Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

insta_2453212843303418986.jpeg
 
cavani angefanya nini pale? kila siku nawaambia humu Man united bila martial mbele hatufanyi kitu,

amekosa mechi 4 za ligi, tumeshinda 1 tu, tena na newcastle, amerudi tumeshinda mfululizo mara 3, leo hayupo mambo yanaendelea.

si Greenwood ama Cavani ambaye anaweza fanya Deep completion kule mbele, Martial japo amemiss mechi zaidi ya 4 za ligi, ndio striker anayeongoza kwa deep completion, more than any other player ligi nzima.
View attachment 1637695

kama twitter yako haijafungiwa angalia hapa


wote cavani na greenwood hawana uwezo wa kuhold mpira na ku operate kwenye tight space na kutoa pasi ama nafasi wengine waweze kuzitumia.
Unajisikiaje mkuu.
 
mkuu ni kweli Cavani ameniprove wrong (half of my comment) ila bado na stand na point yangu, hata leo ukiangalia sisi na southhampton hatujatofautiana sana, na point yangu ipo valid kukosa mtu wa kuhold mpira mbele, tukiwashambulia sekunde 30 tu wapo golini kwetu.
Ni kweli unachosema mkuu ila uyo mtu hawezi kuwa Martial.
 
Cavan kwa mara ya kwanza leo anamfanya Chief Mkwawa(No disrespect) akose cha kumtetea Martial utetezi wa jamaa huwa unaingia sana moyoni lkn akili yangu huwa inakataa kabisa...Thanks Cavani.
Halafu mbaya zaidi hata ole anajuwa kama cavani ni mtu hatari,,
Lakini hataki tu kumpa nafasi..

Kocha bwege sana huyu.

Haya ni maneno ya ole kabla ya mechi ya Leo.
Screenshot_2020-11-29-12-27-59.jpeg
 
Wachezaji wawe serious sasa, hatupo mbali na mtu wa juu ya msimamo na mchezo wetu mmoja mkononi. Miaka inaenda aisee mpaka lini tutaisubiri Premier League.
Mimi bado naamini msimu huu tunachallenge ligi, timu pekee ambayo kidogo inatisha ni spurs, na wao pia sidhani kama wana depth ya maana hasa vile wanacheza Europa
 
Back
Top Bottom