Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Caicedo amecheza hadi timu ya taifa ya Equador..na amecheza na vigogo kama Columbia,Uruguay n.kcion kama man u itafanya usajil mkubwa sana ndan ya jan hii zaid ya yule dogo wa America Caicedo waje kuungana na facundo pellistri na A.Diallo wa atlanta wakacheze Man u-23 wapate uzoefu wa ligi ya Uingereza
Umri mdogo lakin huyu akija anaenda first team direct.


