Km unaona donge vile ila thats nature of footbal. Tunajua wote hayo. Bahati mbaya raha ya mpira ni pale goli linapofungwa, ni pale unaposhinda mechi, ni pale unapokuwa juu ya wengine, ni pale unapobeba ndoo.Waache wajisahau. Wanafikiri point 6 no nyingi sana wakati Man City akishinda mechi yake moja tu anakuwa wa kwanza
Kila timu inatakiwa ijiweke sehemu nzur katika mashindano yoyote mpaka mda huu hakuna mwenye uhakika wa ubingwa wa Epl, Fa, UclKitoabu nilisema mtafungwa kwakua liva ataanzisha first 11 kama alivyowafanyia Villa. Kumbe Ole kaona isiwe tabu na yeye kaweka mziki wa cd 700.
Misimu 2 nyuma Liva alikua harisk kuumiza wachezaji kwakua alikua analenga ligi au ucl safari hii anauwasha moto kwenye makombe aliyokua anayadharau. Kama Ole kaanzisha hiki kikosi katika kombe hili hii inamaanisha bado hana kipaumbele so analenga kila anachokiona hoping kimojawapo atakipata.
Mi sipendi mkifungwa. Wifi yenu ni united hua sipendi anune. Ila muangalieni Klop anaweza kua kaingia na bastola huyoKila timu inatakiwa ijiweke sehemu nzur katika mashindano yoyote mpaka mda huu hakuna mwenye uhakika wa ubingwa wa Epl, Fa, Ucl
Kipaumbele cha Timu yoyote kwa sasa ni USHINDI tu...
Arsenal vumilieni kuona vile msivyovipenda kutoka kwa Manchester United
Ila me nikuambia kua game vs Liverpool ni game ya kulinda heshima.Kitoabu nilisema mtafungwa kwakua liva ataanzisha first 11 kama alivyowafanyia Villa. Kumbe Ole kaona isiwe tabu na yeye kaweka mziki wa cd 700.
Misimu 2 nyuma Liva alikua harisk kuumiza wachezaji kwakua alikua analenga ligi au ucl safari hii anauwasha moto kwenye makombe aliyokua anayadharau. Kama Ole kaanzisha hiki kikosi katika kombe hili hii inamaanisha bado hana kipaumbele so analenga kila anachokiona hoping kimojawapo atakipata.
Ndiyo nayaona hapa. Pasuaneni tu.Ila me nikuambia kua game vs Liverpool ni game ya kulinda heshima.
Niliamini lazima Sorskjaer na yeye ataweka mziki CD 700..... ili kutunza ile heshima ya kutofungwa na Liverpool.
Hapo sasa atakae fungwa asisingizie kikosi.
Unaumia roho ukiwa wapiNdiyo nayaona hapa. Pasuaneni tu.