Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

manutd |
IMG_20201212_092050_216.jpeg
 

Luca Ercolani (U23s): "After 10 months of hard work I am grateful to achieve the Uefa B Coaching Badge. It’s something I’ve always wanted to experience, and it helped me to fill in the spare time during a period on the sidelines due to injury."

1607765618366.png


nagelsmann?
 

Luca Ercolani (U23s): "After 10 months of hard work I am grateful to achieve the Uefa B Coaching Badge. It’s something I’ve always wanted to experience, and it helped me to fill in the spare time during a period on the sidelines due to injury."

View attachment 1647960

nagelsmann?
Wenzetu wachezaji huanza course za coaching wakiwa wadogo pia.

Wengine wakiwa mid career level au wakiwa wanaelekea mwisho wa career zao.
 
We si shabiki wa Manchester City wewe ? Unaibetia timu yako kufungwa

Laki ya kubetia ungeweza kulima robo ekari ya Maharage mbegu ya kisasa ukaja kuvuna Maharage ya laki sita ndani ya miezi mitatu hapa ndio tunakosea maisha
Mkuu sitaki nile vipigo sehemu zote

Pep huwa ananiudhi akikutana na hawa nyumbu ,kapigwa nje ndan na huyu ole msimu uliopita, niliumia sanaa

Sasa leo nimecheza kote kote
 
Ukimpa Morinho hela alete wachezaji anaowataka.

Anaweza kukupa vikombe mpaka ushangae.

Ila usimfanyie kama Ed alivyomfanyia.
Sema safari hii kathibitisha kuwa falsafa yake haijikiti kwenye pesa bali aina flani ya wachezaji waliopevuka kiakili. Mfano; Spurs imetumia pungufu ya £m80 kununua wachezaji 7 kwenye dirisha lililopita na sasa timu imebadilika sana ikilinganishwa na msimu uliopita.

Hata akiwa United si kwamba alikuwa akitaka wachezaji ghali kama ambavyo media zilikuwa zikiripoti. Mfano; Kwenye CB chaguo lake no 1 usajili wa 2018 lilikuwa De Ligt ambaye Ajax walikuwa tayari kuuza kwa £30m - £35m. Fall back ndiyo zilikuwa Maguire na Toby wa £60 na £43m mtangamano.

Pia akiwa Chelsea aliwahi kuambiwa na Abromovich kuwa anaweza kumsajili Ronaldinho, akamwambia "just bring me Didier Drogba"!

Sema mambo ya Woodward kucheza na biashara social media wakati wa tetesi za usajili ndiyo hufanya watu kuhisi Jose alitaka wachezaji ghali sana.
 


Huyu Mou bwana

Ambao hawaja"succeed" ni wanaoshikaga mkia
Point yake siku zote ni kuwa zile timu 8 zinazoshindwa kupenya 16 bora zina uwezo mkubwa sana ikilinganisha na timu za wakulima wa Europa. Hivyo yeye hudhani mwelekeo wa Europa league hubadilika hapo kwenye round of 32 kitu ambacho sio fair kwa timu zilizofuzu kwenye makundi ya hiyo Europa.

Pia yakumbukwe maoni yake kuwa top sixers za epl ni nzuri sana kucheza Europa.
 
Sasa wewe tangu lini ukaiombea mema Manchester United?
Wewe endelea kushabikia Manchester ya mtaani kwenu Mbagala kimbangulile, hii ya England tuachie sisi wabishi.
Hahaha aisee umetoka shimoni salama..
Leo mnakaangwa bao ngap nyie nyumbu..
 
Wale wa Man City tujuane mapema..
Hivi mbanga tunaliza ngapi leo..
Miki nasema 3, nyie wengine mnasemaje
 
Eti Manutd ni wachezaji wawili tu kwenye combined ya Manutd vs ManCity huu sasa ni ushabiki ngoja tuwafunge ndiyo watajua kuuzingatia ukweli
PSX_20201212_162904.jpg
 
★Bruno Fernandes: "I will be happy when I win the Premier League. The point to come to England, to such a huge club, was to win the Premier League and I think we have the chance to do it."★

#GGMU

manutd |
Hiyo ligi anayotaka shinda labda wasiwe wanashiriki Liver, Chelsea, Spurs
 
Sema leo game ngumu sana kwa timu zote.

Ngoja tusubiri Ole atakuja na mbinu gani dhidi ya City.

Kocha yoyote atakayepoteza leo kibarua chake kitakuwa hatarini
 
Back
Top Bottom