Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,584
mimi nataka kujua hiyo double attacking ndiyo kitu gani siyo kujimwambafai sina nia wala sababu ya kufanya hivyo.Mkuu umetaka kuelezwa double attacking midifilders ni ipi?na wanapangwane?
Nikakuwekea kikosi,,
Na image ya man u yenye aina ya formation pia nikakuwekea,,
Sasa kuniambiya huyo ni mfumo gani ulimaanisha nn?
Au uonekane unafahamu zaidi kuliko wengine?.