Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwanza niliwaambia ManU it was a big mistake kumuweka Moyes kurithi mikoba ya SAF, aliyefaa kurithi mikoba ya SAF ni Harry Redknap.

Kwanza, ina maana wewe unaufahamu mpira wa Uingereza kuliko SAF? Unafahamu sababu za SAF kumpendekeza Moyes? Wewe una uelewa zaidi ya bodi nzima ya United waliokubali pendekezo la SAF?

Pili, Harry angefaa kwa sababu zipi? Ana kipi cha ziada kuliko David? Amefanya nini England ambacho kinamweka kuwa ndiye angefaa kuvaa viatu vya SAF?

Moyes yeye kaingia na kuondoa back management karibu yote ya SAF na kuweka yake.

Hii ni kawaida ya mameneja. Jose uwa anahama na coaching staffs wake; alipoondoka Graham Arsenal na kisha kuja Wenger kutoka kusikojulikana, aliweka majeshi yake miezi michache tu baada ya kuwa meneja.

Mameneja wanapoenda kwenye timu mpya, upenda kujenga legacy zao. Sasa huwezi kujenga legacy kwa kutumia majeshi ya aliyekutangulia. Lazima baadhi watatemwa na wengine kuachwa; lakini wale waliokuwa vigogo katika coaching staffs, ndiyo uachwa na meneja mpya kuleta wake.

Kwa mfano, pale United coaching backroom staff waliobaki na Moyes hadi sasa ni:

1. Richard Hawkins (PhD)---huyu ni mkuu wa kitengo cha human performance. Amekuja United mwaka 2008.

2. Brian Mcclair--huyu ni director wa academy, aliyejiunga United mwaka 2002.

3. Paul Mcguiness--huyu ni kocha wa under 18, aliyejiunga na United toka mwaka 1992.

4. Rob Swire---huyu ni physiotherapist, aliyejiunga United toka mwaka 1991.

Moyes kaja na:

1. Steve Round---huyu ndiye assistant manager sasa badala ya Mike Phelan.

2. Chris Woods---huyu ni kocha mpya wa makipa anayechukua mikoba ya Eric Steele. Pia ni kocha wa makipa wa timu ya taifa ya Marekani chini ya Jurgen Klinsman.

3. Jimmy Lumsden--huyu ni kocha wa timu ya kwanza, anachukua nafasi ya Rene Meulensteen. Rene angeweza kubaki kwani David alimpatia ofa ya kazi nyingine tofauti na first team coach, lakini akakataa.

4. Robbie Cooke--huyu ni chief scout akichukua mikoba ya Martin Ferguson.

5. Phil Neville---huyu ni naye ni first team coach akisaidiana na Jimmy.

Pili alitambua kuwa anahitajika kiungo mahiri kusaidiana na Carrick....mwishowe akishia kuchukua garasha Fellaini......defenders are too soft and sloppy......

Sidhani kama meneja aliyeshinda tuzo za meneja bora wa ligi mara 3, anaweza akawa kamwona Fellaini mzuri, halafu wewe umwone galasha. Kumbuka tuzo hizo upigiww kura na mameneja wa timu za ligi. Ni SAF tu ndiye ameshinda mara nyingi zaidi yake, mara 4!

Fellaini ni mchezaji mzuri, atafit tu katika mfumo wa United.

mwaka huu ManU sidhani hata kwenye top 4 kama mtakuwepo......

Sawa..naona bongo pundits mmeng'ang'ana kweli na United kutokuwepo top 4!! Hayo uwa siyo malengo ya Man United! Eti kuwa top 4!! Man United uwa na lengo moja tu, nalo kushinda taji la ligi.

Sasa kama unafikiri kushinda taji kunahitaji sprinting start after 6 games, then you are very right on your own terms.

Ligi ni marathon running...so keep calm and enjoy the league.
 
The traveling squad is as follows:

Goalkeepers

De Gea
Lindegaard
Johnstone

Defenders

Büttner
Evans
Evra
Jones
Rafael
Smalling
Vidic

Midfielders

Carrick
Cleverley
Fellaini
Kagawa
Giggs
Nani
Valencia
Young

Strikers

Hernandez
Rooney
van Persie
Welbeck

NB: Rio na Ando hawasafiri kwa sababu ya kuwa majeruhi!
 
UEFA Champions League – Wednesday 2 October, 2013 (19:45 KO BST) – Donbass Arena, Donetsk (52,518)

The Teams

Shakhtar Shakhtar manager Mircea Lucescu on United’s current woes: “David Moyes hasn’t found his best line-up yet, as he is changing four or five players from game to game. The link-up play between their players is not as good as it used to be so the team suffers.”

Shakhtar overcame Real Sociedad 2-0 away from home on Matchday 1, with Brazilian midfielder Alex Teixeira grabbing both goals.

Summer signing Wellington Nem has had surgery on a knee injury and been left out of their Champions League squad. Warmed up for United’s visit with a 2-2 draw in the Donetsk derby on Saturday.

Shakhtar currently lie in third place in the Ukrainian Premier League with 23 points from 11 matches, 6 points behind leaders Metalist.

Luiz Adriano was Shakhtar’s only concern going into the game, but Lucescu insisted the Brazilian had trained with the team. “If nothing bad happens today (Tuesday), he will play for sure,” the Romanian manager revealed.

