Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah! Chifu, unaleta ubishi husio na mantiki. Kama unajua soka, utaelewa tofauti ya namba 9 na 10.

Labda kwa Man Utd ambao bado wanacheza the old fashioned formation ya 4-4-2, namba 10 bado itakuwa na tofauti kubwa sana kwao.
 
Mimi nitampondaje Mourinho juu ya Mata kuto-defend wakati nikifahamu Mata ni playmaker ama attacking midfielder? Hiyo siyo kazi yake; ila Mourinho anataka hadi Torres awe anakaba. Ndiyo maana hampangi Mata; mchezaji aliyekuwa bora kwa Chelsea katika misimu 2 iliyopita.

Kwa hiyo ilikuwa sawa kwa Valencia kutomkaba yule jamaa simply because alikuwa ni attacking midfielder?

If that is the case, kwa nini kabla ya lile goli, Vidic alimfuata Valencia na kumwambia live awe ana-back track? Did you see the replay?

Mbona Ronney ni striker lakini alikuwa ana-backtrack? Mata alikuwa mchezaji bora wakati Chelsea wakiwa na mpira but the worst kama Valencia leo wakati chelsea wakiwa hawana mpira.

Players are supposed to work as a team whether they are play-maker or attacking midfielder. Ndiyo maana sijui lilikuwa goli la ngapi lile Kompany (a defender) alitrack forward mpaka kwenye lango la Man Utd.

Lakini, United is the biggest club in England and one of the biggest in the world. It will bounce back; there are 33 games to play.

Hata Liverpool ilikuwa hivyo hivyo. There has been a change on the balance of power and you have to recognise. Siku za either Man Utd or Arsenal zilishapitwa na wakati.
 
David Moyes was disappointed to lose his first Manchester derby, but accepts the best team won.

On the other side, Man Utd have played Chelsea, Liverpool and City in their first 5 games.

So, they are in a better position compared to others.
 
Labda kwa Man Utd ambao bado wanacheza the old fashioned formation ya 4-4-2, namba 10 bado itakuwa na tofauti kubwa sana kwao.

United haichezi 4-4-2! Hata ikicheza, mchezaji namba 9 na mchezaji namba 10 ni tofauti sana chifu.

Ngoja nikupe darasa kidogo:

Wote ni forwards, lakini mmoja ni centre forward na mwingine ni support/second/withdrawn forward. Hiyo centre forward, ndiye main striker, number 9. Huyu kazi yake inapimwa kwa idadi ya magoli aliyofunga, na si vinginevyo. Huyu muda mwingi wa mchezo anakuwa katika half ya wapinzani. Namba halisi kwa United ni Javier pekee yake; RvP ni namba 9, lakini mara nyingi ucheza kwa kurudi nyuma na kufuata mipira ama kutengeneza pasi za kufunga. Tofauti na Javier aliye natural and classic number 9.

Nikienda kwa namba 10. Huyu kazi yake upimwa zaidi kwa nafasi anazomtengenezea namba 9 na magoli pale anapokuwa katika nafasi za kufunga. Huyu anakuwa kama playmaker, ambaye anaweza saidiana na attacking midfielder ama nyakati zingine hata na central midfielder. Kwa United, Rooney ndiye namba 10; nafasi ambayo anapenda kucheza. Kagawa naye ucheza kamq namba 10 wakibadilishana na Rooney. Kagawa anaweza kucheza hii nafasi ingawa yeye kiuhalisia ni attacking midfielder ama playmaker.
 
1234601_544505118936754_1802937688_n.jpg

Of course, tugependa muendee kuwa Utd till you die ili wengine wafurahie pale Utd inapofungwa.

If you die now, it will be very boring in deed. Stay there for Wednesday again.
 
Wenyewe mmo humu? Mbona leo mmezima taa mapema hivi? Poleni sana najua kipigo cha leo hamkukitegemea na hakikuwa cha kawaida. Ni mie BAK nilipita kuwajulia hali 🙂🙂
 
United haichezi 4-4-2! Hata ikicheza, mchezaji namba 9 na mchezaji namba 10 ni tofauti sana chifu.

Ngoja nikupe darasa kidogo:

Wote ni forwards, lakini mmoja ni centre forward na mwingine ni support/second/withdrawn forward. Hiyo centre forward, ndiye main striker, number 9. Huyu kazi yake inapimwa kwa idadi ya magoli aliyofunga, na si vinginevyo. Huyu muda mwingi wa mchezo anakuwa katika half ya wapinzani. Namba halisi kwa United ni Javier pekee yake; RvP ni namba 9, lakini mara nyingi ucheza kwa kurudi nyuma na kufuata mipira ama kutengeneza pasi za kufunga. Tofauti na Javier aliye natural and classic number 9.

