Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,637
Wakati huo na wewe umelala kifo cha mende



mashabiki wa Man U mna majibu balaa


Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Wakati huo na wewe umelala kifo cha mende



mashabiki wa Man U mna majibu balaa


Kuna bwege mmoja kavamia Uzi wetu wa man u na kuanza kutukashifu..
Nilishangaa uliposema pale Man u Cavani hana watu wa kumtengenezea magoli afunge.Maneno ya van persi mkuu,,sio mmView attachment 1637879
Umemuelewa vzr van persi?Nilishangaa uliposema pale Man u Cavani hana watu wa kumtengenezea magoli afunge.
Wakati Bruno Fernandes ametengeneza scoring chances nyingi kuliko mchezaji yoyote EPL mpaka sasa.
Unataka watu gani hao wa kumtengenezea hizo nafasi ?
Hawa watoto tuna wadharau kwa sababu hatuangalii mbali msimu uliopita utatu wao ulikuwa na magoli 51 combined.Mkuu tungekuwa na martial,rashford na mdogo wa greenwood tulikuwa tunaliwa mbili 0
Kwa maana hiyo unataka tufanye usajili wa wapiga majalo siyo ?Umemuelewa vzr van persi?
Hata kama Bruno ametengeneza nafasi,, lakini ni nafasi sahihi kwa sehem sahihi?
Umeona magoli ya leo yalivyofungwa?
Sasa cavani anapaswa atiliwe majalo,,
Kinachofata muulize kipa wa Southampton..
Benchi linamhusuHuyu Ole akitaka kututibua leo aanze na Martial as a no.9
Wachambuzi wanasema cavani amechelewa kufunga na kufit ktk mfumo wa ole sababu man u kwa muda mrefu haikuwa na proper no 9 tangu ibrahimovic alipoondoka,,Nilishangaa uliposema pale Man u Cavani hana watu wa kumtengenezea magoli afunge.
Wakati Bruno Fernandes ametengeneza scoring chances nyingi kuliko mchezaji yoyote EPL mpaka sasa.
Unataka watu gani hao wa kumtengenezea hizo nafasi ?
Mkuu mpira hauna last season performance,,Hawa watoto tuna wadharau kwa sababu hatuangalii mbali msimu uliopita utatu wao ulikuwa na magoli 51 combined.
Ni utatu uliokuwa na goli nyingi zaidi epl leo hii tunawananga kama hawafanyi chochote.
Kwenye UEFA champions League Rashford kafunga kila mechi except one.
Greenwood amecheza dakika chache sana lakini ana goli na assist.
Kama ni chuki binafsi tuwachukie tu lakini heshima yao tuwapatie
Hawazingui chochote isipokuwa sisi tunataka matokeo makubwa wakati hawako formMkuu mpira hauna last season performance,,
Watu wanaangalia current season nini unafanya..
Kama ingekuwa tunafata records za last season tungeenda na James first 11...
Madogo wanazinguwa sn
Hivi leo bila majalo ingekuwaje?Kwa maana hiyo unataka tufanye usajili wa wapiga majalo siyo ?
Kama hawako form,,basi wawaachie namba akina el matador.Hawazingui chochote isipokuwa sisi tunataka matokeo makubwa wakati hawako form
Hivi vitoto ndiyo vinatuchelewesha, kuwa out of form siyo ishu ni part ya mchezo.Hawazingui chochote isipokuwa sisi tunataka matokeo makubwa wakati hawako form
Mtu yoyote anayesema Ole hana mbinu simuelewi kabisa kusema kweli.Three things are certain in life. Taxes, death and Spurs bottling the league. I can bet my life those guys hawawezi kubeba ndoo. Wanachangamsha genge tu.
