mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,363
- 21,441
Hapo angekosa goli hilo angelaumiwa na dunia nzima ,,1st goal. RashfordView attachment 1662673
Rashford alikuwa kwenye impossible angle. ,,kupiga kwa pale alipokuwa ni Ku take risk ya kupoteza chance.
Cavan alikuwa kwenye good position ya kufunga..
Rashford kwa Sababu amefunga goli ,,hakuna aliyeona hilo
Alipaswa atoe assist mapema tu kwa cavan ,,,,yeye bado alikuwa anazunguka zunguka na mpira.
Alistahili kumpa Cavan afunge,
Angalia hiyo moves ya goli kwa makini.



" ★