Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kitu tulicho regress ni Big matches, tumedrop compare na msimu uliopita, draw zimekua nyingi sana.
Ubingwa upo kwa timu ndogo ndogo ambazo ni nyingi. Hebu jaribu kufikiria Liverpool mpaka mzunguko wa kwanza unaisha hajafungwa na timu kubwa hata moja ( City - sare, United - sare, Arsenal - aliwafunga, Chelsea - aliwafunga) lakini tumemzidi alama sita na wote tuna michezo sawa 19.

Kosa kubwa linalofanyika na safu ya ufundi msimu huu wanaingia na mbinu za uoga dhidi ya timu kubwa mara nyingi Ole haiandai timu kushinda hata ukisikiliza mahojiano yake kabla ya mechi yanaonyesha wazi wazi anaingia kutafuta sare. Ile mechi ya Liverpool juzi alisema kabisa hatuwezi kuwa tunakaa nyuma muda wote, hii kauli ni wazi aliingia kutafuta sare zaidi japokuwa tulikuwa tunaweza kuwafunga bila shida kabisa.
 
Ubingwa upo kwa timu ndogo ndogo ambazo ni nyingi. Hebu jaribu kufikiria Liverpool mpaka mzunguko wa kwanza unaisha hajafungwa na timu kubwa hata moja ( City - sare, United - sare, Arsenal - aliwafunga, Chelsea - aliwafunga) lakini tumemzidi alama sita na wote tuna michezo sawa 19.

Kosa kubwa linalofanyika na safu ya ufundi msimu huu wanaingia na mbinu za uoga dhidi ya timu kubwa mara nyingi Ole haiandai timu kushinda hata ukisikiliza mahojiano yake kabla ya mechi yanaonyesha wazi wazi anaingia kutafuta sare. Ile mechi ya Liverpool juzi alisema kabisa hatuwezi kuwa tunakaa nyuma muda wote, hii kauli ni wazi aliingia kutafuta sare zaidi japokuwa tulikuwa tunaweza kuwafunga bila shida kabisa.
hatuna 6 wa kuzuia mashambulizi, hivyo tunacheza na cm wawili Fred na Mc tominay, tukicheza na hao wawili means tunabaki na watu wanne tu washambuliaji, kutokana na stength ya timu yetu counter ni approach nzuri.

hatujazifunga timu kubwa si sababu ya approach ya ole bali form yetu against timu kubwa imedrop. msimu uliopita tulicheza nao na mfumo huu huu na tukawafunga, tena kikosi kibovu zaidi. martial ni big game player msimu uliopita aliwafunga Man city, Chelsea tena home na away ila msimu huu hajawafunga, same kwa rashford, na waliobakia kina pogba na bruno so far wameonesha si big game players sana.
 
Dialo siyo chaguo la Ole..
Mkuu,, ngoja nikutafutie link,,
Atlanta walitaka wamruhusu dialo ajiunge na man u kipindi cha summer.

Lakini ole akalazimisha aje hii January sababu ana mipango nae,,
Na ndy maana dialo anafanya training na kikosi cha kwnz cha man u.

Utasemaje dialo sio mipango ya ole?

Usiwasikilize wachambuzi uchwara redioni mkuu..

Ingia kwnye link za man u.,,
Utajifunza vingi usivyovijuwa.
 
★Yeap Bruno effects na kutokuanza baadhi ya mechi akaona ohoo hawa Jamaa wapo serious kuniuza nikaze kalio
Labile kabadilika now days, drama kaziweka kando atoka jasho na damu uwanjani now, anajitoa sana kwasasa tofauti na miaka ya nyuma nadhani Bruno effect
Usajiri wa Bruno umeleta manufaa sana, uwanjani na nj'e ya uwanja,

Kuna game msimu huu nafikiri tuli'draw, Bruno akahojiwa akasema kakuta dressing wachezaji wamekasirika sana kutoshinda iyo mechi, kwake akasema kafurahi kuona winning mentality ktk kikosi
 
★Jesse Lingard has been cut from Manchester United 22 man core squad list whereas Amad Diallo has been added to it.★

#GGMU
#SamuelLuckhurst

manutd |
IMG_20210122_204102_819.jpeg
 
Sababu ana thamani kubwa na yupo Man U, timu ngapi zinaweza kuipokonya Man U mchezaji ambae wanamtaka? Ukitoa Christian Ronaldo ambae Madrid walivunja Record ya Dunia sidhani kama Kuna super star aliondoka hali ya Kuwa tunamuhutaji.

Na sio Rashford tu Hata Pogba timu ngapi Unafikiri zinaweza kum Afford? Chache sana labda tuamue kumuuza kwa bei rahisi, same kwa Bruno na masuper star wengine.
Mkuu natamani sana ningekuwa optimistic kuhusu timu yetu na wachezaji wetu kama wewe ila siwezi.
Rashford mwanetu lakini hana kiwango kama tunavyoaminishwa na media za malkia
Mbaya zaidi kapewa u MBE ndio kabisaa atasifiwa hadi ujinga tu
 
Tena hawa arsenal nawapania tuwapige ili kuwazima kabisa maana wanatafuta attention kupitia man utd
Kwa sasa sio saizi yetu ila utaona ole atakavyocheza nao kiuoga uoga sasa!
Sisi sasa inabidi turudi kwenye ile form ya kuanzia february mwaka jana..

And against big six inabidi tuanze kushinda sasa massively starting with Arsenal 1st February.
 
Mpaka arudi atatukuta tumewaacha point 10View attachment 1683502
Wakati mwingine unahitaji bahati mbaya kama hizi kwa wapinzani ili utwae ubingwa.
Vardy naye out anafanyiwa groin surgery.
Imebaki kuwaroga liverpool tu waendeleze form yao ya kupoteana ili tuweke gap kubwa zaidi.
Wakuu hata kama kuna namna ya kutumia paka tutumie tu mwaka huu tuimalize aibu ya miaka 8 bila ndoo.
GGMU
 
Kdb out six week

Arguero corona

Niwambie tu city ina vijana monster,mpaka sawa sijaona namna gan utd anaweza kumfunga city
 
Man utd anaongoza league

Lakin haihitaji degree kujua kuwa hana uwezo wa kubeba EPL
 
Back
Top Bottom