Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chifu, what's your point on this? Maana sielewi unachokikomalia hapa; wakati nimeshasema Antonio hakucheza vizuri kama alivyocheza katika mechi za awali. Ila tatizo lilikuwa la timu nzima.

Chifu, kama ndio unafanya hivi argument. Kwa heri. Naona hutuwezi kuelewana katika hili la positions na style of playing katika dimba.

Dah! Wewe ni kiboko! Anyway, nilichosema ni kwamba, pamoja na kucheza vibaya kwa Antonio, timu nzima haikucheza vizuri. Timu ilikosa mtu pale mbele ambaye angekuwa anawaweka roho juu mabeki wa City. Ndio maana nikasema, hiyo inaonyesha tunahitaji mtu mwingine (namba 9) wa kusaidiana na RvP kama RvP hayupo. Sijasema tatizo ni kutokuwepo kwa RvP. Timu nzima haikucheza vizuri.

Nimeshasema hayo huko nyuma pia. Nilimlaumu David kwa kuwaanzisha Danny na Ashley badala ya Javier ama Kagawa/Nani. Kukosekana kwa RvP kungelazimu hao kuwemo ndani ya dimba.

RvP alikosa jana mechi kutokana na thigh injury; sasa hizo fununu ni udaku tu! Mimi sijadili udaku, jaribun mwingine.

Ngoja na mimi nijaribu kuchangia kadiri ya uelewa wangu, Kwanza katika Mechi ya jana Valencia hakucheza kama kawaida kutokana na Timu nzima kuwa vibaya na Hapakuwa na Maelewano kati yake na Smalling ambaye jana hakuwa kwenye form kabisa (Binafsi jana ningependa kuona Smalling anatoka then Valencia arudi kucheza nafasi yake na kuingia winga mwingine ambaye wangeshirikiana kusukuma mashambulizi)

Kuhusu Nafasi na Mfumo wa Kiuchezaji

Katika Mpira position mara nyingi hutegema na mfumo wa timu, But general speaking namba za wachezaji zipo in pair,

Defense
Mabeki wanawezwa kugawanywa katika Makundi Makubwa mawili au Matatu kulingana na Mfumo. Kwanza kuna Pair ya Mabeki wa pembeni (yani Full back left and Right), Pili kuna Mabeki wa Kati hawa wanatofautina kidogo kimajukumu japo kwenye mfumo unaweza kuwaona wanacheza kwenye line moja. hapa kuna Centre-Back (Center half) na kuna Sweeper (Libero) ambao wanatofautina kimajukumu. Center Back yeye kazi yaki ni kumtrack na kumkaba namba 9 pamoja na kucheza mipira yote ya Hatari ya kwanza (Kwa Utd hii ni kazi ya Vidic) na Libero au Sweeper (kwa Utd ni Rio /Evans au Smalling) kazi yake kubwa ni kusoma mchezo na kuorganize/kupanga wenzake, kuclear lose balls baada ya Centre back kutibua move, pamoja kusaidia Kuziba mianya au kufuta makosa na wenzake.
[h=3][/h]Midfield
Viungo nao wanaweza kugawanywa katika makundi Matatu, kwanza kuna Mawinga au washambuliaji wa pembeni wenye jukumu la kusaidia walinzi wa pembeni na zaidi kusaidia Washambuliaji wa mbele au kati, Pia kuna kiungu mkabaji yani namba 6 na Kiungo mshambuliaji na mchezeshaji yani namba 8

Forward
Hawa wapo wa aina mbili kuna Msambuliaji Mfungaji (Centre forward/Finisher/Predator/Goal scorer/Goal Hunter/Goal Gater) huyu kazi yake kubwa ni kufunga tu hana kazi nyingine.

Pia kuna mshambuliaji tunaweza kumuita msaidizi (Second Striker/Goal maker/Support Striker) huyu kazi yake kubwa ni kumtengenezea mazingira mazuri Goal Scorer kufunga pamoja kusaidia na Viungo kati na pembeni katika kuchezesha timu

Hapa ndo inapokuja point kuwa Rooney sio Class Striker kwa kuwa hachezi kwenye nafasi ya Finisher kama Chicharito au Van Persie ingawa Van Persie ana iwezo wa ziada wa kucheza kama Second striker pia.
 
