Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hao uliowataja wakiwa leicester city hawajawah kushinda mech ya united wakat wanachukua ubingwa ila waliifunga city 3-1
Hizo unazoziita nyumbu hazikuwa na aguero wala yaya toure
historia haitakusaidia wewe kumfunga aston Villa

ifike hatua muache kutembelea historia

Mbona wacheza wa utd wa sasa ni tofuati, unataka walichofanya kina rooney, ronaldo hapo utd wafanye hawa kina Rashid makame, hali magwiree, mvaa gloves mashoooo


Acha kudharilisha ma Legend
 
Hili litaendelea kuchangamka mpaka mwisho wa msimu.
Tena huu msimu tegemea tutawarudisha kundini wale walio kimbia.
Tutapokea wageni wapya wengi.
Na wale mburu kenge walio zoea kuja kujamba cheche humu hutawaona.
Ngoja tuone KwAnza game yenu na Liverpool maana wengi Sana wamekaa Apo mwishowe wakateremka vibaya
 
Wanazi wenzangu wa mpaka sasa hali si mbaya sana,tunahitaji marekebisho madogo madogo.

Mosi, Nadhani Bissaka anahitaji msaidizi serious atakayemkimbiza.Beki wa kulia ni muhimu sana hasa team inapojenga mashambuzi ya kustukiza.

Pili,Nadhani mlinzi wa kati ni muhimu pia tunaweza kutafuta mlinzi mzoefu temporary solution eg mlinzi wa miaka 30 - 33 si vibaya akiongeza uzoefu wake.

Tatu mshambuliaji upande wa kulia,ingawa mpaka sasa kuna madogo wawili wamesajiliwa sijui uwezo wao kama ni wazuri na wana vipaji basi waanze kupewa uzoefu mapema dakika 10 au 15 hasa team inapokuwa inaongoza goal nyingi eg Leed United.

Mwisho nadhani Jones,Mata,Sergio Romero,Rojo hawa wakiuzwa watatoa nafasi kwa madogo.
Mata Auzwe kwel?🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️
 
historia haitakusaidia wewe kumfunga aston Villa

ifike hatua muache kutembelea historia

Mbona wacheza wa utd wa sasa ni tofuati, unataka walichofanya kina rooney, ronaldo hapo utd wafanye hawa kina Rashid makame, hali magwiree, mvaa gloves mashoooo


Acha kudharilisha ma Legend
Kusoma jambo lingine na kuelewa ni jambo lingine ulipowataja wale wachezaji kama walikuwa Wakali nimekwambia hawajawahi kushinda mech yoyote walipokutana na hii timu unayoiita mbovu ila waliipiga timu kali manchester city 3-1 etihad ambayo ilikuwa imetimia kila idara halafu wakashindwa kubeba ubingwa mbele ya leicester city yaani manchester city walichemsha kuchukua ubingwa mbela ya wakina drinkingwater na kante sasa bado hujagundua kitu?
 
Bruno's effect
Screenshot_20201230_222734.jpeg
 
Wanazi wenzangu wa mpaka sasa hali si mbaya sana,tunahitaji marekebisho madogo madogo.

Mosi, Nadhani Bissaka anahitaji msaidizi serious atakayemkimbiza.Beki wa kulia ni muhimu sana hasa team inapojenga mashambuzi ya kustukiza.

Pili,Nadhani mlinzi wa kati ni muhimu pia tunaweza kutafuta mlinzi mzoefu temporary solution eg mlinzi wa miaka 30 - 33 si vibaya akiongeza uzoefu wake.

Tatu mshambuliaji upande wa kulia,ingawa mpaka sasa kuna madogo wawili wamesajiliwa sijui uwezo wao kama ni wazuri na wana vipaji basi waanze kupewa uzoefu mapema dakika 10 au 15 hasa team inapokuwa inaongoza goal nyingi eg Leed United.

Mwisho nadhani Jones,Mata,Sergio Romero,Rojo hawa wakiuzwa watatoa nafasi kwa madogo.
Sergio Romero namuhurumia sana aisee
 
Back
Top Bottom