radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Amna,anatia tu huruma camera zikimwonyesha akiwa benchi..
Wengi wanapenda Donny apewe game time kidogo..mimi hajani-impress sana kwenye game alizopewa nafasi lakini kwa sababu ni mazingira mapya na kila mchezaji kuna namna tofauti ya kuadapt basi ni vizuri tuendelea kumpa muda.
Forums kubwa za United watu wanataka mfano kesho BF apumzishwe VdB acheze nafasi yake..wengi sana wapo concerned na development ya VdB ndani ya OT
Mi naona pale anapocheza martial au greenwood akae yy ni mzur kwenye kufunga



