Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole amekua hana matokeo mazuri pindi anapocheza uwanja wa nyumbani..,Pep anaweza jichukulia point 3 kiulaini
 
Wakuu hatuna Cha kupoteza ,,,,!
City sio wa kutisha Sana !
Kikosi Ni kizuri, ila ningependa Alex telles aanze instead of Shaw, cross zake zina macho zaidi!

Anyway #GGMU
 
Asee noma

Yaani litimu libovu unalibetia laki.

Fanya mzee unipe 20k utabarikiwa.

Man U laki? Asee
Man u huwa anampigaga City

Sina wasiwasi

Nimeagiza maji ya barid hapa nashushia kusubili laki tatu yangu na ishirin
 
★Hivi swla la Kona hawalionagi kabisa kwenye mechi kwamba wakalifanyie uvumbuzi huko kwenye Mazoezi au Magoli ya kona Haya hesabiki siku hizi maana leo naona kutakuwa na kama kona 10 ila hazitazaa Goli lolote kabisa maana mpaka sasa hivi tuna kona 4 na hazijazaa kitu★
 
Back
Top Bottom