Aelknes
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 249
- 624
Wakitaka Bruno atulie, wakubali tu kwamba Bruno ni zaidi KDB
Vinginevyo Bruno ataendelea kuwaumiza sana![]()
Mkuu ebu acha kumfananisha Bruno na hiyo vitu vya ajabu😀😀
Wakitaka Bruno atulie, wakubali tu kwamba Bruno ni zaidi KDB
Vinginevyo Bruno ataendelea kuwaumiza sana![]()
Karibu ushabikie chama la kibaba, achana na timu za uwani hizo!Paka faulo ndo mshinde? Hamna timu..
Wakitaka Bruno atulie, wakubali tu kwamba Bruno ni zaidi KDB
Vinginevyo Bruno ataendelea kuwaumiza sana![]()



Na hayataonekana humu wiki nzima hii, hawa viande ilikuwa tumalizane nao toka wiki iliyopita, hakuna timu ya kutuzuia msimu huu![]()
Ilinishangaza hili tukioRobertson anamzuia Greenwood kwa makelel hali mbaya mjini liverpool View attachment 1685328
Jamaa wana wivu wale acha kabisaWamefungwa Liverfool ila machelshit ndo yaliyoumia![]()
Uhm!!!!!Mkuu ebu acha kumfananisha Bruno na hiyo vitu vya ajabu![]()
Shukran mkuu, huu ndio ushabiki bhn![]()
Na bado mwaka huu.Hongereni Man U kwa kushinda kwa mbinde kwenu kombe la Mbuzi.
Majogoo yatatetea ubingwa wao EPL
Yule jamaa anayeongea Utumbo kama amekalia kitu kigumu kilichopakwa vaseline yuko wapi!??![]()
Umenifanya niichungulie hii comment. Fuentte, mwaka jana alinishtua sana aliposema tumuuze Paul halafu tumnunue Thiago.Pogba anapiga kazi kwa sasa
fuentte,
Naamini labda ulikuwa umetoka usingizini uliposema tumuuze Paul Pogba endapo akija Thiago. Hapa umeteleza tena sio kidogo Jombaa, sizungumzi labda kwa mahaba pale Uingereza ni viungo wawili tu, Kevin De Bruyne na Bruno Fernandes pekee wana uwezo wa kumkaribia Paul akiamua kucheza mpira seriously.
Usifanye mzaha na Paul, yupo very talented almost 10 times ya huyo Thiago regardless ya majukumu wafanyayo uwanjani. Kitu pekee ambacho watu wengi hatukipendi kutoka kwa Paul ana behavioral inconsistency, ni mtu mwenye ushawishi hasi kwa wenzie ktk vyumba vya kubadilishia nguo hasa hasa akiwa kachukizwa labda na benchi la ufundi au mashabiki au yule wakala wake mwenye tamaa, Mino Raiola.
Kumuuza Paul na kumleta Thiago ni sawa na PSG wamuuze Kylian Mbappe halafu wamlete Jamie Vardy. Tunahitaji tuwe na world class wengi na sio kupunguza, Paul auzwe pindi akianza tabia zake za hovyo ila sio kwa sababu ya kiwango.
VdB usituangushe..
Umeumia auu tupake mate mkuu![]()
Nikiwa kijichi uwakiki bar
Jamaa ulitupa simu kabisa nini? Wasamaria wema wamekuletea?Nikiwa kijichi uwakiki bar
Na sisi kama Gunners tunapenda mje mkiwa mmejiamini sio kinyonge,km kipindi kile mmefunga psg still mkapasuka hapohapo getoni kwenuOle aliingia defensively zaidi siku ile ila walikuwa wafe goli mbili.
Hata mechi na Arsenal tukiingia kibabe kama leo mapema kabisa watakufa goli 4.

