Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1381941_712527795428648_81809595_n.jpg
 
Donestk licha kuwa ni ya Ukraine, ina wachezaji wanne walioanza, ambao ni waukraine!!
 
Good start by United..possessing the ball..RvP shoots wide..8th min
 
Good move by United..but Danny fails to capitalise...16th min
 
Game ngumu hii chifu..kuanza na central mids watatu naona ni plan nzuri..Kagawa ataingia tu naamini.

BTW, kama mshabiki wa Man United, kuita timu yako Man U ni dhihaka kwa timu. Ni dhihaka iliyoanzishwa na washabiki wa Leeds kisha Liverpool, wakiikejeli United juu ya ajali ya Munich iliyoua kizazi cha Busby's babes. Ebu soma kuhusu hilo, halafu uone kama ni sawa.

Nakumbuka baada ya kufungwa goli la 4 na ManCity,Cleverley aliingia kuungana na Carick na Fellaini katikati kukawa na uhai sana,i hope hii itatusaidia sana
 
Back
Top Bottom