Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Tunashinda leo hakuna chenga hapo
George best amecheza na akina boby Charlton na Denis law..Steve James.nkGeorge Best kacheza wakati sisi tunatoka kupata uhuru??!! Sikujua hilo.. ila mpira siye wakongwe kitambo sana, sasa nyie vijana mlioletwa man u na cr7 hamwezi kuijua vizur hili li dubwana manure.
#CFC![]()
Mbona mkuu umeandika kama umekalia kitu kigumu kilichopakwa Vaseline?Leo mtatoa ndogo kwa Liverpool.
Hahahaha...Mbona mkuu umeandika kama umekalia kitu kigumu kilichopakwa Vaseline?
Hapo huumizwi kweli?
Mbona mkuu umeandika kama umekalia kitu kigumu kilichopakwa Vaseline?
Hapo huumizwi kweli?




Waache wajisahau. Wanafikiri point 6 no nyingi sana wakati Man City akishinda mechi yake moja tu anakuwa wa kwanzaUsifikili klop yeye ni kilaza namna hio aendelee kupata hayo matokeo
Liverpool bado ni teami tushio kwenye kugombania ubingwa ,kwa wanaoona wameshamaliza basi wanamatatizo
Diogo Dalot hawezi kuwa na maajabu epl akicheza kama fullback.Dalot anacheza vizur tu mkuu isipokuwa pengine utaifa tu yule ni bek wa kisasa labda kama sisi tunapanga kujinda zaidi
Sawa, kwahiyo sisi tukusaidie nini mkuu?Man utd nimeamin kuwa ni empty headed
Upo top point 40
Anayekufata anapoint 38 na game mkononi ,bado wengine difference in point zinazidiana kwa 1na 2
Mbaya zaidi anajipambanua ni bingwa
Hana consistency nzur ya kumantain win
Ukikaa chini ukatafakali man utd anajivunia nini ,unabaki mdomo wazi
Rashford
Martial
Magwaya
Bruno
Pogba
Ndio wanategemea wawape EPL
Unabaki unashangaa tu ,hawa viumbe wako na akili kwa kichwa kweli
Aisee
Eti hana consistency nzuri?..naongozaje ligi bila consistency..mara ya mwisho United kufungwa ni lini kwenye ligi?Man utd nimeamin kuwa ni empty headed
Upo top point 40
Anayekufata anapoint 38 na game mkononi ,bado wengine difference in point zinazidiana kwa 1na 2
Mbaya zaidi anajipambanua ni bingwa
Hana consistency nzur ya kumantain win
Ukikaa chini ukatafakali man utd anajivunia nini ,unabaki mdomo wazi
Rashford
Martial
Magwaya
Bruno
Pogba
Ndio wanategemea wawape EPL
Unabaki unashangaa tu ,hawa viumbe wako na akili kwa kichwa kweli
Aisee
Unaumia sana United kukaa TOP EPL..Man utd nimeamin kuwa ni empty headed
Upo top point 40
Anayekufata anapoint 38 na game mkononi ,bado wengine difference in point zinazidiana kwa 1na 2
Mbaya zaidi anajipambanua ni bingwa
Hana consistency nzur ya kumantain win
Ukikaa chini ukatafakali man utd anajivunia nini ,unabaki mdomo wazi
Rashford
Martial
Magwaya
Bruno
Pogba
Ndio wanategemea wawape EPL
Unabaki unashangaa tu ,hawa viumbe wako na akili kwa kichwa kweli
Aisee
Hapana.. Tunawategemea Origi, Tomori, Zuma, Odemwingie na Mee watupatie ubingwaRashford
Martial
Magwaya
Bruno
Pogba
Ndio wanategemea wawape EPL