Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi vitu vingine vinawezekanaje?

Man u inamsajili de beek kisha internet inalipuka kuuliza atacheza wapi. Mtu unaamini kocha anajua mahitaji yake, anajua kwamba huyu atanisaidia wapi so hakuna namna usajili mpya utalamba benchi.

Anafika. Anacheza mechi mbili kutokea sub moja anaanza na kutolewa katikati ya game kisha hapa na pale halafu anarudishwa benchi.

Ighalo tayari ana uchumba na benchi, de beek ndipo anaelekea, telles no comment na cavani yupo tayari kupambana. But so are all of other bench warmers.

Unacheki game unaonyeshwa benchi unamuona de beek anang'aa uso. Sometimes wachezaji wenyewe wana shida, mfano samata, angeweza kwenda la liga na akapafom decently ila akaenda Villa same kwa de ligt, pepe na wenzao.

Unaenda timu kubwa then hutaki kujituma enough ni shida, shida kubwa ni unapojitoa ila kocha hajui akufanye nini
 
Dogo bhana kajiharibia mwenyewe chance kama hii haiji mara mbili
IMG_20210104_191855_847.jpg
 
Hivi vitu vingine vinawezekanaje?

Man u inamsajili de beek kisha internet inalipuka kuuliza atacheza wapi. Mtu unaamini kocha anajua mahitaji yake, anajua kwamba huyu atanisaidia wapi so hakuna namna usajili mpya utalamba benchi.

Anafika. Anacheza mechi mbili kutokea sub moja anaanza na kutolewa katikati ya game kisha hapa na pale halafu anarudishwa benchi.

Ighalo tayari ana uchumba na benchi, de beek ndipo anaelekea, telles no comment na cavani yupo tayari kupambana. But so are all of other bench warmers.

Unacheki game unaonyeshwa benchi unamuona de beek anang'aa uso. Sometimes wachezaji wenyewe wana shida, mfano samata, angeweza kwenda la liga na akapafom decently ila akaenda Villa same kwa de ligt, pepe na wenzao.

Unaenda timu kubwa then hutaki kujituma enough ni shida, shida kubwa ni unapojitoa ila kocha hajui akufanye nini
1. Van de beek kacheza mechi zote 6 za Uefa champions league

2. Kacheza mechi zote 3 za Efl

3. Epl kaanza 2 na sub mechi 8,

So far mechi 19, amecheza na hata kati kati ya msimu hatujafika, plus Tuna Europa na Fa cup.

Amekuja kama depth na ameifanya kazi yake ipasavyo.

Telles na cavani same so far wametimiza majukumu yao na lengo la kusajiliwa kwao tumemuona cavani akituokoa mechi kibao, Telles kajitahidi vya kutosha kama wing back na hata alivyoumia shaw alicover beki wa pembeni vizuri tu.

Jiulize swali moja timu kama Man city na Liverpool pamoja na kuwa na wachezaji walio fit kwanini majeruhi muda wote? Chelsea, Arsenal, Everton, westham etc wote ni majeruhi wa kutosha,

Then njoo Man U msimu uliopita Muda kama huu lingard na perreira wanaanza sababu ya majeruhi, ila sasa hivi timu nzima ipo fit majeruhi kwa key players Hakuna, unafikiri ni coincidence? Yote hii ni hao kina Ighalo, VDB, Cavani na Telles mnaowabeza,

Uchambuzi uchwara pekee unaotaka clicks ndio hautoona umuhimu wao.
 
1. Van de beek kacheza mechi zote 6 za Uefa champions league

2. Kacheza mechi zote 3 za Efl

3. Epl kaanza 2 na sub mechi 8,

So far mechi 19, amecheza na hata kati kati ya msimu hatujafika, plus Tuna Europa na Fa cup.

Amekuja kama depth na ameifanya kazi yake ipasavyo.

Telles na cavani same so far wametimiza majukumu yao na lengo la kusajiliwa kwao tumemuona cavani akituokoa mechi kibao, Telles kajitahidi vya kutosha kama wing back na hata alivyoumia shaw alicover beki wa pembeni vizuri tu.

