Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona umekiri hizi mickey mouse cups ndo saiz ya pep kule Uefa anatusindikiza tu wengine
Anakusindikiza wewe nyumbu si umetolewa UEFA tumebaki wanaume


Endelea kupambana na Arsenal ,na vibonde vingine huko europa
 
Bailly ana ubora gani over Lindelof ?
Eric ana fighting spirit as a central defender. Ni kweli ana mapungufu yake ila kuna utofauti mkubwa sana kati yake na Victor, ambaye kwangu mimi namuona kama yupo soft sana na akiwa exposed under pressure anapitika kirahisi sana.

Kitu pekee kinachoni-disappoint kwa Eric, he's susceptible to injuries. Ni ngumu to grow to be the best hasa hasa anabaki pale pale. Binafsi, ningependa sana dirisha dogo usajili wetu mkuu uwe mlinzi wa kati ambaye anapaswa aje kuwa kiongozi pale nyuma ni mahala pekee penye upungufu mkubwa sana.

Nimeangalia mechi karibu tano kwa umakini mkubwa sana kuna makosa Harry anayafanya kila mechi anarudisha mpira kwa kipa akiwa mita chache sana karibu na goli na hata jana alifanya ujinga tena wa kumpa kipa mpira akiwa karibu nae kabisa, mechi dhidi ya Sheffield United ilitugharimu ukiwa unalenga kutafuta kombe kuna makosa hayapaswi kuchekewa. Nyuma hakuna kiongozi pale.
 
PTER,

Pia hapo kwa Harry ukiangalia footage karibu mechi tatu utaona Nemanja Matic anajaribu kumpa ishara Harry sogea mbali na goli ila jamaa kama anajisahau sahau hivi. Angalia ile mechi ya Sheffield na jana ya Everton kuna makosa anayafanya kila siku kuna siku yatatugharimu sana. Na ndio maana nimesisitiza tunahitaji beki kiongozi pale nyuma, hawa tulionao hakuna kiongozi ila ni partner tu wa beki konki.
 
Eric ana fighting spirit as a central defender. Ni kweli ana mapungufu yake ila kuna utofauti mkubwa sana kati yake na Victor, ambaye kwangu mimi namuona kama yupo soft sana na akiwa exposed under pressure anapitika kirahisi sana.

Kitu pekee kinachoni-disappoint kwa Eric, he's susceptible to injuries. Ni ngumu to grow to be the best hasa hasa anabaki pale pale. Binafsi, ningependa sana dirisha dogo usajili wetu mkuu uwe mlinzi wa kati ambaye anapaswa aje kuwa kiongozi pale nyuma ni mahala pekee penye upungufu mkubwa sana.

Nimeangalia mechi karibu tano kwa umakini mkubwa sana kuna makosa Harry anayafanya kila mechi anarudisha mpira kwa kipa akiwa mita chache sana karibu na goli na hata jana alifanya ujinga tena wa kumpa kipa mpira akiwa karibu nae kabisa, mechi dhidi ya Sheffield United ilitugharimu ukiwa unalenga kutafuta kombe kuna makosa hayapaswi kuchekewa. Nyuma hakuna kiongozi pale.
Lindelof does better kwenye mechi zenye pressure kubwa than Harry Maguire or Bailly.

Eric anafanya tackles nyingi kwa sababu mara nyingi huwa anakuwa off position anaamini katika mbio zake.
Eric's playing style is dangerous to himself and fellow players ndiyo maana always yuko injured.

Mapungufu ya Lindelof ni kwenye one against one hasa with bull strikers kitu ambacho ni mara chache sana huwa anakiruhusu kitokee, mapungufu mengine ni aerial balls japokuwa ameimprove sana this season.

Tumecheza na PSG two games Lindelof akiwa ndiyo defender wa Mwisho mechi zote hizo tulishinda na PSG alifunga goli moja kila mechi.

Unataka defender kiongozi je Bodi ya United iko tayari kutoa pound 70+ kupata defender wa kiwango hicho ?
 
PTER,

Pia hapo kwa Harry ukiangalia footage karibu mechi tatu utaona Nemanja Matic anajaribu kumpa ishara Harry sogea mbali na goli ila jamaa kama anajisahau sahau hivi. Angalia ile mechi ya Sheffield na jana ya Everton kuna makosa anayafanya kila siku kuna siku yatatugharimu sana. Na ndio maana nimesisitiza tunahitaji beki kiongozi pale nyuma, hawa tulionao hakuna kiongozi ila ni partner tu wa beki konki.
Ndiyo maana scapegoat wa makosa ya Harry Maguire huwa ni Lindelof.
 
Unataka defender kiongozi je Bodi ya United iko tayari kutoa pound 70+ kupata defender wa kiwango hicho ?
Kama wanataka makombe kweli lazima kibubu kipasuke. Tunahitaji beki konki pale nyuma. Mfano mdogo tu ile mechi ya RB ukitoa mapungufu ya benchi la ufundi, kama tungekuwa na mabeki wakazaji wale jamaa wasingeweza kufunga goli tatu tulifungwa goli nyepesi nyepesi sana siku ile unaona kabisa hakuna beki anayeongoza ulinzi pale nyuma.
 
Mkuu Bailey ni bonge la beki, mchawi majeruhi tu.
Me kwangu Bailey ni bora zaidi ya Lindolof.
Hapo unakosea mkuu,,lindleof alikuwa anatwishwa mzigo wa magwea,,
Magwea ndy alikuwa tatizo.

Sasa magwea yupo form makosa yake hayaonekani ,,

Ila lindleof akili mingi sana,,tena ni bora sana kuliko huyo beily.
 
Lingard smiles
20201224_191649.jpeg
 
Sie udhaifu wetu utaisha dirisha hili la usajili. Tutasajili CB anayecheza kushoto azibe pengo la Super Jan, na kiungo mkabaji atakaye chukua nafasi za hawa akina Winks na mwenzake Sissoko. Kwa hizo addition mbili tu (Skriniar & Sabitzer) tunakiwasha tena kama tulivyoanza ligi.
Mkuu hii ni confirmed??

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom