United inapwaya kidogo upande wa technical bench ila timu inao wachezaji wazuri kushi dana. Hata reserve wa United ni bora kuliko Liver.Basi ligi ya uingereza msimu huu ni mbovu ina maana timu zote zimeoza unawezaje kushinda ndondokela hadi kuwa wa kwanza?![]()
Nunge nunge siyo ajabuProbably ni draw hii mechi
Hatoki mtuHawa jamaa tuwapige kwao tuu