EMT,
Ya Chelsea weka kwenye jukwaa lao,back to the point Manu amefungwa mechi tatu?
 
Last edited by a moderator:
.....acha ubishi nawewe kha?!
Msome Mourinho;

""Juan has to learn to play the way I want to play. He has to be more consistent, has to be more participative when the team loses the ball, and I think it is not his fault. It is just a consequence of the way he played in the last few years."

Read more at Jose Mourinho fires warning to Juan Mata at Chelsea | Football News | ESPN.co.uk

BTW, nimekuja kuweka shada la maua tu, poleni na msiba...

Mkuu kinachozungunzwa juu ya Mata wala siyo kipya. Unakumbuka ile mechi ya Chelsea na Liverpool ambapo Joe Cole alifunga goli dakika za mwisho lakini Mourinho akamkandia kama hana akili nzuri vile? Personally, nilishani Mourihno ni kichaa.

Nakumbuka English media ilimkandia sana Mourinho kwa kumkandia Cole. But Cole accepted the criticisms and becomes a better player.

Hakuna anayebisha kuwa Mata is not a good player. But we also have to agree that just like other players, Mata has got some well known weakness. Inawezekana ni hizo weakeness zinamfanya asipate namba siyo tuu ndani ya Chelsea bali pia kwenye timu yake ya taifa.

Cole explained to the Telegraph: “Now that really annoys me when you say that. He was my manager, he was entitled to criticise me about my football. He criticised me a lot, mind. But he improved me. I went from a player with promise to become a regular at Chelsea and for England.”

Leo anafanya hivyo hivyo kwa Mata, lakini baadhi ya watu wanaona hapana. Kama Mata hataki kui-improve zaidi then aombe transfer request January aende kwenye timu inayoogopa kukosa their best players of the year.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
EMT,Ya Chelsea weka kwenye jukwaa lao,

Siyo wewe iliyeleta issue za Mata hapa? You quoted me and went straight talking about Mata being best player of the year.

back to the point Manu amefungwa mechi tatu?

It was merely a typing error lakini sidhangai wabongo kupenda kukimbilia kwenye vitu vidogo kama hivyo.

Otherwise, I wish you had attention to detail kuhusu uchezaji wa Mata kama ulivyogundua hiyo typing error badala ya kushikilia tuu kuwa he was the best player of the season.
 
537921_429629463825262_1498534107_n.jpg
578643_10153290124780455_50701125_n.jpg
 
Hapo utawadanganya wengine lakini siyo mimi. In the modern football, a winger is a wide attacking midfielders, often characterized by pace, good dribbling and crossing skills.

Chifu, naona umekomalia modern football, modern football. Ebu nisaidie kunifafanulia hiyo modern football.

Kwa hiyo, hata kama RVP angekuwepo bado mgepata kichapo? Rooney nae alicheza ovyo sana jana?

Siwezi kusema kitu cha kufikirika juu ya RvP.

Rooney alicheza average sana kwa standards zake. Hata angecheza vizuri kama timu nzima haingecheza vizuri, isingekuwa na maana.

Kwa ni Oscar pekee ndiyo arudi kukaba. Why not Mata?

Chifu, huwezi kulazimisha mchezaji acheze kwa style hasiyo i-master. Nimeshakwambia sana, Mata is the best player at what is supposed to do. Oscar is far away from Mata when it comes to attacking and playmaking.

If he was the best player he would not have been behind Oscar in the pecking order as the team’s playmaker.

Come on, you are better than that. That is Jose's decision; sometimes best players sit on the bench due to managers' decisions on team selection.

BTW, if Jose keeps on benching Mata, United is going to buy him in January

In deed, the fact that he was their best player in the last two consecutive seasons does not guarantee him a place in the team. If he can attack but he cant defend but there is another player who can do both, then I will pick the latter.

