Ushindi mapema sana au sio, NYUMBU bana mnajua kujifariji sana
Ipo vzr..lakini lazima tuweke double attacking midifilders hapo mbele acheze na Bruno,,inapaswa kati ya rashford,, au martial mmoja aanzie bench,,kulia akae mata..au VDB..
tutashinda mapema sn
 
Hapana aisee tunahitaji winga wa kulia kuliko kitu chochote kile,

Huyo Haaland akija atakabwa vile vile sababu timu ipo predictable,

Nafkiri dunia nzima ni sisi peke yetu tunaocheza na fluid strikers bila mtu wa kulia.

Dortmund mastriker wengi wapo njema sababu ya kina Sancho, reus, hazard, brandt etc, angalia miaka nenda miaka rudi lazima utakuta Dortmund kuna wide players wazuri, kina Pulisic.

Unapokuwa na watu watatu mbele ambao wote ni hatari kufunga ina maana hata mabeki unawagawanya, hapa hata Striker akimvuta Beki mmoja pembeni ni rahisi mtu kama Bruno kufunga.

Ila ukicheza bila forward/winga wa kulia inamaana beki wa kushoto ama fullback wa kushoto anakuwa free muda wote na ku re enforce beki.

Fluid Attacks Zote Kuanzia BAle benzema na Ronaldo, Messi, Neymar na suarez hadi hii ya Mane, firmino na Salah lazima itimize huo utatu, huwezi kuwa fluid halafu utokee tu kushoto 99%.
Hiyo fluidity unayoiongelea mbona siioni? Au wewe unaangalia mpira upi tofauti na ninaouangalia mimi?
 
Hiyo fluidity unayoiongelea mbona siioni? Au wewe unaangalia mpira upi tofauti na ninaouangalia mimi?
Kama umeangalia mechi ya West brom, kwa dakika Chache ambazo martial alienda Kushoto, rashford akaenda Kulia na cavani katikati, tulikuwa fluid sana.

Unapozungumzia fluid Attacking kwenye mpira unamaanisha ule uwezo wa wale wachezaji pale mbele kucheza nafasi zaidi ya moja. Wanaposhambulia wanaweza kubadilishana nafasi haraka haraka kutengeneza movement na kuwatoa defenders kwenye nafasi.

Kwa Timu yetu fluid ipo kushoto tu baina ya Martial na Rashford, hawa wapo comfortable kucheza striker ama ku cut in toka kushoto, na ni jambo la kawaida martial kumkuta kushoto japo anachezeshwa kati ama kumkuta Rashford kati japo yeye ni wa kushoto.

Mata alicheza Kulia mechi na WBA, Mata hawezi ku echange na wenzake, hawezi kudrible past player na muda mwingi anakuja katikati hivyo fluid inaharibika kulia.

Ndio maana mshabiki yoyote wa Man Utd anaefahamu hata basics za Formation utaona anataka winga wa kulia na makocha wote kuanzia LVG, mou mpaka Ole wanataka winga Lakini Bwana Mkubwa Woodward anajua zaidi.
 
Kama umeangalia mechi ya West brom, kwa dakika Chache ambazo martial alienda Kushoto, rashford akaenda Kulia na cavani katikati, tulikuwa fluid sana.

Unapozungumzia fluid Attacking kwenye mpira unamaanisha ule uwezo wa wale wachezaji pale mbele kucheza nafasi zaidi ya moja. Wanaposhambulia wanaweza kubadilishana nafasi haraka haraka kutengeneza movement na kuwatoa defenders kwenye nafasi.

Kwa Timu yetu fluid ipo kushoto tu baina ya Martial na Rashford, hawa wapo comfortable kucheza striker ama ku cut in toka kushoto, na ni jambo la kawaida martial kumkuta kushoto japo anachezeshwa kati ama kumkuta Rashford kati japo yeye ni wa kushoto.

Mata alicheza Kulia mechi na WBA, Mata hawezi ku echange na wenzake, hawezi kudrible past player na muda mwingi anakuja katikati hivyo fluid inaharibika kulia.

Ndio maana mshabiki yoyote wa Man Utd anaefahamu hata basics za Formation utaona anataka winga wa kulia na makocha wote kuanzia LVG, mou mpaka Ole wanataka winga Lakini Bwana Mkubwa Woodward anajua zaidi.
Ole alikosea sana kumuondoa Diogo Dalot hiyo ilikuwa ni best option ya right wing basi tu.
 
Double attacking wanachezaje ?[/QUOTE .
Martial,, cavani,,vdb.
Bruno.
........Fredy ..tommy.
Teles. ..Lindleof.. Magwea..wbs

Degea
Hapo VDB anakuwa anaua winger anacheza ndani zaidi..na telles anatekeleza jukumu la kutoa cross ndani..

VDB ....cavani...rashford.
...... Bruno.
...................Fred..Tommy.
Telles..lindleof,, magwea..wbs.

. ...... Degea..
 
Martial.. cavani.. VDB.
Bruno.
Fredy ..tommy.
Teles. ..Lindleof.. Magwea..wbs

Degea
Hapo VDB anakuwa anaua winger anacheza ndani zaidi..na telles anatekeleza jukumu la kutoa cross ndani..

VDB ....cavani...rashford.
Bruno.
Fred..Tommy.
Telles..lindleof,, magwea..wbs.

Degea..
Hii inakuwa 4 3 3 au or 4 2 1 3 ?
 
Kama umeangalia mechi ya West brom, kwa dakika Chache ambazo martial alienda Kushoto, rashford akaenda Kulia na cavani katikati, tulikuwa fluid sana.

