Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
nilidhani rooney ni top class triker? ila umeniacha hapa jamvini umefanya substitutions zaidi ya tatu wakati zinaruhusiwa tatu tuu.
Rooney siyo namba 9 chifu; yeye ni namba 10! Sasa ninavyosema namba 9 namaanisha ndiye striker; goal getter; goal poacher n.k.
Javier anafaa kama super sub...uwa anachoka mapema sana.
Nimefanya subs tatu? Nilisema Javier on for Danny na Nani/Kagawa for Young. Sasa hizo subs 3 ziko wapi?