Siyo lazima a-defend; kwani Chelsea ina wachezaji wazuri wanaoweza kufanya defending. Chelsea wanaweza kumtumia Juan katika kuongeza nguvu ya mashambulizi. Jambo ambalo wanalikosa kwa kiasi kikubwa katika mechi zao. Hiyo ya kumchezesha Oscar kwa kuwa anaweza kukaba na kushambulia ni trade-off ambayo inawacost Chelsea. Wanaye Ramires anayeweza kukaba; hivyo Mata angeweza kucheza na Hazard na kusaidiwa na Oscar baadaye.

Messi a complete player, but not an exceptional player like Rooney?

So does Messi back-track as you are trying to brand modern footballers?!?

BTW ebu nisaidie kumwelezea a complete player.

Nilisema a good player not a complete player. Even, if that was the case, Mata is not a complete player. He can't even get into the first 11 of the Spanish national team.
Buddy, that is nonsensical comment! Unamfahamu Giovanni Elber; huyu alikuwa mfungaji bora na moja ya washambuliaji hatari waliowahi tokea Ulaya. Lakini alikuwa anaisikia Brazil kwenye bomba, pamoja na uhatari wake. Ukiweza kueleza kwanini, utapata jibu.

But he has time to be a much better player. Nilikuwa nalinganisha criticisms alizopata Cole; hazina tofauti na anazopata Mata.
Chifu, best players siyo lazima acheze kama unavyotaka wewe. Ni sawa na kutaka Vidic awe anaenda kufanya mashambulizi ili kuwasaidia washambuliaji. Players become the best on what they are supposed to do in their teams.

Cole na Mata ni wachezaji wawili ambao kuwalinganisha inaonyesha jinsi husivyoelewa soka!

Well, this season you have lost three games so far.

Two games buddy, not three; Liverpool and Man City.
 
Hapo utawadanganya wengine lakini siyo mimi. In the modern football, a winger is a wide attacking midfielders, often characterized by pace, good dribbling and crossing skills.



Kwa mujibu wa Vidic aka his captain.



Kwa hiyo, hata kama RVP angekuwepo bado mgepata kichapo? Rooney nae alicheza ovyo sana jana?



Inawezekana hakuna mchezaji kama Rooney na ndo maana Feggie alisema kuwa Rooney is "The White Pele" to the disappointment of the legend.



Kwa ni Oscar pekee ndiyo arudi kukaba. Why not Mata?



If he was the best player he would not have been behind Oscar in the pecking order as the team’s playmaker.

In deed, the fact that he was their best player in the last two consecutive seasons does not guarantee him a place in the team. If he can attack but he cant defend but there is another player who can do both, then I will pick the latter.



Messi a complete player, but not an exceptional player like Rooney?



Nilisema a good player not a complete player. Even, if that was the case, Mata is not a complete player. He can't even get into the first 11 of the Spanish national team. But he has time to be a much better player. Nilikuwa nalinganisha criticisms alizopata Cole; hazina tofauti na anazopata Mata.



Yea, but they are supposed to give 110% on the pitch.



Lilikuwa swali la msingi kama umelisema no problem.



Well, this season you have lost three games so far.

Huyu anayezungumza story za Mata sio wewe?
 
Chifu, naona umekomalia modern football, modern football. Ebu nisaidie kunifafanulia hiyo modern football.

Did you said you are trained to play football?

Siwezi kusema kitu cha kufikirika juu ya RvP. Rooney alicheza average sana kwa standards zake. Hata angecheza vizuri kama timu nzima haingecheza vizuri, isingekuwa na maana.

Sawa kaka.

Chifu, huwezi kulazimisha mchezaji acheze kwa style hasiyo i-master. Nimeshakwambia sana, Mata is the best player at what is supposed to do. Oscar is far away from Mata when it comes to attacking and playmaking.

Sikatai kuwa Mata is a good player and best akiwa on top of his game. Lakini Mata ana weakness moja kubwa. His working rate iko chini na hii imechangia overall performance ya timu yake. Tofauti na Mata, Oscar has a higher working rate lakini nadhani siyo creative kama Mata.

Oscar bado ni mdogo na ana chance ya ku-improve zaidi kwa kuwa more creative and dynamic, though Mata yuko safi in that department. So kama Mata anataka awe on the picking order, then he will have to improve his working rate.

