kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,147
- 15,770
Tunaangalia consistency mkuu ,,,, kufungwa Ni kufungwa tu , haijalishi goli ngapi , kikubwa Ni kwamba umepoteza points !!!!!Arsenal zaidi ya hoi? Liva kapigwa 7, city 5, man u 6, dortmund 5 (na kocha kafukuzwa), barca 8 (na kocha, mgt na wachezaji wamefukuzwa, madrid kapigwa nje ndan na shakhtar kapita kimungu mungu, man u kajikuta europa, inter kashindwa hata kuja europa na msimu uliopita walifika fainali, bayern kala nne juzi kasuluhu kizembe kwa kuanza kuongozwa.
Ligi tano bora wanaoongoza siyo waliozoeleka na wengine wanapishana
Arsenal na uhoi wote bado haijafungwa zaidi ya goli tatu katika mechi moja.