Nikienda kwa namba 10. Huyu kazi yake upimwa zaidi kwa nafasi anazomtengenezea namba 9 na magoli pale anapokuwa katika nafasi za kufunga. Huyu anakuwa kama playmaker, ambaye anaweza saidiana na attacking midfielder ama nyakati zingine hata na central midfielder. Kwa United, Rooney ndiye namba 10; nafasi ambayo anapenda kucheza. Kagawa naye ucheza kamq namba 10 wakibadilishana na Rooney. Kagawa anaweza kucheza hii nafasi ingawa yeye kiuhalisia ni attacking midfielder ama playmaker.

No 9 and 10 go back to the old formation line up before 5,3,2 etc.

No 7 outside right, No 8 inside right, No 9 centre forward, No 10 inside left, No 11 outside left.

Those were the old days. Ndiyo maana umesema Javier ni classic number 9.

Halafu naona kama unadhani centre forward na striker ina maana moja.


Ndo maana nilikuuliza tokea mwanzoni kuwa why do you need another top striker wakati tayari mnaye Rooney?

Au unataka kusema kuwa Rooney is not a top striker let alone a striker?
 
Moyes alichemsha kupanga timu,nilishangaa Fellaini na Carick wanacheza sehemu moja,then Rooney alikuwa anahitaji mtu wa kumsaidia Kagawa/Chicharito walistahili kucheza badala ya Welbeck.Timu inahitaji kufunga why hakufanya sub za kuingiza offensive players,Now big game zimeisha anapaswa kushinda at least game 6 zijazo
 
Moyes alichemsha kupanga timu,nilishangaa Fellaini na Carick wanacheza sehemu moja,then Rooney alikuwa anahitaji mtu wa kumsaidia Kagawa/Chicharito walistahili kucheza badala ya Welbeck.Timu inahitaji kufunga why hakufanya sub za kuingiza offensive players,Now big game zimeisha anapaswa kushinda at least game 6 zijazo

Hahaa mtumieni meseji twitter
 
Jamani tupeane mikono,naona mtu mtu yule wa kueneza kipindupindu anayeongoza kurandaranda ktk jukwaa la wanaoongoza EPL leo kimyaaaaaaaaaaaaa
hatareeeeee...
 
van Persie's absence clearly shows how United needs another top class number 9.GGMU

Wachezaji wapo cha msingi ni kuwapa nafasi (rotation) ,nilishaona last season timu ilijengwa kumtegemea sana RVP kufunga ni tatizo,inabidi kuwapa nafasi Kagawa na Chicharito.Rooney siku hizi anarudi sana nyuma na leo Kompany alikuwa anakula nae sahani moja,sikuona mtu anayeweza kufunga goli
 
Habari za kuaminika zinasema Di Canio (Sunderland) kibarua kimeota mbawa chacha Moya naona tumbo joto khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


''Paolo Di Canio: Sunderland part company with head coach''
 
Jamani tupeane mikono,naona mtu mtu yule wa kueneza kipindupindu anayeongoza kurandaranda ktk jukwaa la wanaoongoza EPL leo kimyaaaaaaaaaaaaa
hatareeeeee...

Mzee wa hatushikiki....
Mzee wa kanyaga twende
Sijui twende wapi..
Ahaaaa Leo mapema shuka utosini na atakuwa anawaza mambo mengi sana ya ofisini .......
 
Kwa hiyo ilikuwa sawa kwa Valencia kutomkaba yule jamaa simply because alikuwa ni attacking midfielder?

Antonio siyo attacking midfielder; yeye ni right half kama walivyojulikana awali, au unaweza kumwita right winger. Attacking midfielder anapaswa acheze katikati ya kiwanja, ndiyo maana anaitwa 'midfielder'.

If that is the case, kwa nini baada ya lile goli, Vidic alimfuata na kumwambia live awe ana-back track?

Kwa sababu kwa formation ya United right wingers na right backs wanacheza kwa kusaidiana. Sawa na left wingers na left backs. Sasa pale kabla yq goli, Antonio alikuwa kwenye nafasi ya right back, ambapo alikuwa na uwezo wa kumsaidia right back Chris.

Mbona Ronney ni striker lakini alikuwa ana-backtrack?

Kwanza, ni Rooney na siyo Ronney. Pili, Rooney ni mchezaji wa pekee; anajituma sana kwa ajili ya timu. Yupo tayari kumkimbiza mchezaji wa timu pinzani toka half ya lango lao hadi kwa United ili amkabe. Ni wachezaji wachache sana (support forwards ama playmakers) wenye uwezo kama wa Rooney katika kucheza kwa ajili ya timu kwa nafasi karibu zote. Tambua hilo kabisa. Sasa kwa sababu Rooney yupo hivyo, huwezi kutaka mchezaji kama Mata awe hivyo. Mata ana uwezo wa kipekee kama playmaker cum attacking mid. Kocha mwenye kutambua uwezo huo, atamcheza ili aweze ku-capitalise uwezo huo kwa manufaa ya timu. Kocha hawezi kumlazimisha Mata acheze kama Rooney, akijua, Mata hana uwezo huo, na atachemsha.