Come on, you are better than that. That is Jose's decision; sometimes best players sit on the bench due to managers' decisions on team selection. BTW, if Jose keeps on benching Mata, United is going to buy him in January

Akishindwa ku-track back kama Valencia jana?

Siyo lazima a-defend; kwani Chelsea ina wachezaji wazuri wanaoweza kufanya defending. Chelsea wanaweza kumtumia Juan katika kuongeza nguvu ya mashambulizi. Jambo ambalo wanalikosa kwa kiasi kikubwa katika mechi zao. Hiyo ya kumchezesha Oscar kwa kuwa anaweza kukaba na kushambulia ni trade-off ambayo inawacost Chelsea. Wanaye Ramires anayeweza kukaba; hivyo Mata angeweza kucheza na Hazard na kusaidiwa na Oscar baadaye.

What I have noted ni kwamba midfield ya Chelsea inakuwa a bit light Mata na Hazard wanapocheza nyuma ya striker. Hii ni tofauti na Oscar anapocheza behind the striker. Huu siyo msimu kama ule wa 2011/2012 ambapo Mata alikuwa creative player pekee in the entire squad. Wala siyo msimu kama uliopita ambapo Hazard na Oscar walikuwa wana-adapt

At the end of the say consideration should be what a team needs most: creativity or mchezaji anayefit better kwenye philosophy ya team? At the end of the day do Oscar, Hazard plus one player make up for Mata creativity or not?

So does Messi back-track as you are trying to brand modern footballers?!?

Of course, Messi always tracks back 40-50 yards, starts a move and finishes it all by himself. Mchezaji ambaye ha-track back ni Neymair. Unlike Mata, Messi is not afraid to track back and help team-mates out.

BTW ebu nisaidie kumwelezea a complete player.

You told me you're a trained footballer. Definitely, you must have been thought how to become a complete player.

Buddy, that is nonsensical comment! Unamfahamu Giovanni Elber; huyu alikuwa mfungaji bora na moja ya washambuliaji hatari waliowahi tokea Ulaya. Lakini alikuwa anaisikia Brazil kwenye bomba, pamoja na uhatari wake. Ukiweza kueleza kwanini, utapata jibu.

Yea, alikuwa one of the top strker Bundersliga lakini kulikuwa na competition kubwa kwneye timu yake ya taifa. Kwa striker inaweza kuwa ngumu to break into the national team, lakini therere are more chances kwa midfielder, tena a creative midfielder. Spain has got top midfielders, lakini kama Mata anataka awe regular in that squad, then he will have to improve his work rate. Maana akina Navas na Isco nao wanabisha hodi. Mata will improve kama akizikubali hizo kasoro na kuzifanyia kazi. Badala ya kuwa tuu a creative player atakuwa better kwa kila kitu. Sioni ubaya wowote hapo.

Chifu, best players siyo lazima acheze kama unavyotaka wewe. Ni sawa na kutaka Vidic awe anaenda kufanya mashambulizi ili kuwasaidia washambuliaji. Players become the best on what they are supposed to do in their teams.

Any player must fit in the philosophy of the team. The fact kuwa a certain player is best does not guarantee him kucheza atakavyo. Lazima afiti na akubaliana na style mchezo. Hata Neymair atabadilika hapo Barca. He will have to play the way Barca plays.

Cole na Mata ni wachezaji wawili ambao kuwalinganisha inaonyesha jinsi husivyoelewa soka!
Sijawalinganisha Mata na Cole kama wachezaji, bali nimelinganisha criticisms walizopewa na Mourihno. Zinafanana au hazifanani?

Two games buddy, not three; Liverpool and Man City.

Noted. Typing error
 
Huyu anayezungumza story za Mata sio wewe?

We have been discussing Mata on this thread since yesterday anyway.

Wewe umekuja na kurukia kati kilichokuwa kinajadiliwa.

Umeingia na kuanza kumjadili Mata huku ukihoji kwa nini tunamjadili huyo Mata humu. Didn't you?
 
I am not making an academic argument. In fact, I am not making an argument. Rather, I am providing factual information.

