Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Amna,anatia tu huruma camera zikimwonyesha akiwa benchi..

Wengi wanapenda Donny apewe game time kidogo..mimi hajani-impress sana kwenye game alizopewa nafasi lakini kwa sababu ni mazingira mapya na kila mchezaji kuna namna tofauti ya kuadapt basi ni vizuri tuendelea kumpa muda.

Forums kubwa za United watu wanataka mfano kesho BF apumzishwe VdB acheze nafasi yake..wengi sana wapo concerned na development ya VdB ndani ya OT

Mi naona pale anapocheza martial au greenwood akae yy ni mzur kwenye kufunga
 
Liverpool ana odd 3 hizi ni dharau aisee

Leo mtakula kipigo kizito

Manchester city mwaka jana alikuwa na 1.48 halafu manchester united alikuwa na 8.25 kisha manchester city akafa nyumbani kwake 2-1 magoli ya martial na rashford hawa watoto last season walikuwa moto sana sijui imekuwaje kwa sasa

Namaanisha odds sio kipimo cha ubora wa timu suala ni dakika 90 ndio maana huko juu unazungumzia manchester united kubeba ubingwa kuwashinda hata mashabiki wa hii timu
 
Manchester city mwaka jana alikuwa na 1.48 halafu manchester united alikuwa na 8.25 kisha manchester city akafa nyumbani kwake 2-1 magoli ya martial na rashford hawa watoto last season walikuwa moto sana sijui imekuwaje kwa sasa

Namaanisha odds sio kipimo cha ubora wa timu suala ni dakika 90 ndio maana huko juu unazungumzia manchester united kubeba ubingwa kuwashinda hata mashabiki wa hii timu
Yote kwa yote

Liverpool win
 
UCHAMBUZI YAKINIFU

🤏 Zama hizi ulikiwa ukikutana na beki hii ulikuwa una struggle mno ni partinership ambayo ilifanya kazi aswa sehemu ya mafanikio ya fergason

🤏 lakini sasa united ya leo uwiano wao wa kuruhusu magoal unatia shaka licha ya kufanya investment kubwa eneo hilo miaka tofauti

🤏 watu kama kina blind,maguire,bailly,lindelof,bissaka na kadhalika combined ni zaidi ya £ 150 m

🤏 lakini sasa msimu huu licha kufunga goal 35 ila team imeconcede goal 25 hizi ni goal nyingi wameruhusu kuliko team zote ambazo zipo nafasi ya 2 adi 11

🤏 je ni kwamba united kwasasa inakosea kwenye recruitments

🤏 au united inasajili wachezaji wa kawaida sana mpaka sasa best defensive record epl inashikiliwa na city

🤏 je city wana beki bora kuliko united recently je hawa kina maguire hawana sprit kubwa kiuchezaji sawa na kina rio na vidic

🤏 afu utakuta united mnaponda beki team pinzani kweli united imeruhusu goal nyingi kuliko liverpool ,chelsea,arsenal,man city,leicester etc

🤏 narudia tena united inahitaji mabadiliko kiulinzi kuliko hao wengine wanaopondwa ukibisha basi ni asili yako
View attachment 1684829
 
Mkuu,,,George best kacheza man u kuanzia mwaka 1963 hadi 1974 ,,

Hakucheza na gigs wala cantona..

Au unasema George best yupi alikuwa kinda mwaka 1992?
George Best kacheza wakati sisi tunatoka kupata uhuru??!! Sikujua hilo.. ila mpira siye wakongwe kitambo sana, sasa nyie vijana mlioletwa man u na cr7 hamwezi kuijua vizur hili li dubwana manure.
#CFC
 
ukongwe wa mtu unaweza kuangaliwa on how he talks and acts..u definitely a 2000s kid

Kama una 30+ bac una delayed milestone.
Hahahahaha acha kujikuta una busara sana ..mimi nimekuambia Chelsea naijua tangu miaka ya themanini huko ..kabla hata wewe hujazaliwa maana ninyi vijana wa juzi wengi mumeletwa na cr7 2008 hapo.
Unajua man u kabla ya kocha Sir Fagason Alex alikuwa nani? Tuulize sisi wakongwe..

Ndo maana tunasema hii man u kurudi enzi ya 2008 itakuwa ngumu sana.
#CFC
 
Kwani kama Man u hawataki kumuuza AC Milan watalazimisha ?

Diogo Dalot hawezi kuwa beki wa kutegemea EPL sana sana labda abadilishiwe majukumu awe Right wing tu

Dalot anacheza vizur tu mkuu isipokuwa pengine utaifa tu yule ni bek wa kisasa labda kama sisi tunapanga kujinda zaidi
 
Unaijua Chelsea tangu miaka ya themanini?
Kwahiyo mwaka 86 ilipo shuka daraja ulishuka nayo?

Ila me naamini, mwaka Alfutisa mia themanini wewe bado uko kwenye zipu ya baba yako tu, anafunga na kufungua.
Hahahahaha acha kujikuta una busara sana ..mimi nimekuambia Chelsea naijua tangu miaka ya themanini huko ..kabla hata wewe hujazaliwa maana ninyi vijana wa juzi wengi mumeletwa na cr7 2008 hapo.
Unajua man u kabla ya kocha Sir Fagason Alex alikuwa nani? Tuulize sisi wakongwe..

Ndo maana tunasema hii man u kurudi enzi ya 2008 itakuwa ngumu sana.
#CFC
 
We mwenyewe unajua leo Livakuku hatoki OT, labda awe anapaa.
Game hii hata nyumba ya urithi naweka bondi.
Mpigeni liverpool huyo ..maana ninyi ni wateja wetu FA huwa tunawapiga sana..
Msimu huu tuna uhakika wa kubeba UEFA na FA kama tukiikosa ligi.
#CFC
 
Endeleeni kuvimba na kujipangia matokeo

Niwambie tu klopp ni bonge la genius

Leo mnakula goli 5+

Najua kuna watu wanaingia na matokeo hahahaaaa
 
Back
Top Bottom