Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Arsenal khabari zenu tunazo hata mkikaa kimya
Southampton 1-0 Arsenal
Southampton 1-0 Arsenal
Manutd 2-1 LiverpoolMan u nipigieni liverpool maana nyie ni wateja wangu FA.
Kwanini mkuu?VdB
Namuonea huruma sana huyu kijana.
talented, no game time ! Ningetaman hata aende somewhere kwa loan, lakn hii Ni timu kubwa , depth Ni muhimu ! Ni backup nzuri ya Bruno ama pogba endapo mmoja wapo ataumia au akapata covid,,!!! Timu nzuri inayogombania makombe lazma iwe na depth ,,, hukumbuki enzi utd benchi unamkuta mtu Kama Cole, ? Tedy ? Ama OGS ?Kwanini mkuu?
Amna,anatia tu huruma camera zikimwonyesha akiwa benchi..Kwanini mkuu?
EPL Cup haibebwi kwa degreeMan utd anaongoza league
Lakin haihitaji degree kujua kuwa hana uwezo wa kubeba EPL
Basi tuweke Banley mkuu.Futa hiyo prediksheni yako haiwezi kutokea.
Mkuu,,,George best kacheza man u kuanzia mwaka 1963 hadi 1974 ,,Mkuu Chelsea tuko toka miaka ya 92 uko wakina Giggs na George Best walikuwa ndo makinda. Wakina Erick Cantona unamjua wewe?
Mkuu hii man u tunaijua vizuri ni sisi ma fans wakongwe, ninyi vijana wa juzi hamwezi kabisa kuifahamu hii manjesta. .msimu wa jana miezi kama hii mulikuwa moto balaa ..lakini kwenye msimamo tulipishana point moja tu.
#CFC![]()
Europa league February wakicheza vizuri ni mechi 9 Hizo, plus Fa na sub za hapa na pale anaweza hata akacheza mechi 20.Amna,anatia tu huruma camera zikimwonyesha akiwa benchi..
Wengi wanapenda Donny apewe game time kidogo..mimi hajani-impress sana kwenye game alizopewa nafasi lakini kwa sababu ni mazingira mapya na kila mchezaji kuna namna tofauti ya kuadapt basi ni vizuri tuendelea kumpa muda.
Forums kubwa za United watu wanataka mfano kesho BF apumzishwe VdB acheze nafasi yake..wengi sana wapo concerned na development ya VdB ndani ya OT
Mkuu,,,George best kacheza man u kuanzia mwaka 1963 hadi 1974 ,,
Hakucheza na gigs wala cantona..
Au unasema George best yupi alikuwa kinda mwaka 1992?




























































huyo jamaa ni taahiraHuyo jamaa hatari
Hivi lini utaamukaLiverpool ana odd 3 hizi ni dharau aisee
Leo mtakula kipigo kizito
Kosa gani ?