Predicted line-up: Pyatov, Srna, Kucher, Rakitskiy, Shevchuk, Hübschman, Fernando, Douglas Costa, Alex Teixeira, Taison, Adriano


United David Moyes looks ahead to the Shakhtar match after the poor defeat to West
Brom: “In football you’re not going to win every game so support your team,” he said. “It’s a great club with great players and we’ll do everything we can to put today’s result right.”

Robin van Persie is fit again and available for selction. “But we will make a decision tomorrow (Wednesday) whether we start him or not,” said Moyes.

Anderson, Fabio and Wilfried Zaha have not travelled to Ukraine and will therefore play no part.

Rio Ferdinand has also been left in Manchester where he will nurse a slight groin strain. “It is nothing serious but I was never bringing him anyway,” Moyes added.

Rested at the weekend, Nemanja Vidic and Patrice Evra are almost certain to return to the side.

Marouane Fellaini, who came off the bench on Saturday, is also likely to start.

Nani is available for selection after serving his suspension for his red card vs Real Madrid last season.

Ryan Giggs will hope to feature – he will set a European appearance record if he does.

Predicted line-up: De Gea, Rafael, Evans, Vidic, Evra, Carrick, Fellaini, Valencia, Giggs, Rooney, van Persie

European away record: P119 W48 D35 L36 F157 A125

Officials

Referee: Pavel Královec (CZE) In last season’s Champions League the 36-year-old official took charge of 4 matches, brandishing 19 yellow cards and awarding a single penalty. While this will be the first time he oversees a United fixture, in recent seasons he has refereed matches involving Chelsea, Arsenal, Manchester City, and England.

Assistants: Roman Slyško (SVK), Martin Wilczek (CZE)

Additional Assistants: Radek Prihoda (CZE), Michal Patak (CZE)

Fourth Official: Antonin Kordula (CZE)

Notes

Should he feature, Ryan Giggs will make a 145 appearance in the UEFA Champions League. Currently tied with Raul, the Welshman will set a new European record.

The match will be the first ever competitive encounter between the two sides. Shakhtar have won all three previous UEFA Champions League fixtures against English visitors to Donetsk. Their overall home record against Premier League sides is W4 D1 L0.

Mircea Lucescu, who has been in charge of Shakhtar since May 2004, is the Ukrainian club’s longest-serving coach.

While United have never faced Shakhtar before, they have met Ukrainian opposition in the shape of Dynamo Kiev on 4 previous occasions. The Reds are unbeaten with 3 wins and 1 draw.

Score prediction: Shakhtar 2-2 United

Source:

redmancunian.com/2013/10/02/match-preview-shakhtar-donetsk-vs-manchester-united/
 
Ngongo, nakubaliana nawe kwenye point nyingi hasa namba tatu,tangu amepewa timu Moyes amekuwa anajichanganya sana kuongea na vyombo vya habari

Alivyokuwa anazungumza issue za usajili waziwazi hasa issue ya Cesc Fabregas
Alivyosema kuwa Rooney atakuwa chaguo la pili nyuma ya RVP (buu hii limesaidia limemfanya Rooney aongeze bidii)
Last week alisema kuwa Manu inahitaji 6 world class players ili ichukue Champions League but leo amesema kuwa
target ya Manu msimu huu ni kushinda Champions league.Ngoja tuone leo mambo yatakuwaje but wachezaji wengi
wanacheza chini ya kiwango na wastahili lawama nao sio kocha peke yake
 
Last edited by a moderator:
Abilia ingieni ndani ya gali mapemaa, gali leo ndio linawaka. Na likisha waka hakuna wakulizima.
 


Carrick: "Whether we win or lose the last game we always deal with it and move on. We have had a good start in this competition.

"It is a tough place but we are looking forward to it. We are still confident going into the game."


 
Ferguson ruled out a return to the United hotseat, saying the club is in good hands with David Moyes.

"I'm not interested in managing again or getting myself worked up about Manchester United's results," he said.
"David will be fine. He's a good manager. You would be throwing your money down the drain if you put any money on me coming back as a manager.

"I made my decision. The timing was perfect. There is no way back for me now.
"I've got a new life. I want to go the Kentucky Derby and the US Masters, the Melbourne Cup. I want to visit vineyards in Tuscany and France."

 
skySportsCL: #MUFC team vs Shakhtar: De Gea, Rafael, Smalling, Vidic, Evra, Valencia, Carrick, Fellaini, Cleverley, Welbeck; van Persie: #SkyCL #UCL

Rooney is unwell...won't feature.
 
Last edited by a moderator:
Naona Moyes anaendelea kufanya rotation
 
Moyes kamuacha benchi Kagawa kamuanzisha TX Moshi nadhani ManU wenzangu mnamjua.
 
David is going for a safe option with three CMs....good starting plan...
 
Moyes kamuacha benchi Kagawa kamuanzisha TX Moshi nadhani ManU wenzangu mnamjua.

Game ngumu hii chifu..kuanza na central mids watatu naona ni plan nzuri..Kagawa ataingia tu naamini.

BTW, kama mshabiki wa Man United, kuita timu yako Man U ni dhihaka kwa timu. Ni dhihaka iliyoanzishwa na washabiki wa Leeds kisha Liverpool, wakiikejeli United juu ya ajali ya Munich iliyoua kizazi cha Busby's babes. Ebu soma kuhusu hilo, halafu uone kama ni sawa.
 
.....vipi lep mtatoka au?
Goodluck watani, you've suffered enough.
BelindaJacob x
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…