Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Shida iko wapi?..Wameogopa kuondoka bure
Lingard atauzwa kwa kiasi gani?..nani atamnunua?
Mchezaji kiwango kikiwa kimeisha/kimeshuka,dawa ni kumuacha aondoke kama mkataba wake umeisha.
Shida iko wapi?..Wameogopa kuondoka bure
Phil Jones ni majeruhi eti..yaani hachezi lakini anapata injury..Muingereza huyu mkuu ...
kuna yule mwingine ..Phil Jones cjui yupo wapi saiv?
Man U tungekuwa na kocha mzuri tungechukua ubingwa msimu huu!
Hii inasaidia fellain walimfanyia hivyo kisha akauzwa china walau club ilipata hela kidogo si vibaya kwa lingard kuongezwa mwaka mmoja kwanza ni mtu aliekulia kwenye academy anaujua vizur utamaduni wa timu si vizur kuondosha watu kama ambapo madogo kule chini wanaweza kuona kama hawajaliw angalia inshu za wakina solanke na sanchoShida iko wapi?..
Lingard atauzwa kwa kiasi gani?..nani atamnunua?
Mchezaji kiwango kikiwa kimeisha/kimeshuka,dawa ni kumuacha aondoke kama mkataba wake umeisha.
Hata mm nilimwambia mwanangu mmoja martial kaingia kuna namna flani tumeanza cheza vizuri na ilikua kidogo tupate penati sema hakuamua kuangua one thing about him he has quick and good foot workMkuu, huwezi amini, hata me kwa huyu jamaa (Matial) kuna kipindi ana ni kera, ila kumbu kumbu zangu zina niambia, huyu jamaa awapo uwanjani huwa tuna fanyaga vizuri.
Pia kuna mdau kashalizungumza sana hilo humu.
Bila shaka huyo Matial ndio siri ya ushindi wetu.
Japo simkubali kivilee, lakini siungi mkono wanao mponda humu.
Tunao uwezo wa kukutana na Liverpool huku tayari tukiwa juu yao..
Tushinde against Villa na against Burnley and thus it.
GGMU
Uko sawa..nilikuwa nimepiga hesabu haraka harakaInategemea na Liverpool atatokaje dhidi ya Southampton.
Akishinda na nyie mkashinda mtalingana points, sema magoli Liverpool yuko juu.
Inategemea na Liverpool atatokaje dhidi ya Southampton.
Akishinda na nyie mkashinda mtalingana points, sema magoli Liverpool yuko juu.
Nahakikisha mwizi anatiwa mbaroni week ijayo.
Mwizi pumzi zake ni za soda, hata hivyo kachoka ulimi ume mtoka.
Kilicho baki ni kumkamata tu.
Sawa mzee, yetu macho.
Tunachojua ni kwamba mwizi kateleza tu, ameshainuka na anaendelea na safari.
Kheir ya mwaka mpya mkuu.
Na kwako pia, tumeuona mwaka.
Umeona wapi?
Muda si bado?
Phil jones labda awe mfagoaji pale ot. Hana number tena. Auzwe ligi daraja la 2Phil Jones ni majeruhi eti..yaani hachezi lakini anapata injury..
Wachezaji kama hawa klabuni ndo wanatuletea na nuksi..
Bab kubwa mzee baba.Sisi huku muda tayari.
Majogoo ni Tottenham na sio LiverOfficia game yetu ya kiporo na Burnley ni tar 12 January kesho tukimpiga Villa na hiyo game tukiwin tutazidi kuwapa pressure majogoo
Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
Inaelekea nyumbu hachukui 😂😂 jamaa umetoka future nnMan U tungekuwa na kocha mzuri tungechukua ubingwa msimu huu!
Bab kubwa mzee baba.
Na me me niuona.
Mungu akubariki katika haraka zako zote za kimaisha.
Ila kuhusu Liverpool mufungwe mpaka basi, nasisi (Manchester United) tushike usukani wa EPL.