Sasa Wikipedia kuwa na factual information ndiyo tatizo langu. Siyo reliable source kwa factual information. Hiyo source mtu yeyote naweza kwenda kuandika kile anachojisikia. Ni mara elfu husiiquote kabisa!!

You said you have been trained to played football. That doesn't matter as you can make mistake as well as unless you tell us that you are perfect.

Nimesema awali, soka ni mchezo wa makosa. Bila makosa hakuna utamu wa soka. Sasa sijui unaandika nini tena?

Kwani "another top class number 9" siyo striker?

Chifu, husilete ubishi wa kubisha tu ili uonekana unaweza kubisha. Unajiaibisha tu.

Nilichokisema awali na wewe kuki misquote na kutengeneza hoja yako, ilikuwa inatosha kabisa kwa mimi kuacha hata kukujibu. Ila nimeheshimu mawazo yako; ndiyo maana nimeendelea kukujibu.

Ila huko unakoelekea nafikiri, nitaacha kukujibu! Maana tunakuwa tunazunguka kwenye round-about tu!

Kweli hatuwezi kuelewana kwa sababu those positions aren't static or that each team must use them. Each team play differently and have got different players to play differently. Kwa mfano, ukiangalia kikosi cha Man Utd kuna wachezaji ambao wamekuwa identified kama wingers. Lakini ukiongalia kikosi cha Chelsea hakuna winger hata mmoja. Instead wanaitwa midfielders whether attacking or not. Which means tunaweza kubishana for nothing for the who day.

Sasa unachokisema mbona kinapingana na msimamo wako juu ya Mata?!? Kumbe unajua kila timu ina play differently!!?!???

Ndo maana wanategemea zaidi kwenye counter-attack. Lakini Madrid wanacheza 4-2-3-1 siyo 4-4-2 ya Man Utd.

Chifu, husijifanye kuifahamu United; hauifahamu vya kutosha. Formations za timu siyo static kabisa. Timu inaweza kuanza na 4-4-2, kisha ikaenda kwenye 4-3-3, kisha ikicheza 4-5-1, kisha 4-2-3-1, kisha 4-3-2-1. Hivyo husijitie aibu kusema United inacheza 4-4-2!!! Mara nyingi siku hizi United uanza na 4-2-3-1 na kubadili kuwa 4-3-2-1, ama 4-4-1-1. Kuna kipindi diamond formation 4-1-2-1-2 ndiyo iliyokuwa ikitumiwa sana na United. Hii SAF ndiyo iliipenda sana haswa baada ya Cleverley kuingia 1st team na ujio wa Shinji.

You have to adapt according to the game. Some positions are better in certain games, some are not. 4-4-2 jana ilikuwa haiwafai. In fact enzi za Ferggie mechi kubwa kama hizo alikuwa anabadili tactics.

Jana United hawajacheza 4-4-2 hata sekunde moja. United ilianza na 4-4-1-1 na City walianza na 4-2-3-1. Kisha kipindi cha pili, United walibadili na kutumia 4-3-3 ndiyo maana United walimiliki mpira vizuri kuliko kipindi cha kwanza, baada ya kuwa na wachezaji wengi kwenye half ya City. Kinyume na kipindi cha kwanza ambapo wachezaji wanne tu ndiyo walikuwa kwenye half ya City; Rooney, Danny, Antonio na Ashley. Kwa kutokuwepo kwa RvP, Moyes angeanza kama alivyoanza 2nd half. Ila kwa kuwa soka ni mchezo wa makosa, City alicapitalise makosa ya United.

Mnao watatu tayari lakini mmewaweka bench huku mnataka namba 9 mwingine. Ni top No 9 gani huyo ambaye atakubali kupasha bench moto asubiri mpaka RVA aumie ndo yeye acheze.

Javier ni top class super sub number 9. Nafikiri unaelewa ninachokisema.

RVP kakosa mechi tuu tayari unataka top 9 mwingine? Angekuwa ameumia msimu mzima sawa. You just need to rotate your players ili wawe fit muda wote.

Tatizo wewe siyo mfuatiliaji wa uzi huu. Suala la kuhitaji namba 9 mwingine limeshajadiliwa sana humu. Ndiyo maana mwaka jana na huu, United walikuwa wakimwinda Lewandoski.

