Mkuu kwani kasema uongo?Hawa Pundit wa kiingereza hovyo sana..
Mbona Mourinho alicheza hivihivi kwenye ile 0-0 draw vs Chelsea?..alishindwa nini kuotea goli moja na kumfunga lampard?
Kuna ukweli gani hapo??Mkuu kwani kasema uongo?
Hahahah yule mwamba anabebaRadika;Rafiki yako Mau anachukua EPL this season.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Bissaka alikuwa anafanya nini??
Unashindwa mfunga NYUMBU alafu unataka ubingwa??Makocha wenye uwezo wa kuchukua makombe wanajulikana
Hesabu hazidanganyi
Klop
Jose morhino
Pep guardiola
Hao ndio wananyota na vikombe
Hao wengine sijui
Lampard
Ole
Arteta
Hao ni wasindikizaji tu ,hawana pumzi kabisa
Siku mtakapolijua hili ndio mtakapo jua kuwa hamjui, na mnapoteza muda
Timueni oleguna Kama mnataka vikombe
Kamuulize aliyeshindwa kumfunga fulhamUnashindwa mfunga NYUMBU alafu unataka ubingwa??
Huyu tunaye huyu, haondoki leo wala kesho.OLE inapafaa aambiwe kwenye kila mechi 4 apate point 9 kulinda kibarua chake.
chini ya hapo apitie kwenye dirisha dogo asepe zake.
Kitu kinaangusha hii timu ni ushambuliaji tukipata watu wenye viwango vya kueleweka pale mbele kila mmoja walau wanafunga kila mech story itakuwa tofaut martial hana goli ni striker rashaford kila baada ya mech 4 au 5 goli moja Greenwood mech 5 au 6 goli moja hapo tutaweza kusogea mkuu? Goli nyingi zinafungwa na bruno niliangalia mech ya sevilla tunatolewa nusu fainali nilijesemea kimoyomoyo kufanikiwa ni had tutapata 9 -7-11 wa maana bila hivyo tutaumia sanaKiutani utani mara top 4,mara top 2 mara ubingwa ,maake hakuna timu epl inayoweza sema ipo vizuri.
Kama liva anadraw na fulham bas tuwe na hope anything can happen
Kwa lugha rahisi amemkana agent wake
Mkuu martial sio kumtetea hata kidogo kama hufungi basi atengeneza goli hata assist hana unawezaje kumbeba mtu kama huyo? Saiv sijui ana miaka 24 bado anakuwa? Yule dogo anavuta mpunga mwingi sana na huyo ni mtu aliechangia sisi kupigwa na sevilla na psgSasa atagusa vipi mpira kama viungo hawampi? Au ulitaka ashuke awe kiungo?
Kisha soma upepo hata timu zingine zitaogopa kumsajili wakala kila uchwao makelele tuKwa lugha rahisi amemkana agent wake
Mkuu hii sio point hata pogba alikosa goli ambao mpira ulikuwa unaenda moja kwa moja kwa greenwoodMshukuru jana
Mahrez aliwaokoa ,ile Open Space aliyokosa mngehesabu maumivu
Jana City tumekosa gor nying tu
Yaan nyie nyumbu kuna siku yenu inakuja
Kipind cha tranfer windor Scholes alisema ManUtd inamuitaji Kane kuliko Sancho, aliona mbali sanaKitu kinaangusha hii timu ni ushambuliaji tukipata watu wenye viwango vya kueleweka pale mbele kila mmoja walau wanafunga kila mech story itakuwa tofaut martial hana goli ni striker rashaford kila baada ya mech 4 au 5 goli moja Greenwood mech 5 au 6 goli moja hapo tutaweza kusogea mkuu? Goli nyingi zinafungwa na bruno niliangalia mech ya sevilla tunatolewa nusu fainali nilijesemea kimoyomoyo kufanikiwa ni had tutapata 9 -7-11 wa maana bila hivyo tutaumia sana