radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kwa msaada wa Penalty za FERNANDES mbona iko wazi hiyo Mkuu.
Sema ule mpenat ulikuwa nje ya 18 au vipi mkuu
Liverpool FC's only win so far this year was against Aston Villa FC's academy

Kwa msaada wa Penalty za FERNANDES mbona iko wazi hiyo Mkuu.

Huna uwezo wa kumfunga city ,ile draw sijui mlitoa wapiSasa manchester united na carabao wap na wapi na ww yale ndio makombe ya pep makombe ya ulaya hawez kubeba bila mess soma ubao hapo juu
Mngetufunga kwenye ligi tungeona pep kajitahidi tunakuja kuwapigia hapo hapo empty had kama mwaka jana tumepiga nje ndani
Huna uwezo wa kumfunga city ,ile draw sijui mlitoa wapi
EPL
Man utd - man city (0-0)
Carabao
Man utd -man city (0-2)
EPL
Man city -man utd(???)
Siku zote nasemaga shabiki kilaza kama huyu mpumbavu ambaye hajielewi kutembelea historia za wanaume wenzake walizo Fanya ,badala akaze tako lake apambane ,ndio maana nasema shabiki wa man u ni zaidi ya vilaza na matakatakaKtk vi timu ambavyo sijishughulishi navyo ni hicho ki timu chako cha kuzuka kama uyoga ukiwa unakuja hapa hakikisha kamebeba makombe ya ulaya na dunia kwa ngaz ya club sio unatusumbua hapa wakat makombe unayobeba anabeba leicester city na arsenal
Hapa tunatakiwa kukamiana na watu wa liverpool,chelsea au hata aston villa na nottingham forest hao wanamakombe ya ulaya sio hiyo timu ya mafuta kwa hiyo city nenda kwenye jukwaa la arsenal,spurs na leicester city hizo ndio saiv yako
Utakapo anza kushinda uefa uje hapa kwa wakubwa
Jana zilikuwa zinacheza timu kubwa uingereza mababa ya mpira nyie vidagaa kaa kwa kutulia
Siku zote nasemaga shabiki kilaza kama huyu mpumbavu ambaye hajielewi kutembelea historia za wanaume wenzake walizo Fanya ,badala akaze tako lake apambane ,ndio maana nasema shabiki wa man u ni zaidi ya vilaza na matakataka
Yanafikili akina Rooney ,ronaldo ,bado wapo hapo OT ,miaka 8 hayana EPL ila kazi ni kutembelea mafanikio ya AF ,
Wewe ni mjinga tu kama unashindwa kutofauti wakati uliopita ,uliopo na unaokuja (past,present and future )rudi shule ukaosome
Umepoteza school fees kwa kwenda kusomea ujinga ,hujui ,hujitambui na hujielewi
Kubishana na matakataka kama haya ni matumizi mabaya ya akili
Idiot!!
Si ulitabiri kuwa kwa liver united lazima ipigwe. Well?Hizi devil zikishinda ni matatizo
Burnley kashinda anfield kaona kawaida ,sipati picha hizi nyumbu zingevunja unbeaten run ya anfield
But united ni team ya kawaida sana ,haichezi kibingwa,bado sanaa
Round ya Pili inakuja
Kunywa chai kwanza bro. Umeamka na povu kama lote.Nyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,!
Uzuri mkifunga mnakuja kuvimba ,mlivopigwa 2-0 mlitulia kama bikra aliyepasuliwa malinda
Unazidi kuonesha namna gani wewe ni kilaza hadharani !Wewe ndio utakuwa kilaza timu kubwa inatambulika kwa lipi? Ndio maana unashabikia timu ndogo kwa sababu ya akili ndogo
pep kocha wako manchester united na city yupi mkubwa?
Liverpool unaweza kuiweka mizani moja na wauza mafuta? Kwa nini hazikai pamoja ni historia iliyojengwa kwa mafanikio wewe mbulula
View attachment 1685641
Kocha wako mwenyewe anatambua anafundisha ka timu ka dogo wewe wa shitimbi unaongea ugolo hapa ndio maana nimekwambia ukiwa unakuja hapa hakikisha umejikoki kwa mataji sio unabeba vi carabao na epl unakuja kusumbua magiant
Tena kasema liverpool na manchester united hizo ndio timu kioo uingereza
Hizo zingine mnajijua ndio maana nasema uwe unashinda huko sio hili jukwaa
Weiterleitungshinweis
www.google.com
Wewe na kocha wako nani mwenye matumizi mabovu ya akili? Wazazi wameuza ng'ombe kusomesha ng'ombe mwingine.
Unazidi kuonesha namna gani wewe ni kilaza hadharani !
Huna tofauti na mtoto anayejivunia utajiri aliokuwa nao baba yake enzi hizo wakati kwa sasa yeye ni kapuku
Utd ya sasa ni utopolo tu hakuna namna ya kuficha ,unagoogle mambo waliyofanya wenzio huko nyuma yatakusaidia kuchukua EPL saizi ?
Tupo 2021 unaongelea mambo ya karne zilizopita huko ,wewe kama sio kilaza ni nan
Ongelea utd ya sasa kenge wewe ,
Kunywa chai kwanza bro. Umeamka na povu kama lote.
Unaona ulivotahiraPep alikuwa akiongolea 2010? Kenge hapa kati ya pep na ww nani kenge mkubwa sasa View attachment 1685687
Endelea kutembelea mafanikio ya AF ,kwa sababu wewe saizi ni mburula huna la kuongeaPep alikuwa akiongolea 2010? Kenge hapa kati ya pep na ww nani kenge mkubwa sasa View attachment 1685687
Endelea kutembelea mafanikio ya AF ,kwa sababu wewe saizi ni mburula huna la kuongea
Watoto wa mjin Manchester, the citizen ndio madon kwa sasa
Tunapiga pila tik tak tunawasubili etihadi tuwakule ,na kuwatoa huo ushetani mliojivika
Hahaaaaaa
Mpaka sasaHata kusoma hujui tuliza akili usiwe kama kuku mwenye mdondo nimekuuliza hapa pep alipokuwa akiongea haya ulikuwa mwaka 2010?
View attachment 1685690
Tatizo unapapara kama unaoga nje
Mpaka sasa
Sioni mnalengo gani kwanza
Uefa out
Carabao out
EPL hamna pumzi (hili linajulikana ila mmekaza kichwa na ubongo kama chuma cha pua et mtachukua )
Fa ,nasema hivi bila kumungunya maneno utd inataka fa ,ila bahati mbaya uwezo wa kuchukua huna
So mwaka huu mnaambulia
Zero trophies