Hilo la kurotate wachezaji halina ubishi.

Sure man Utd is an institution, do doubt about that. If any any top class number 9 would fancy the idea of competing for a position with another top class central forward, then Rooney asingetingisha kiberiti.
[/QUOTE]

Rooney siyo central forward chifu. Rooney hakupenda kuchezeshwa kwenye wings na SAF. Yeye anapenda kucheza nyuma ya namba 9; kama ilivyokuwa kwa Eric the king na Teddy Sheringham. Pia ufalme wa ghafla wa RvP OT ulimtisha. Ila sasa ametambua OT ndipo mahala panapomstahili, washabiki wamemwonyesha hivyo. Na ametambua kwamba yeye na RvP wanatengeneza deadly duo; kitu ambacho ni United's tradition kuwa na deadly duo.
 
Did you said you are trained to play football?

Chifu, si uelezee! Modern football ni nini?!? Mbona unarukaruka?!? Elezea tafadhali; na toa mifano ya timu zinazocheza modern football.

Sikatai kuwa Mata is a good player and best akiwa on top of his game. Lakini Mata ana weakness moja kubwa. His working rate iko chini na hii imechangia overall performance ya timu yake. Tofauti na Mata, Oscar has a higher working rate lakini nadhani siyo creative kama Mata.

Kwa hiyo, hiyo working rate yake iliyo chini haikuonekana wakati alipochaguliwa kuwa mchezaji bora wa Chelsea katika misimu 2 iliyopita? Mbona ianze kuwa tatizo chini ya Noisy One!!

Tatizo ni moja, kwa mfumo wa Mourinho, defensive play, Mata hana chake Chelsea. The noisy one anatamani hadi Cech awe anakaba yaani! Akili zake zinawaza kukaba tu; sasa siyo wachezaji wote wanakuwa wazuri kwa kukaba. Kuna walio wazuri katika kukaba na walio wazuri kushambulia.

Oscar bado ni mdogo na ana chance ya ku-improve zaidi kwa kuwa more creative and dynamic, though Mata yuko safi in that department. So kama Mata anataka awe on the picking order, then he will have to improve his working rate.

Hana haja ya kufanya hivyo ili kumfurahisha Mourinho. Mata is already one of the best players in Europe. Jambo la msingi ni yeye kufungasha virago hapo Januari ili hasiue kipaji chake kwa kulazimishwa kuwa anakaba na noisy one.

Aje United ili amwonyeshe huyo mpiga makelele Morinyo jinsi thamani yake ilivyo.

What I have noted ni kwamba midfield ya Chelsea inakuwa a bit light Mata na Hazard wanapocheza nyuma ya striker. Hii ni tofauti na Oscar anapocheza behind the striker. Huu siyo msimu kama ule wa 2011/2012 ambapo Mata alikuwa creative player pekee in the entire squad. Wala siyo msimu kama uliopita ambapo Hazard na Oscar walikuwa wana-adapt

Haya. Naona nikubali tu; la sivyo nitaanza kujifanya naifahamu Chelsea kihivyo. Mimi namkubali sana Mata; anakuwa under-utilised sasa, inasikitisha.

At the end of the say consideration should be what a team needs most: creativity or mchezaji anayefit better kwenye philosophy ya team? At the end of the day do Oscar, Hazard plus one player make up for Mata creativity or not?

Naona kwa mfumo wa kupaki basi; hakika Morinyo atampiga benchi Mata. Atamchesha kwenye makombe ya mbuzi kama Capital One Cup n.k.

Of course, Messi always tracks back 40-50 yards, starts a move and finishes it all by himself. Mchezaji ambaye ha-track back ni Neymair. Unlike Mata, Messi is not afraid to track back and help team-mates out.

Mh! Sasa hapa unaanza kuleta maagizo! Messi huyu huyu?? Ama Messi wa hapo unapoishi?!?

Hii mpya! Messi ana track back 40-50 yards!!! Kuna tofauti kati ya kudribble mpira kwa hizo yards na ku track back kama unavyoelezea hapa. Messi ni dribbler mzuri sana; sasa anaweza kupokea pasi kwenye mstari wa katikati na kudribble hadi kwenye 18 ama 6 ya wapinzani.

