Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
historia haitakusaidia wewe kumfunga aston VillaHao uliowataja wakiwa leicester city hawajawah kushinda mech ya united wakat wanachukua ubingwa ila waliifunga city 3-1
Hizo unazoziita nyumbu hazikuwa na aguero wala yaya toure
ifike hatua muache kutembelea historia
Mbona wacheza wa utd wa sasa ni tofuati, unataka walichofanya kina rooney, ronaldo hapo utd wafanye hawa kina Rashid makame, hali magwiree, mvaa gloves mashoooo
Acha kudharilisha ma Legend