Kuhusu ku-challenge ndoo kusema ukweli Ole ana uwezo mdogo sana kimbinu. Mechi almost 90% ya msimu huu tulizoshinda sio strategy ya mwalimu ni juhudi binafsi za baadhi ya wachezaji hasa hasa Bruno.
Nashawishika kuamini kwa sasa ni ngumu sana Manchester United kupata ushindi bila Bruno uwanjani. Ole hawezi kutupa kombe la maana labda Carabao.
Mou sio mtu mzuri mkuu, katupa point 81 usisahau na hatukua na kikosi kama spurs ya leo.Hawana ubora wa kubeba kombe labda wamalize nafasi nne za juu.
Collectively as a team, Wana execute vizuri strategy za mwalimu ila in long run siwaoni wakibeba ndoo.
Mkuu uwe unakubali tuu pale ukweli unapowekwa hadharani, hao watoto wana makosa mengi kila mtu anaona, hatuwezi kufika popote na hao kina rash na Martial, mpira unachezwa hadharani everybody can see.Hawa watoto tuna wadharau kwa sababu hatuangalii mbali msimu uliopita utatu wao ulikuwa na magoli 51 combined.
Ni utatu uliokuwa na goli nyingi zaidi epl leo hii tunawananga kama hawafanyi chochote.
Kwenye UEFA champions League Rashford kafunga kila mechi except one.
Greenwood amecheza dakika chache sana lakini ana goli na assist.
Kama ni chuki binafsi tuwachukie tu lakini heshima yao tuwapatie
Mkuu huwa nakuelewa sn, PTER anampenda sn Ole kiasi Cha kwmb Kuna mda huwa anatamani kupindisha ukweli ili tu ukweli usijulikane, simsemei ila iko hvyo.Mkuu mpira hauna last season performance,,
Watu wanaangalia current season nini unafanya..
Kama ingekuwa tunafata records za last season tungeenda na James first 11...
Madogo wanazinguwa sn
Kweli kabisa mkuu.Hivi vitoto ndiyo vinatuchelewesha, kuwa out of form siyo ishu ni part ya mchezo.
Ila UCHOYO wao unanikera sana. Imagine Bruno aliyebakiza goli moja kupiga hat-trick timu ikiwa inaongoza dk za mwisho anapata nafasi lakini anampasia Cavani ambaye yupo eneo zuri.
Ila Rashford ambaye timu imetanguliwa kwa magoli mawili anapiga mpira angle ambayo ni 50% kufunga, 50% kukosa anamuacha Cavani kwenye nafasi ya wazi.
Fernandes ni moja ya wachezaji wanaothamini zaidi perfomance ya timu, hawa walevi James na Rashford ni mafala sana.
Tunacholaumu mashabiki ni consistency ndo mana huwa tunafikia kusema ni uwezo wa mchezaji mmoja mmoja cz hata leo tulishapoteana km co Bruno na El Matador.Mtu yoyote anayesema Ole hana mbinu simuelewi kabisa kusema kweli.
Hivi kocha asie na mbinu anaweza kumpiga Pep na makocha wengine top 6 kirahisi vile? Kila tukicheza na timu kubwa anapanga formation za ajabu ajabu mara 4-3-1-2 mara 3-5-2 mara diamond na formation nyengine, kwa asilimia kubwa tunawakamata na tunawafunga kirahisi mapema kabisa tunamaliza mechi.
Tulidrop round ya kwanza msimu uliopita sababu ya majeruhi ila round ya pili tulishinda mfululizo tulipokuwa na kikosi kamili, si wakubwa si wadogo tukafika hadi nafasi ya 3.
Msimu huu Ole amefanya kazi nzuri kuongeza Depth kwa Vdb, Cavani na Telles, wanatupa option zisizokuwepo msimu uliopita, wakati kama Huu shaw kaumia ndio tulikuwa tuna William panga pangua.
Leo hii ole amefanya Sub kipindi cha pili kilivyoanza tu hamna anaempa credit ila ni individual brilliance tu za wachezaji?
Huyu alishaisahau Arsenal kabisa



