Kama umeangalia mechi ya West brom, kwa dakika Chache ambazo martial alienda Kushoto, rashford akaenda Kulia na cavani katikati, tulikuwa fluid sana.

Unapozungumzia fluid Attacking kwenye mpira unamaanisha ule uwezo wa wale wachezaji pale mbele kucheza nafasi zaidi ya moja. Wanaposhambulia wanaweza kubadilishana nafasi haraka haraka kutengeneza movement na kuwatoa defenders kwenye nafasi.

Kwa Timu yetu fluid ipo kushoto tu baina ya Martial na Rashford, hawa wapo comfortable kucheza striker ama ku cut in toka kushoto, na ni jambo la kawaida martial kumkuta kushoto japo anachezeshwa kati ama kumkuta Rashford kati japo yeye ni wa kushoto.

Mata alicheza Kulia mechi na WBA, Mata hawezi ku echange na wenzake, hawezi kudrible past player na muda mwingi anakuja katikati hivyo fluid inaharibika kulia.

Ndio maana mshabiki yoyote wa Man Utd anaefahamu hata basics za Formation utaona anataka winga wa kulia na makocha wote kuanzia LVG, mou mpaka Ole wanataka winga Lakini Bwana Mkubwa Woodward anajua zaidi.
Hiyo playing style ni identity ya United?
 
Hiyo playing style ni identity ya United?
Si identity ya fergie muda mwingi ila tumeshaitumia sana, hasa united ya 2008 ambayo Ole ndio alikuwa kocha wa maforward chini ya fergie.

Ronaldo, Tevez na Rooney wote walikuwa wakicheza pamoja, wanashuka chini wanapanda pamoja, wanabadilishana muda wote, Hii formation ilipewa Nickname ya 4-6-0.
 
Hiyo playing style ni identity ya United?
Mkuu sasa ni modern football,,, enzi ya kutegemea style moja tu,,,, kuweka majalo ,,, zimekwisha..

Lazima timu iwe na mbinu mbadala..

--Sometimes mnatumia pembeni,,
--Sometimes mnatumia njia za kupenyeza..
---Sometimes mnatumia long balls,,,
--Short passes.. Nk..
-- hata kutengeneza penalty.. Kkkkkkkk
Zote ni.mbinu mkuu..

Now timu hazina really identity ktk football ,,,
Wanachotaka ni ushindi..
 
Mkuu sasa ni modern football,,, enzi ya kutegemea style moja tu,,,, kuweka majalo ,,, zimekwisha..

Lazima timu iwe na mbinu mbadala..

--Sometimes mnatumia pembeni,,
--Sometimes mnatumia njia za kupenyeza..
---Sometimes mnatumia long balls,,,
--Short passes.. Nk..
-- hata kutengeneza penalty.. Kkkkkkkk
Zote ni.mbinu mkuu..

Now timu hazina really identity ktk football ,,,
Wanachotaka ni ushindi..
But tunaambiwa OGS alipewa kazi arudishe identity ya United
 
But tunaambiwa OGS alipewa kazi arudishe identity ya United
Identity ya united ni attacking football,,
Sio mambo ya kuchezesha double defensive midifilders...na kujilinda zaidi kuliko kushambulia.

Anapaswa aweke watu wa kupush sana mbele,,kushambulia zaidi.
Ndy maana alipokuja morinho hakufit pale,,united.
Ilionekana anatuletea mambo ya park bus..
Tena old Trafford.
 
kumbe unapigia kelele kitu ambacho hukijui ?
Mkuu umetaka kuelezwa double attacking midifilders ni ipi?na wanapangwane?

Nikakuwekea kikosi,,
Na image ya man u yenye aina ya formation pia nikakuwekea,,

Sasa kuniambiya huyo ni mfumo gani ulimaanisha nn?

Au uonekane unafahamu zaidi kuliko wengine?.
 
Back
Top Bottom