Sasa useme kama hivyo ndivyo unamaanisha ku track back. Kama ndivyo, mbona Mata naye udribble mpira kutoka kwenye mstari huo mara nyingi tu!

Pia, hizo 50 yards (mita 45.72 = 46) katika pitch ya mita 100, sina ina maana Messi anakuwa bado yupo ndani ya half ya wapinzani? Kwa kawaida soccer pitch uwa ni kati ya 100-130 yards; sawa na mita 91-119. Sasa huko ndiko ku track back? Hili nalo mbona Mata anafanya?!?

Kama unaongelea ku track back in the sense of getting the ball from oppositions in your own half, basi Messi si mchezaji wa aina hiyo.

You told me you're a trained footballer. Definitely, you must have been thought how to become a complete player.

Sema, who is a complete player. Acha kuleta sababu. Who is a complete player? Toa na mifano tafadhali.

Yea, alikuwa one of the top strker Bundersliga lakini kulikuwa na competition kubwa kwneye timu yake ya taifa. Kwa striker inaweza kuwa ngumu to break into the national team, lakini therere are more chances kwa midfielder, tena a creative midfielder. Spain has got top midfielders, lakini kama Mata anataka awe regular in that squad, then he will have to improve his work rate. Maana akina Navas na Isco nao wanabisha hodi. Mata will improve kama akizikubali hizo kasoro na kuzifanyia kazi. Badala ya kuwa tuu a creative player atakuwa better kwa kila kitu. Sioni ubaya wowote hapo.

Kwa nini ni ngumu kwa striker kama Elber ku break into a national team. Na kwa nini midfielders wana chances kubwa kubreak into a national team kuliko strikers?

Any player must fit in the philosophy of the team. The fact kuwa a certain player is best does not guarantee him kucheza atakavyo. Lazima afiti na akubaliana na style mchezo. Hata Neymair atabadilika hapo Barca.

Hii ni sawa kabisa. Ila mind you, fitting a player into a playing philosophy that isn't his, may negatively affect the player's form and quality. Ni sawa na pale SAF alipomlazimisha Wayne acheze kwenye wings badala ya nyuma ya namba 9, ili tu SAF aweze kutumia diamond formation yake! Kiwango chake kilitetereka!

So moving on may be the only best option for such a player, kama kocha akiendelea kushikilia msimamo wake.

Ila kumbuka, best players always produce best chances and best plays. So having the best player in your team is an added advantage.
 
Ngoja na mimi nijaribu kuchangia kadiri ya uelewa wangu, Kwanza katika Mechi ya jana Valencia hakucheza kama kawaida kutokana na Timu nzima kuwa vibaya na Hapakuwa na Maelewano kati yake na Smalling ambaye jana hakuwa kwenye form kabisa (Binafsi jana ningependa kuona Smalling anatoka then Valencia arudi kucheza nafasi yake na kuingia winga mwingine ambaye wangeshirikiana kusukuma mashambulizi)

Kuhusu Nafasi na Mfumo wa Kiuchezaji

Katika Mpira position mara nyingi hutegema na mfumo wa timu, But general speaking namba za wachezaji zipo in pair,

Defense
Mabeki wanawezwa kugawanywa katika Makundi Makubwa mawili au Matatu kulingana na Mfumo. Kwanza kuna Pair ya Mabeki wa pembeni (yani Full back left and Right), Pili kuna Mabeki wa Kati hawa wanatofautina kidogo kimajukumu japo kwenye mfumo unaweza kuwaona wanacheza kwenye line moja. hapa kuna Centre-Back (Center half) na kuna Sweeper (Libero) ambao wanatofautina kimajukumu. Center Back yeye kazi yaki ni kumtrack na kumkaba namba 9 pamoja na kucheza mipira yote ya Hatari ya kwanza (Kwa Utd hii ni kazi ya Vidic) na Libero au Sweeper (kwa Utd ni Rio /Evans au Smalling) kazi yake kubwa ni kusoma mchezo na kuorganize/kupanga wenzake, kuclear lose balls baada ya Centre back kutibua move, pamoja kusaidia Kuziba mianya au kufuta makosa na wenzake.
[h=3][/h]Midfield
Viungo nao wanaweza kugawanywa katika makundi Matatu, kwanza kuna Mawinga au washambuliaji wa pembeni wenye jukumu la kusaidia walinzi wa pembeni na zaidi kusaidia Washambuliaji wa mbele au kati, Pia kuna kiungu mkabaji yani namba 6 na Kiungo mshambuliaji na mchezeshaji yani namba 8