Jiulize swali moja timu kama Man city na Liverpool pamoja na kuwa na wachezaji walio fit kwanini majeruhi muda wote? Chelsea, Arsenal, Everton, westham etc wote ni majeruhi wa kutosha,

Then njoo Man U msimu uliopita Muda kama huu lingard na perreira wanaanza sababu ya majeruhi, ila sasa hivi timu nzima ipo fit majeruhi kwa key players Hakuna, unafikiri ni coincidence? Yote hii ni hao kina Ighalo, VDB, Cavani na Telles mnaowabeza,

Uchambuzi uchwara pekee unaotaka clicks ndio hautoona umuhimu wao.
Nakubali Sana chambuzi zako mkuu.
 
Hivi vitu vingine vinawezekanaje?

Man u inamsajili de beek kisha internet inalipuka kuuliza atacheza wapi. Mtu unaamini kocha anajua mahitaji yake, anajua kwamba huyu atanisaidia wapi so hakuna namna usajili mpya utalamba benchi.

Anafika. Anacheza mechi mbili kutokea sub moja anaanza na kutolewa katikati ya game kisha hapa na pale halafu anarudishwa benchi.

Ighalo tayari ana uchumba na benchi, de beek ndipo anaelekea, telles no comment na cavani yupo tayari kupambana. But so are all of other bench warmers.

Unacheki game unaonyeshwa benchi unamuona de beek anang'aa uso. Sometimes wachezaji wenyewe wana shida, mfano samata, angeweza kwenda la liga na akapafom decently ila akaenda Villa same kwa de ligt, pepe na wenzao.

Unaenda timu kubwa then hutaki kujituma enough ni shida, shida kubwa ni unapojitoa ila kocha hajui akufanye nini

Mkuu sometimes hawa wachezaji huwa wanaridhika wanapoenda club kubwa au zenye majina wanaona wamemaliza...wanapopewa nafasi ya kucheza hawajitumi.
 
1. Van de beek kacheza mechi zote 6 za Uefa champions league

2. Kacheza mechi zote 3 za Efl

3. Epl kaanza 2 na sub mechi 8,

So far mechi 19, amecheza na hata kati kati ya msimu hatujafika, plus Tuna Europa na Fa cup.

Amekuja kama depth na ameifanya kazi yake ipasavyo.

Telles na cavani same so far wametimiza majukumu yao na lengo la kusajiliwa kwao tumemuona cavani akituokoa mechi kibao, Telles kajitahidi vya kutosha kama wing back na hata alivyoumia shaw alicover beki wa pembeni vizuri tu.

Jiulize swali moja timu kama Man city na Liverpool pamoja na kuwa na wachezaji walio fit kwanini majeruhi muda wote? Chelsea, Arsenal, Everton, westham etc wote ni majeruhi wa kutosha,

Then njoo Man U msimu uliopita Muda kama huu lingard na perreira wanaanza sababu ya majeruhi, ila sasa hivi timu nzima ipo fit majeruhi kwa key players Hakuna, unafikiri ni coincidence? Yote hii ni hao kina Ighalo, VDB, Cavani na Telles mnaowabeza,

Uchambuzi uchwara pekee unaotaka clicks ndio hautoona umuhimu wao.
Mzee clicks? Humu?

Nimetaja wachezaji wengi na unamuongelea de beek pekee. Umetaja games alizocheza sasa bro imekuaje haanzi tena?

Same ilikua kwa ighalo, he came akacheza kidogo kisha yupo benchi.

Unawataja telles na cavani kama waokoaji. Kwa cavan kws umri wake ni sawa, telles umri wake ni wa kumconsider aje kama sub ya kuokoa game? Workrate ya telles, LB, alivyocheza wingman mlijudge vipi humu?
 
Hivi vitu vingine vinawezekanaje?

Man u inamsajili de beek kisha internet inalipuka kuuliza atacheza wapi. Mtu unaamini kocha anajua mahitaji yake, anajua kwamba huyu atanisaidia wapi so hakuna namna usajili mpya utalamba benchi.

Anafika. Anacheza mechi mbili kutokea sub moja anaanza na kutolewa katikati ya game kisha hapa na pale halafu anarudishwa benchi.

Ighalo tayari ana uchumba na benchi, de beek ndipo anaelekea, telles no comment na cavani yupo tayari kupambana. But so are all of other bench warmers.