Unapozungumzia fluid Attacking kwenye mpira unamaanisha ule uwezo wa wale wachezaji pale mbele kucheza nafasi zaidi ya moja. Wanaposhambulia wanaweza kubadilishana nafasi haraka haraka kutengeneza movement na kuwatoa defenders kwenye nafasi.

Kwa Timu yetu fluid ipo kushoto tu baina ya Martial na Rashford, hawa wapo comfortable kucheza striker ama ku cut in toka kushoto, na ni jambo la kawaida martial kumkuta kushoto japo anachezeshwa kati ama kumkuta Rashford kati japo yeye ni wa kushoto.

Mata alicheza Kulia mechi na WBA, Mata hawezi ku echange na wenzake, hawezi kudrible past player na muda mwingi anakuja katikati hivyo fluid inaharibika kulia.

Ndio maana mshabiki yoyote wa Man Utd anaefahamu hata basics za Formation utaona anataka winga wa kulia na makocha wote kuanzia LVG, mou mpaka Ole wanataka winga Lakini Bwana Mkubwa Woodward anajua zaidi.
Mkuu umeeleza vizuri kuhusu martial na rashford na cavani..
Naomba niweke nyama kidogo kwenye comment yako,,
Ni kwamba mata analazimika kuingia katikati kwa maelezo ya Mwalimu kufuatana na kucheza double defensive medifilder..
Fred na tommy.

Pale mbele mchezaji creative ni Bruno peke yake,,
Kwahyo mata anacheza kati na kuua winger ni ktk kuongeza nguvu eneo la kiungo wa juu..
Ndy maana watu wengi wanazungumzia mfumo wa ole kuchezesha double defensive midifilder..

Siku man u wakipata beki imara hawatachezesha tena double defensive midifilder,,
Na hapo kila mchezaji atacheza kwa mfumo uliozoeleka wa man u kutegemea winger..

Nakuhakikishia hata Sancho akiwasili man u,,still watatumia double defensive medifilder sababu beki ni mbovu..
Ni sawa na bati linavuja sasa tunaweka nylone juu yake ili kupunguza bati kuvuja..

Ole anapaswa anunuwe beki imara,,na winger imara,,
Hapo utaiona man u ile ya Ferguson
 
Double attacking wanachezaje ?
Inakuwa kama hivyo..hapo mbele attacking midifilder ni Bruno na Marta,,

Defensive midifilder ni Fred na tommy.
IMG_20201124_132139_674.JPG
 
Mkuu umeeleza vizuri kuhusu martial na rashford na cavani..
Naomba niweke nyama kidogo kwenye comment yako,,
Ni kwamba mata analazimika kuingia katikati kwa maelezo ya Mwalimu kufuatana na kucheza double defensive medifilder..
Fred na tommy.

Pale mbele mchezaji creative ni Bruno peke yake,,
Kwahyo mata anacheza kati na kuua winger ni ktk kuongeza nguvu eneo la kiungo wa juu..
Ndy maana watu wengi wanazungumzia mfumo wa ole kuchezesha double defensive midifilder..

Siku man u wakipata beki imara hawatachezesha tena double defensive midifilder,,
Na hapo kila mchezaji atacheza kwa mfumo uliozoeleka wa man u kutegemea winger..

Nakuhakikishia hata Sancho akiwasili man u,,still watatumia double defensive medifilder sababu beki ni mbovu..
Ni sawa na bati linavuja sasa tunaweka nylone juu yake ili kupunguza bati kuvuja..

Ole anapaswa anunuwe beki imara,,na winger imara,,
Hapo utaiona man u ile ya Ferguson
Mechi tunazocheza na Holding wawili ni chache kuliko ambazo tunacheza na mmoja.

Kuanzia Post corona tunacheza na holding mmoja tu (matic) mpaka mwanzo wa msimu huu.

Tunacheza na holding wawili baada ya Pogba kuwa out of form na baadae akaumia. Wakati form ya mctominay na Fred ipo juu, na hata hawa wawili sio holding kivile ni Central midfielder, useme wana creativity ndogo.
 
Inakuwa kama hivyo..hapo mbele attacking midifilder ni Bruno na Marta,,

Defensive midifilder ni Fred na tommy.View attachment 1633675
Kuna mfumo fulani unaitwa 4-1-4-1 tulicheza wakati wa LVG, ule unacheza na attacking wawili ila unahitaji Dm anaejielewa, Si fred wala Mc tominay mwenye uwezo wa kucheza mwenyewe, tumeshajaribu mara kibao, ni disaster.
 
Kuna mfumo fulani unaitwa 4-1-4-1 tulicheza wakati wa LVG, ule unacheza na attacking wawili ila unahitaji Dm anaejielewa, Si fred wala Mc tominay mwenye uwezo wa kucheza mwenyewe, tumeshajaribu mara kibao, ni disaster.
Ili ucheze hivyo unahitaji DM world class kabisa kama alivyokuwa Fernandinho au Ndidi kwa kiasi fulani
 
Kuna mfumo fulani unaitwa 4-1-4-1 tulicheza wakati wa LVG, ule unacheza na attacking wawili ila unahitaji Dm anaejielewa, Si fred wala Mc tominay mwenye uwezo wa kucheza mwenyewe, tumeshajaribu mara kibao, ni disaster.
Tangu carik astaafu man u hatujapata kiungo wa chini mwenye akili timamu,,

Wote machizi watupu,,,inategemea na mwezi mchanga..
 
Back
Top Bottom