Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wakuu kwa upande wangu napata tabu sana kupigia hesebu timu zingine kwenye mbio za ubingwa naona kama timu yetu haijapata ubora wa kushindania ubingwa sehem kama 4 au 3 tulitakiwa kuwa bora hivi bruno fernandes asipokuwepo itakuwaje? Pogba na martial hawana ubora bek kule bado kuna shida tunaweza kuwapigia hesabu majogoo mwisho wa siku baiskel yetu ya udongo ikanyeshewa na mvua angalizo tu kwa upande wangu bado sina imani ikitokea tumeokota dodo inshallah.


Toka aje bruno sisi ni wa pili nyuma ya liverpool kwa kukusanya point wametuzidi point mbili tu yaani taingia tulipomsajili
 
IMG_20201231_205742.jpg
 
Back
Top Bottom