bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 860
Ni ukweli mtupu, mm sikushangilia lile goli niliona ni ujinga tu bila beki kujifunga ilikua imekula kwetu patricii sio kipa mbaya alikua hafungwi paleHapo angekosa goli hilo angelaumiwa na dunia nzima ,,
Rashford alikuwa kwenye impossible angle. ,,kupiga kwa pale alipokuwa ni Ku take risk ya kupoteza chance.
Cavan alikuwa kwenye good position ya kufunga..
Rashford kwa Sababu amefunga goli ,,hakuna aliyeona hilo
Alipaswa atoe assist mapema tu kwa cavan ,,,,yeye bado alikuwa anazunguka zunguka na mpira.
Alistahili kumpa Cavan afunge,
Angalia hiyo moves ya goli kwa makini.