Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenal khabari zenu tunazo hata mkikaa kimya

Southampton 1-0 Arsenal

PSX_20210123_181734.jpg
 
Kwanini mkuu?
talented, no game time ! Ningetaman hata aende somewhere kwa loan, lakn hii Ni timu kubwa , depth Ni muhimu ! Ni backup nzuri ya Bruno ama pogba endapo mmoja wapo ataumia au akapata covid,,!!! Timu nzuri inayogombania makombe lazma iwe na depth ,,, hukumbuki enzi utd benchi unamkuta mtu Kama Cole, ? Tedy ? Ama OGS ?
 
Kwanini mkuu?
Amna,anatia tu huruma camera zikimwonyesha akiwa benchi..

Wengi wanapenda Donny apewe game time kidogo..mimi hajani-impress sana kwenye game alizopewa nafasi lakini kwa sababu ni mazingira mapya na kila mchezaji kuna namna tofauti ya kuadapt basi ni vizuri tuendelea kumpa muda.

Forums kubwa za United watu wanataka mfano kesho BF apumzishwe VdB acheze nafasi yake..wengi sana wapo concerned na development ya VdB ndani ya OT
 
Mkuu hii man u tunaijua vizuri ni sisi ma fans wakongwe, ninyi vijana wa juzi hamwezi kabisa kuifahamu hii manjesta. .msimu wa jana miezi kama hii mulikuwa moto balaa ..lakini kwenye msimamo tulipishana point moja tu.
#CFC

ukongwe wa mtu unaweza kuangaliwa on how he talks and acts..u definitely a 2000s kid

Kama una 30+ bac una delayed milestone.
 
Amna,anatia tu huruma camera zikimwonyesha akiwa benchi..

Wengi wanapenda Donny apewe game time kidogo..mimi hajani-impress sana kwenye game alizopewa nafasi lakini kwa sababu ni mazingira mapya na kila mchezaji kuna namna tofauti ya kuadapt basi ni vizuri tuendelea kumpa muda.

Forums kubwa za United watu wanataka mfano kesho BF apumzishwe VdB acheze nafasi yake..wengi sana wapo concerned na development ya VdB ndani ya OT
Europa league February wakicheza vizuri ni mechi 9 Hizo, plus Fa na sub za hapa na pale anaweza hata akacheza mechi 20.
 
Back
Top Bottom