Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Man City have now gone five hours without scoring against Man Utd across all competitions.★

#GGMU

manutd |
IMG_20201213_155639_929.jpeg
 
Makocha wenye uwezo wa kuchukua makombe wanajulikana

Hesabu hazidanganyi

Klop

Jose morhino

Pep guardiola

Hao ndio wananyota na vikombe

Hao wengine sijui

Lampard

Ole

Arteta

Hao ni wasindikizaji tu ,hawana pumzi kabisa

Siku mtakapolijua hili ndio mtakapo jua kuwa hamjui, na mnapoteza muda


Timueni oleguna Kama mnataka vikombe
Unashindwa mfunga NYUMBU alafu unataka ubingwa??
 
Ukisema kwangu panaungua hujui pa mwenzio panateketea "kuiombea arsenal dua mbaya kipindi hiki ni matumizi mabaya ya dua "
 
Kiutani utani mara top 4,mara top 2 mara ubingwa ,maake hakuna timu epl inayoweza sema ipo vizuri.
Kama liva anadraw na fulham bas tuwe na hope anything can happen
Kitu kinaangusha hii timu ni ushambuliaji tukipata watu wenye viwango vya kueleweka pale mbele kila mmoja walau wanafunga kila mech story itakuwa tofaut martial hana goli ni striker rashaford kila baada ya mech 4 au 5 goli moja Greenwood mech 5 au 6 goli moja hapo tutaweza kusogea mkuu? Goli nyingi zinafungwa na bruno niliangalia mech ya sevilla tunatolewa nusu fainali nilijesemea kimoyomoyo kufanikiwa ni had tutapata 9 -7-11 wa maana bila hivyo tutaumia sana
 
Sasa atagusa vipi mpira kama viungo hawampi? Au ulitaka ashuke awe kiungo?
Mkuu martial sio kumtetea hata kidogo kama hufungi basi atengeneza goli hata assist hana unawezaje kumbeba mtu kama huyo? Saiv sijui ana miaka 24 bado anakuwa? Yule dogo anavuta mpunga mwingi sana na huyo ni mtu aliechangia sisi kupigwa na sevilla na psg
 
Mshukuru jana

Mahrez aliwaokoa ,ile Open Space aliyokosa mngehesabu maumivu

Jana City tumekosa gor nying tu


Yaan nyie nyumbu kuna siku yenu inakuja
Mkuu hii sio point hata pogba alikosa goli ambao mpira ulikuwa unaenda moja kwa moja kwa greenwood

Halafu kama hutambui goli kipa nae mchezaji kwa hiyo post yako kipa ni sehem ya wachezaj 11 de gea alikuwa kwenye jukum lake
 
Kitu kinaangusha hii timu ni ushambuliaji tukipata watu wenye viwango vya kueleweka pale mbele kila mmoja walau wanafunga kila mech story itakuwa tofaut martial hana goli ni striker rashaford kila baada ya mech 4 au 5 goli moja Greenwood mech 5 au 6 goli moja hapo tutaweza kusogea mkuu? Goli nyingi zinafungwa na bruno niliangalia mech ya sevilla tunatolewa nusu fainali nilijesemea kimoyomoyo kufanikiwa ni had tutapata 9 -7-11 wa maana bila hivyo tutaumia sana
Kipind cha tranfer windor Scholes alisema ManUtd inamuitaji Kane kuliko Sancho, aliona mbali sana
 
Back
Top Bottom