Mata alikuwa mchezaji bora wakati Chelsea wakiwa na mpira but the worst kama Valencia lee wakati chelsea hawana mpira.

Wakati Chelsea wakiwa na mpira? Unamaanisha? Mata amekuwa mchezaji bora wa timu nzima ya Chelsea katika misimu 2 iliyopita; katika michuano yote Chelsea waliyocheza.

Players are supposed to work as a team whether they are play-maker or attacking midfielder. Ndiyo maana sijui lilikuwa goliu la ngapi lile Kompany (a defender) alienda mpaka kwenye lango ma Man Utd.

Sawa. Ila holding to positions is key for a successful team work. Imagine kama wachezaji wasingekuwa wanakaa na kutawala nafasi zao, kungekuwa na team work hapo?


Hata Liverpool ilikuwa hivyo hivyo. Thre a change on the balance of power and you have to accept. Siku za either Man Utd or Arsenal zimepitwa na wakati.

Wait a minute! Ni lini Arsenal alikuwa na siku Uingereza za kutawala?!?

Pili, siku za United zinapita baada ya games 5?!? Kweli wewe ni bongo soka punditi!!!

Hii ndiyo staili ya kuanza ligi kwa United; always a slow starter like a Marathon runner and not like a sprinter.

Tatu, Liverpool bado historia inaibeba; ndiyo klabu ya 2 kwa ukubwa Uingereza baada ya United. Arsenal, Chelsea and Man City zote ni wee clubs mbele ya United na Liverpool kwa sasa.
 
Sasa natumai ManEverton4 mtatulia kwenye uzi wenu maana ilikuwa kila siku kutangatanga katika uzi wa wengine. hahahahahahahaha wazee wa kupanic.
 
Ndo maana nilikuuliza tokea mwanzoni kuwa why do you need another top striker wakati tayari mnaye Rooney?

Au unataka kusema kuwa Rooney is not a top striker let alone a striker?

Jaribu tena na maelezeo yako ya wikipedia.

Mimi naelewa soka, kwa sababu nlifundishwa kucheza soka.

Katika soka kuna positions kuu 3 ukitoa ya golikipa, nazo ni: back, midfield na forward. Sasa humo ndimo kuna aina mbalimbali za uchezaji. Iwe kwa back, midfield na forward; ndiyo maana kuna right and left back ambao wanacheza kama right and left wingers; vilevile uitwa attacking full-back right or left. Kina Evra, Maicon, Alves, Cafu, R. Carlos etc. Pia katika back kuna malibero na stoppers; kina Terry, Vidic, Cannavaro, Baresin.k. Kuna midfielders walio playmakers ama creative midfielders kama akina Ozil, Sneijder, Kagawa, Iniesta, Cesc, Kaka; kuna defensive midfielders ama box-to-box midfielder kama akina Mascherano, Makelele, Keane, walio kama mabeki. Nikienda kwa forwards, napo kuna goal poachers kama akina Shaun Goater, Nistelrooy, Inzaghi, Chicharito n.k. Kuna target man kama walivyo Cristiano na Messi katika timu zao; uwa upewa mipira kila mara ili kufunga. Wanakuwa kama roho ya timu katika kufunga.

Nikirudi kwenye mada. Rooney siyo namba 9 ni namba 10 kwa United. Namba zote ni za forwards; tofauti yao ipo kwenye uchezaji. Uchezaji wa namba 9 siyo sawa na wa namba 10. Unaposema Rooney ni striker ni sawa, lakini siyo namba 9. Cristiano naye ni striker; lakini anacheza namba ngapi?!? CR ucheza kama right forward, lakini ni striker wa Real; huku Karim akiwa kama namba 9 wao. Hivyo mtu kuitwa striker ina maanisha ni aina tu ya uchezaji akiwa kama forward, iwe centre forward ama right au left forward.

Kitu kingine, United has always played with a classic number 9; that is United's style. Whether you call it outdated or whatever, that is United's business. It is such a formation that has won United over 30 titles over the past 20 years.

Who are you to question the style now?!?

Hivyo kukosekana kwa RvP kama namba 9 wa United kumeonyesha umuhimu wa kuwa na namba 9 mwingine. Nimeshasema Javier anafaa kama super sub; uchoka mapema sana.
 
Sasa natumai ManEverton4 mtatulia kwenye uzi wenu maana ilikuwa kila siku kutangatanga katika uzi wa wengine.

Sawa ArsenalVilla3..

hahahahahahahaha wazee wa kupanic.

Naona mnajisema hapa; baada ya kichapo kutoka kwa A. Villa siye nyie ndo mlianza kutaka Arseno Chenga aondoke?!? Hapo hamkupaniki enh?!?

Tuliza kitenesi hicho; ligi inaisha Mei, 2014.
 
Back
Top Bottom