Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

True...SAF's decision was a big mistake....sasa inakula kwao.

......hahahaha....majangaaaa!
Sir Alex wanted to make sure his legacy lives on kwa kumpendekeza 5th spot manager.... What a selfish man!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Moyes kaleta uchuro mtaani, bundi mjengoni....minong'ono imeshaanza atimuliwe kabla hali haijawa mbaya zaidi......Je, SAF atarudi ulingoni japo kwa msimu huu kuja kuokoa jahazi lililoanza kuvuja mapema kiasi hiki!? Tutege masikio ili kusikia yatakayojiri katika siku za usoni.

Manchester United haipo hivyo...boardroom wana imani kubwa sana na David...na kama boardroom wana imani na kocha, hakuna kitachomtoa hapo...refer to Wenger's run without a single cup!
 
Manchester United haipo hivyo...boardroom wana imani kubwa sana na David...na kama boardroom wana imani na kocha, hakuna kitachomtoa hapo...refer to Wenger's run without a single cup!

Lakini mashabiki walikuwa wanapiga kelele "change, change change, time for change".

Sijawahi kuona man utd wanacheza vibaya vile at old trafford.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
tuanze kuzoea kuiona Man U bottom of the table. Viatu vya Sir F vikubwa mno ...
 
hehehehe....board room si wenye timu banaaaa...muulize Wenger wapenzi na washabiki walivyoamua kumjia juu ilibidi achakarike mwenyewe na ndio sababu ya Ozil kipenzi chako kutua pale mjengoni. Ngoja tusubiri kama Moyes hajawashiwa moto mkali hivi karibu kwa kuleta uchuro mtaani na boardroom itakuwa haina jinsi ni lazima itacheza ngoma ya wapenzi na washabiki.

Manchester United haipo hivyo...boardroom wana imani kubwa sana na David...na kama boardroom wana imani na kocha, hakuna kitachomtoa hapo...refer to Wenger's run without a single cup!
 
Standing Hero
988321_10151715644242746_673725831_n.jpg
 
hehehehe....board room si wenye timu banaaaa...muulize Wenger wapenzi na washabiki walivyoamua kumjia juu ilibidi achakarike mwenyewe na ndio sababu ya Ozil kipenzi chako kutua pale mjengoni. Ngoja tusubiri kama Moyes hajawashiwa moto mkali hivi karibu kwa kuleta uchuro mtaani na boardroom itakuwa haina jinsi ni lazima itacheza ngoma ya wapenzi na washabiki.

Jamani league bado mbichi sana. Underestimate ManU at your own peril
They will bounce back! Poleni watani. Bado so far the epl title is for ManU to loose.
Ngoja nikamwangalie Johnnie Football and Texas A&M
 
Lakini mashabiki walikuwa wanapiga kelele "change, change change, time for change".

Sijawahi kuona man utd wanacheza vibaya vile at old trafford.

Mashabiki siyo waamuzi chifu...ingekuwa hivyo Arsene Wenger hasingekuwa kocha wa Arsenal leo..

Uwe unasoma na kuelewa...boardroom ndio mwamuzi wa mwisho..
 
hehehehe....board room si wenye timu banaaaa...muulize Wenger wapenzi na washabiki walivyoamua kumjia juu ilibidi achakarike mwenyewe na ndio sababu ya Ozil kipenzi chako kutua pale mjengoni. Ngoja tusubiri kama Moyes hajawashiwa moto mkali hivi karibu kwa kuleta uchuro mtaani na boardroom itakuwa haina jinsi ni lazima itacheza ngoma ya wapenzi na washabiki.

Look who is talking?!? Ingekuwa mashabiki ndiyo waamuzi Wenger angekuwepo kweli leo? Toka lini mashabiki pale Emirates wamemzomea Wenger na timu, lakini aliendelea kuwepo?!?

Of all people, Arsenal's fans shouldn't say what you have said chifu...
 
article-2435181-18592BF100000578-114_964x386.jpg





article-2435181-185920F500000578-740_634x461.jpg


Wonderkid: Saido Berahino celebrates scoring West Brom's second goal against Manchester United





article-2435181-18592CCD00000578-390_634x401.jpg


Shocker: West Brom run off to celebrate with Berahino after his 67th -minute winner


article-2435181-1859457200000578-126_634x450.jpg



Can't believe it: Rooney looks on with shock as United drop out of the top ten in the Premier League


article-2435181-18591ECD00000578-771_634x372.jpg

Toppled: Manchester United's players including goalkeeper David De Gea stand dejected





article-2435181-18591E4600000578-312_634x423.jpg


Shock: Morgan Amalfitano celebrates scoring West Brom's opener at Old Trafford



article-2435181-185847FA00000578-74_634x417.jpg


Guess who? Marouane Fellaini can't watch from the substitutes bench at Old Trafford



Napita tu ..... .... .... khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mashabiki siyo waamuzi chifu...ingekuwa hivyo Arsene Wenger hasingekuwa kocha wa Arsenal leo..

Uwe unasoma na kuelewa...boardroom ndio mwamuzi wa mwisho..

Nonetheless, Moyes is in shock. Nimemwona kwenye post-match interview kama vile ka-panick.

That's is what comes with managing big teams. You're not expected to loose sort of games like these.
 
Back
Top Bottom