Unacheki game unaonyeshwa benchi unamuona de beek anang'aa uso. Sometimes wachezaji wenyewe wana shida, mfano samata, angeweza kwenda la liga na akapafom decently ila akaenda Villa same kwa de ligt, pepe na wenzao.

Unaenda timu kubwa then hutaki kujituma enough ni shida, shida kubwa ni unapojitoa ila kocha hajui akufanye nini
Wewe jamaa unamtajaga tajaga Ighalo utadhani amekulipa..Huyu aliletwa tu kusukuma siku mbili tatu hakuletwa awe key player wetu bali kuongeza tu depth,ndo maana alikuwa anacheza sana huko Europa league ..na january hii anarudi huko China.
 
Wewe jamaa unamtajaga tajaga Ighalo utadhani amekulipa..Huyu aliletwa tu kusukuma siku mbili tatu hakuletwa awe key player wetu bali kuongeza tu depth,ndo maana alikuwa anacheza sana huko Europa league ..na january hii anarudi huko China.
Kwahiyo hautaki atajwe?
 
Mzee clicks? Humu?

Nimetaja wachezaji wengi na unamuongelea de beek pekee. Umetaja games alizocheza sasa bro imekuaje haanzi tena?

Same ilikua kwa ighalo, he came akacheza kidogo kisha yupo benchi.

Unawataja telles na cavani kama waokoaji. Kwa cavan kws umri wake ni sawa, telles umri wake ni wa kumconsider aje kama sub ya kuokoa game? Workrate ya telles, LB, alivyocheza wingman mlijudge vipi humu?
Unaweza kuthibitisha maneno yako kwamba ighalo alikuja akaanza kucheza then akakaa benchi?

Ighalo hajaanza mechi hata moja msimu uliopita ya ligi, ila ameanza cup competitions za kutosha Europa na Fa, alisajiliwa kuwapumzisha striker zetu na mechi ndogo ndogo na ni kazi ambayo ameifanya.

Msimu huu tulianza Uefa na ligi na mechi Chache za Carabao, kipindi cavani haja integrate kikosi cha kwanza tulicheza Carabao mechi 2 na zote ighalo amecheza, Hivyo tena ametimiza majukumu yake.

Hakuna aliemsajili Ighalo kuwa kama Harry Kane ama vardy, hizo ni Illusion zenu tu.

Nimekwambia Europa na Fa zinakuja soon utamuona VDB anaanza tena.

Kwani Telles wakati anakuja man U alikuwa hajui tuna Luke shaw? A nafahamu fika na ameshajiandaa na Hilo.

Na haters ni Haters tu Angeanza Tellez mechi zote na shaw benchi pia mungeongea.
 
Unaweza kuthibitisha maneno yako kwamba ighalo alikuja akaanza kucheza then akakaa benchi?

Ighalo hajaanza mechi hata moja msimu uliopita ya ligi, ila ameanza cup competitions za kutosha Europa na Fa, alisajiliwa kuwapumzisha striker zetu na mechi ndogo ndogo na ni kazi ambayo ameifanya.

Msimu huu tulianza Uefa na ligi na mechi Chache za Carabao, kipindi cavani haja integrate kikosi cha kwanza tulicheza Carabao mechi 2 na zote ighalo amecheza, Hivyo tena ametimiza majukumu yake.

Hakuna aliemsajili Ighalo kuwa kama Harry Kane ama vardy, hizo ni Illusion zenu tu.

Nimekwambia Europa na Fa zinakuja soon utamuona VDB anaanza tena.

Kwani Telles wakati anakuja man U alikuwa hajui tuna Luke shaw? A nafahamu fika na ameshajiandaa na Hilo.

Na haters ni Haters tu Angeanza Tellez mechi zote na shaw benchi pia mungeongea.
Kuna sehemu nimesema ighalo au nani kaanza wapi?

Unamaanisha de beek kiwango chake ni cha fa?

Unanilisha maneno. Nimekuuliza workrate yake kama wingman ikoje? Wewe unaniuliza kama hakujua shaw kama yupo.

Mbona unajiundia maneno
 
Back
Top Bottom