NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,945
- 12,695
★saa 4 tukutane kwenye supu ya JOGOO wa London
★
★
Kesho tunaamka saa ngapi jamani?
★
Kesho tunaamka saa ngapi jamani?
Man u fans we need security






Niliwahi kusema hilo pogba not for sell.Lile liwakala la Pogba liache us.enge,kijana atulie acheze mpira ashinde trophy hapa Uingereza.
Pogbooomm..ametulia sana.
Tatizo hajakaa kiubingwa kabisaaaaNina imani mzee mwenzangu siku hizi huna wasisi na Sorskjaer?
Asalaam alyeikumJamaa ulitupa simu kabisa nini? Wasamaria wema wamekuletea?
Huna machoToka nimejiunga jf sijawah kuona jukwaa la manchester city hivi lipo kweli? Wewe utakuwa kashabiki ka arsenal unajifichia manchester city
Nyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,!Toka nimejiunga jf sijawah kuona jukwaa la manchester city hivi lipo kweli? Wewe utakuwa kashabiki ka arsenal unajifichia manchester city
Umefufuka sahiviNyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,!
Uzuri mkifunga mnakuja kuvimba ,mlivopigwa 2-0 mlitulia kama bikra aliyepasuliwa malinda
Mashabiki wa burnely ulikutana nao wapi hadi ujue waliona kwaida?Hizi devil zikishinda ni matatizo
Burnley kashinda anfield kaona kawaida ,sipati picha hizi nyumbu zingevunja unbeaten run ya anfield
But united ni team ya kawaida sana ,haichezi kibingwa,bado sanaa
Round ya Pili inakuja
Mashabiki wa burnely ulikutana nao wapi hadi ujue waliona kwaida?
Nyie manyumbu tunawatamani sis man city kudaddddek tukutane ,!
Uzuri mkifunga mnakuja kuvimba ,mlivopigwa 2-0 mlitulia kama bikra aliyepasuliwa malinda
Kila nikiamka kuna sauti ya bruno inanambia lala kijanaUmeamka na furaha ukiwa wapi??
Kila nikiamka kuna sauti ya bruno inanambia lala kijana