Kocha wetu si mzuri sana wa mbinu za ushindiMsimu huu tukiwa serious tunaweza kufanya jambo
Maana hata zile timu zinazoaminiwa zinasuasua
???★
Raha zako zinaendeleaje
Hamjambo nyie maibilisi wekundu![]()
Ward prowse huyu, alitakiwa Atoke mapema sana, sema bahati yake, dk 25 za mwanzo alishafanya foul 2 za Yellow.
★
Ward prowse huyu, alitakiwa Atoke mapema sana, sema bahati yake, dk 25 za mwanzo alishafanya foul 2 za Yellow.
Hakika mkuu,,Duh! Zile ndosi za cavan mjinga mjinga hafungi tofauti kati ya wavulana na watu wazima imeonekana

ila kavani kanifurahisha sana Mwenye namba ake anipe nataka kumtumia na yakutolea
★
Hakika mkuu,,
Ndy maana nikasema siku moja wakati namchambuwa martial,,
Nilisema strike gani hapigi vichwa?
Leo ndy imeonekana dhahiri kwamba striker no 9 lazima ujuwe kupiga mashuti,,na pia uwe mkali wa vichwa,,
Naamini mkuu sasa timu pinzani zikicheza na man u,,
Macho yote kwa cavani,,,
Hata van persi analijuwa hilo,,,View attachment 1637859
Huyo jamaa anamkubali sana cavani... anasema cavan anajuwa sana kukaa sehemu za kufunga..
Itakuwa safi. Tena kocha awe serious kias kwamba ayakae zingua . Benchi litamuhusu
Nitakupa ya martial mkuu,,,ya cavani sina★Lile shuti la Bwana Bruno lilikuwa lakuuwa mtu aseeila kavani kanifurahisha sana Mwenye namba ake anipe nataka kumtumia na yakutolea
★
Huyo jamaa anamkubali sana cavani... anasema cavan anajuwa sana kukaa sehemu za kufunga..
Tatizo la man u ni hakuna mtu sahihi wa kumlisha mipira afunge..
★
Nitakupa ya martial mkuu,,,ya cavani sina
El MatadorView attachment 1637734