Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,189
- 46,227
Nimeacha kufuatialia pre &post conference zake..analeta siasa nyingiHuwa najiuliza kauli kama hizi OGS huwa anamwambia nani sana sana?
Hizi ni kauli za kuongelea uwanja wa mazoezi uko au wakati wa half time.
Sisi mashabiki tunataka sababu za kiufundi za kwanini timu haifanyi vizuri sio siasa uchwara zake