Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dogo hana kosa, Borrusia waliweka price tag kubwa sana kwa dogo, tukashindwa patana
Jamaa wanadai dau lililokuwa likisemwa mitandaoni si la kweli lilikuwa halifiki huko. Wanadai kilichofanya Man U washindwane nao ni length ya kipindi cha kufanya malipo waliyoipendekeza wao Dortmund
 
Kuna sehemu nimesema ighalo au nani kaanza wapi?

Unamaanisha de beek kiwango chake ni cha fa?

Unanilisha maneno. Nimekuuliza workrate yake kama wingman ikoje? Wewe unaniuliza kama hakujua shaw kama yupo.

Mbona unajiundia maneno
assume we ndo kocha wa Man U, una option ya kumuanzisha Bruno na VDB utamuanzisha yupi?

na dalili ya timu kuwa kubwa ni uwepo wa Depth nzuri. na VDB alikuwa prefered UEFA sio kwamba tu kiwango chake ni cha FA, kama unakumbuka Fred kabla ya kuwa na kiwango EPL alikuwa anacheza vizuri Champions league, hata mechi tunawatoa Psg fred alikuwa ndani, kocha huyo huyo aliemtoa fred kuwa flop mpaka kuja kuwa key player ndio anajua amtumie vipi VDB.

na kuwa sub ama Bench ole analijua zaidi, maisha yake yote alicheza hivyo na bado anaonekana kama legend, tena ni legend kushinda hao waliokuwa wanaanza badala yake.

kuhusu ighalo angalia comment yako ya nyuma ulisema alikuja akacheza aka kaa bench, nimekupa stats zake toka mwanzo hakuwa akicheza Epl anachezeshwa tu mickey mouse competition.
 
Winter is coming.

The longer the summer, the longer the winter. So, enjoy the summer while it is lasting.
 
Nilishawaambia Man U ni marufuku kumtimua Ole Guna maana timu ya Man U haina chemistry lkn inapata matokeo mazuri/nyota ya ubingwa wa EPL 2020/2021 iko kwa Kocha.

Tuombe uzima tukiwa hai mtakuja kuufufua huu ujumbe. Wakati mwingine bahati inamata zaidi ktk maisha kuliko bidii, maarifa, nguvu, mbinu na akili nyingi.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Maake naona tunawawazia Liva tuu wakati Guardiola gari imewaka
Hakuna kitu pale, kisa kamfunga Chelsea ambayo hata kuku aliyekuwa kashajifia kwa udondo/Arse8 alijipigia 3-0 hivi karibuni na kufufukia hapo? Man City alikutana na timu dhaifu yenye vipaji bora vya wachezaji kila idara lkn Kocha Lampard hakuwa na mbinu zozote kiushindi.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Jogoo amechinjwa huko sasa nafasi iko wazi pale juu.
Kila la heri maana mi ni Mshabiki wa Chelsea niliyejiandaa kuvumilia maumivu lkn nitafurahi sana mkikaa pale kileleni hadi kutwaa ubingwa wa EPL 2020/21 sababu washabiki wa Arse8 wana midomo michafu sana, nanukuu "Arsenal ndiyo kwaaaanza tumeanza ligi na tutabeba kombe la EPL 2020/21" baada ya kushinda mechi 3 mfululizo.

Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom