewe anatambua anafundisha ka timu ka dogo wewe wa shitimbi unaongea ugolo hapa ndio maana nimekwambia ukiwa unakuja hapa hakikisha umejikoki kwa mataji sio unabeba vi carabao na epl unakuja kusumbua magiant

Tena kasema liverpool na manchester united hizo ndio timu kioo uingereza
Hizo zingine mnajijua ndio maana nasema uwe unashinda huko sio hili jukwaa



Wewe na kocha wako nani mwenye matumizi mabovu ya akili? Wazazi wameuza ng'ombe kusomesha ng'ombe mwingine.
Unazidi kuonesha namna gani wewe ni kilaza hadharani !

Huna tofauti na mtoto anayejivunia utajiri aliokuwa nao baba yake enzi hizo wakati kwa sasa yeye ni kapuku

Utd ya sasa ni utopolo tu hakuna namna ya kuficha ,unagoogle mambo waliyofanya wenzio huko nyuma yatakusaidia kuchukua EPL saizi ?

Tupo 2021 unaongelea mambo ya karne zilizopita huko ,wewe kama sio kilaza ni nan

Ongelea utd ya sasa kenge wewe ,
 
Unazidi kuonesha namna gani wewe ni kilaza hadharani !

Huna tofauti na mtoto anayejivunia utajiri aliokuwa nao baba yake enzi hizo wakati kwa sasa yeye ni kapuku

Utd ya sasa ni utopolo tu hakuna namna ya kuficha ,unagoogle mambo waliyofanya wenzio huko nyuma yatakusaidia kuchukua EPL saizi ?

Tupo 2021 unaongelea mambo ya karne zilizopita huko ,wewe kama sio kilaza ni nan

Ongelea utd ya sasa kenge wewe ,

Pep alikuwa akiongolea 2010? Kenge hapa kati ya pep na ww nani kenge mkubwa sasa
IMG_0101.png
 
Pep alikuwa akiongolea 2010? Kenge hapa kati ya pep na ww nani kenge mkubwa sasa View attachment 1685687
Endelea kutembelea mafanikio ya AF ,kwa sababu wewe saizi ni mburula huna la kuongea

Watoto wa mjin Manchester, the citizen ndio madon kwa sasa

Tunapiga pila tik tak tunawasubili etihadi tuwakule ,na kuwatoa huo ushetani mliojivika

Hahaaaaaa
 
Endelea kutembelea mafanikio ya AF ,kwa sababu wewe saizi ni mburula huna la kuongea

Watoto wa mjin Manchester, the citizen ndio madon kwa sasa

Tunapiga pila tik tak tunawasubili etihadi tuwakule ,na kuwatoa huo ushetani mliojivika

Hahaaaaaa

Msome kocha wako anajua nani wa mjini
IMG_0101.png
 
Hata kusoma hujui tuliza akili usiwe kama kuku mwenye mdondo nimekuuliza hapa pep alipokuwa akiongea haya ulikuwa mwaka 2010?
View attachment 1685690
Tatizo unapapara kama unaoga nje
Mpaka sasa

Sioni mnalengo gani kwanza

Uefa out

Carabao out

EPL hamna pumzi (hili linajulikana ila mmekaza kichwa na ubongo kama chuma cha pua et mtachukua )

Fa ,nasema hivi bila kumungunya maneno utd inataka fa ,ila bahati mbaya uwezo wa kuchukua huna

So mwaka huu mnaambulia

Zero trophies
 
Mpaka sasa

Sioni mnalengo gani kwanza

Uefa out

Carabao out

EPL hamna pumzi (hili linajulikana ila mmekaza kichwa na ubongo kama chuma cha pua et mtachukua )

Fa ,nasema hivi bila kumungunya maneno utd inataka fa ,ila bahati mbaya uwezo wa kuchukua huna

So mwaka huu mnaambulia

Zero trophies

Wewe kwa utabiri nani wa kukushinda tatizo kamali unazobet unaleta hadi huku rudi huku
IMG_0101.png


Huko mm sipo kesho yangu siijui

Pep kasema ka manchester city kanahitaji kushinda makombe ili awe kama baba lao manchester united rol model wenu yaani

Huo ndio mjadala hayo ya kushinda makombe hata ka manchester city hakana uhakika achana na kamari
 
Back
Top Bottom