Forward
Hawa wapo wa aina mbili kuna Msambuliaji Mfungaji (Centre forward/Finisher/Predator/Goal scorer/Goal Hunter/Goal Gater) huyu kazi yake kubwa ni kufunga tu hana kazi nyingine.

Pia kuna mshambuliaji tunaweza kumuita msaidizi (Second Striker/Goal maker/Support Striker) huyu kazi yake kubwa ni kumtengenezea mazingira mazuri Goal Scorer kufunga pamoja kusaidia na Viungo kati na pembeni katika kuchezesha timu

Hapa ndo inapokuja point kuwa Rooney sio Class Striker kwa kuwa hachezi kwenye nafasi ya Finisher kama Chicharito au Van Persie ingawa Van Persie ana iwezo wa ziada wa kucheza kama Second striker pia.

Asante chifu kwa ufafanuzi na maelezo yako. Yameweka vizuri kile ninachokisema.
 
Asante chifu kwa ufafanuzi na maelezo yako. Yameweka vizuri kile ninachokisema.

Kuna wachezaji kama Rooney wanachanganya sana unaweza kusema ni Natural strikers lakini sio, The Thiery Henry alikuwa mzuri sana pale mbele lakini si natural striker ndo mana alikuwa ana uwezo wa kuzunguka angle zote na kufanya mambo makubwa ambayo Natural striker hawezi kufanya
 
For Nani aondoke tu kwa kweli maana kavumiliwa sana habadiliki tu
Tatizo la Moyes kama alivyo Maurinho kwa sasa ni squad selection.
Sioni sababu ya kumweka bench Shinji, Nani na Chicharito then badala yake unawapanga Fellaini, Welbeck na Valencia.
Welbeck ni mchezaji wa kawaida sana na alitakiwa awe sub na si mchezaji wa kumweka Chicharito bench
 
For Nani aondoke tu kwa kweli maana kavumiliwa sana habadiliki tu

Nani unajua amesaini mkataba mpya mwanzo mwa msimu? Mimi nikadhani Moyes atakuwa anamtumia; sasa nashangaa kukalia benchi.

Ningependa kwenye wings wacheze Antonio, Nani na Zaha, wakisaidiana. Young ndiyo wa kuhama.
 
Tatizo la Moyes kama alivyo Maurinho kwa sasa ni squad selection.
Sioni sababu ya kumweka bench Shinji, Nani na Chicharito then badala yake unawapanga Fellaini, Welbeck na Valencia.
Welbeck ni mchezaji wa kawaida sana na alitakiwa awe sub na si mchezaji wa kumweka Chicharito bench

Nakubaliana na wewe. David ana struggle kupanga timu. Kwenye game ya Leverkusen alianzisha kikosi kizuri sana. Nikishangaa jana, anamwacha Kagawa nje! Huku Nani na Chicharito wakisugua benchi!!

Sijui kwa nini anafanya hivyo!

Kagawa, Nani, Chicharito na Zaha siyo wachezaji wa kukaa benchi dakika 90!

David angetumia diamond formation, inayowaweka midfielders wengi kusaidia forward na backs. Hii itamfanya Shinji acheze mechi zote.

Anyway, kocha ndiye mwenye uamuzi wa mwisho; naye ndiye anajua timu yake.
 
article-0-182C338E00000578-663_634x442.jpg



Down and out: Goggs watches Manure go down 4-1
but David Moyas can't bear to look




article-2429806-182C3A4F00000578-515_634x621.jpg

Criticised: Goggs made his feelings known to fourth
official Oliver at half-time



Mmeanza EPL vizuri hongereni chana chana Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom