Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Niwembie tu nyie nyumba hamna Maisha marefu mnaanza kudiscus ubingwa

Yaan hii united ichukue epl, labda epl ya buzaa

ijumaa tu humu ndani upepo utabadilika

Aston villa anakuja kuwaonesha kuwa epl sio ya kubahatisbahatisha Kama gori la Rashford
 
Niwembie tu nyie nyumba hamna Maisha marefu mnaanza kudiscus ubingwa

Yaan hii united ichukue epl, labda epl ya buzaa

ijumaa tu humu ndani upepo utabadilika

Aston villa anakuja kuwaonesha kuwa epl sio ya kubahatisbahatisha Kama gori la Rashford
fala kweli wewe kama si chelsea bhasi asernaleeee ndo mnavicha kwa sasa
 
Wasiwasi wangu siyo maendeleo ya Man Utd, maana najua hamwezi kwenda game 4 bila draw, isipokuwa ni form ya timu yangu.

Vijana wanaonekana kama hawana motivation, game moja wanacheza vizuri, inayofata wanazingua.
Kama una wasiwasi na united acha tu vijana wako wacheze hivyo hivyo kwa sababu united hawezi kukutoa hapo kwa vile hawezi kwenda game nne bila draw
 
fala kweli wewe kama si chelsea bhasi asernaleeee ndo mnavicha kwa sasa
Inasikitisha sana

Unakuta nyumbu inasimama kabisa inasema

"yaani game yetu na Liverpool itakuwa promoted sana kwan ndio inaenda kuaamua bingwa ni nani "

Unabaki unajiuliza hii mutu iko na akili timamu kweli, hiv hii United ndio ya kuamua bingwa wakati kuna game zaidi ya 10+ mbele ,mbaya zaidi kumantain game tatu win Ni sawa na magufuli kuuza matikiti tandika

Unabaki unase hiiii

Aiseee
 
Sana leo mtashinda Southampton ni fixture ngumu japo bado ni timu inayofungika pia

Siku hizi mpaka game imalizike na uwe umeshinda ndo unahesabu 3 points.

Msimu ulioisha, kabla ya game tulikuwa tunahesabu points bila ubishi.

Nakumbuka tumeshinda game kama 17/18 mfululizo hivi. Kitu ambacho hata robo yake msimu huu hatujakifanya.
 
Niwembie tu nyie nyumba hamna Maisha marefu mnaanza kudiscus ubingwa

Yaan hii united ichukue epl, labda epl ya buzaa

ijumaa tu humu ndani upepo utabadilika

Aston villa anakuja kuwaonesha kuwa epl sio ya kubahatisbahatisha Kama gori la Rashford
Mkuu jifunze kwanza kuandika.
 
Niwembie tu nyie nyumba hamna Maisha marefu mnaanza kudiscus ubingwa

Yaan hii united ichukue epl, labda epl ya buzaa

ijumaa tu humu ndani upepo utabadilika

Aston villa anakuja kuwaonesha kuwa epl sio ya kubahatisbahatisha Kama gori la Rashford
😀 😀 😀 Yani sisi unatutishia Aston Villa?
 
Niwembie tu nyie nyumba hamna Maisha marefu mnaanza kudiscus ubingwa

Yaan hii united ichukue epl, labda epl ya buzaa

ijumaa tu humu ndani upepo utabadilika

Aston villa anakuja kuwaonesha kuwa epl sio ya kubahatisbahatisha Kama gori la Rashford
Leicester city alipobeba ubingwa washambuliaji wao walikuwa ni mess na ronaldo et?
 
Inasikitisha sana

Unakuta nyumbu inasimama kabisa inasema

"yaani game yetu na Liverpool itakuwa promoted sana kwan ndio inaenda kuaamua bingwa ni nani "

Unabaki unajiuliza hii mutu iko na akili timamu kweli, hiv hii United ndio ya kuamua bingwa wakati kuna game zaidi ya 10+ mbele ,mbaya zaidi kumantain game tatu win Ni sawa na magufuli kuuza matikiti tandika

Unabaki unase hiiii

Aiseee
Huwez kuwa wa pili kama huwez kushinda mech 3 mfululizo ushabik umekujaa
 
Kama una wasiwasi na united acha tu vijana wako wacheze hivyo hivyo kwa sababu united hawezi kukutoa hapo kwa vile hawezi kwenda game nne bila draw
fala kweli wewe kama si chelsea bhasi asernaleeee ndo mnavicha kwa sasa
Inasikitisha sana

Unakuta nyumbu inasimama kabisa inasema

"yaani game yetu na Liverpool itakuwa promoted sana kwan ndio inaenda kuaamua bingwa ni nani "

Unabaki unajiuliza hii mutu iko na akili timamu kweli, hiv hii United ndio ya kuamua bingwa wakati kuna game zaidi ya 10+ mbele ,mbaya zaidi kumantain game tatu win Ni sawa na magufuli kuuza matikiti tandika

Unabaki unase hiiii

Aiseee
Sikia hii nyimbu

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Inasikitisha sana

Unakuta nyumbu inasimama kabisa inasema

"yaani game yetu na Liverpool itakuwa promoted sana kwan ndio inaenda kuaamua bingwa ni nani "

Unabaki unajiuliza hii mutu iko na akili timamu kweli, hiv hii United ndio ya kuamua bingwa wakati kuna game zaidi ya 10+ mbele ,mbaya zaidi kumantain game tatu win Ni sawa na magufuli kuuza matikiti tandika

Unabaki unase hiiii

Aiseee
Bingwa atakuwa City popoma ww

Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Jana asingefunga sijui ingekuwaje ukianglia had anaingia kwenye 18 mwenye alikuwa na uwezo ea kufunga alikuwa cavan aliachiwa space sana na wolves lakin rashford akachagua kupiga bahat nzur maamuzi yake yakawa yameenda sahihi bahati ipo
Cavan hali aliyokuwa nayo pale angepaisha hadi nje ya uwanja trust me

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Mahrez

Vardy

Kina kante


Hivi uliona moto wao

Unaweza fananisha na nyumbu za sasa


Acha utani braza
Hao uliowataja wakiwa leicester city hawajawah kushinda mech ya united wakat wanachukua ubingwa ila waliifunga city 3-1
Hizo unazoziita nyumbu hazikuwa na aguero wala yaya toure
 
Back
Top Bottom