Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Wewe humjui Ole.
Wewe humjui Ole.
Huyu kijana maendeleo yake yanasemaje?Ndio
Wa atalanta anakuja mwez ujao huyo facundo pellistri kawekwa kule under 23 kupata uzoefu hao madogo wazur sana maana hata miaka 20 hawajafika ndio maana nlisema hapo juu watafuta vipaji wa miaka hii miwili wanafanya kazi nzur sana pamoja na ole kukubaliana naoHuyu kijana maendeleo yake yanasemaje?
Alafu kuna yule tulie msajili kutokea Atlanta, mbona simuoni kwenye kikosi chao cha kwanza?
Tunaangalia points 3 mkuu, na ukizingatia week hii vigogo kibao vime mbwela.mi nimelipa jero tu lakini nimejuta kuacha usingizi wangu hizo dk 45 za pili nimeenda zangu kulala maana nilikua naona tunarukaruka tu, mechi ya jana hatukustahili kupata aina ile ya ushindi kiukweli tunabahatisha mno sielewi hata tunacheza aina gani ya soka.
Baba yake ana mahaba ya dhati na united★Wayne on Twitter : Proud day. Kai signing for Man United. Keep up the hard work son★
#GGMU
manutd | View attachment 1652781
Nimekuta sehemu moja ya tawi lao wameandika "ACHA INIUE "nikasema hili tawi la namna gani!Chief Arsenal sasa hivi inafight kutoshuka daraja na kuwavutia potential players. Yaani ni kwamba ukishindwa kuifunga Arsenal hii wewe ndiye mwenye matatizo.
Ndo kocha wa timu yako mkuuWewe humjui Ole.

) wangevunja mkataba watu weusi hatunaga moyo wa uvumilivu unataftiwa figisu unauzwa hahahaa ★
Baba yake ana mahaba ya dhati na united
Kijana ni talent kubwa naamini atarud kwenye form.Lile bao la pili athony kajiongeza sana vinginevyo angefanya touch yoyote pasipo vile alivyofanya kuuelekeza mpira golini zingekuwa hadithi
Bruno mbona hayumo




Matic is gone.Huyu Matic toka aongezewe mkataba, kiwango kimeshuka sanaa.
Haiwezekani Defensive Mid au Holding mid. Unamaliza mechi bila tackle au interception.
Pogba---1 tackle, 2 interceptions na 3 defensive clearances.
Bruno---2 Tackles, 1 interception.
Matic----0Tackle, 0 interception, 0 defensive clearances.
Hongeren kwa kuingiza 3 players
Hongeren kwa kuingiza 3 players