Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Morinho hajawahi pandisha Kiwango cha mchezaji yeyote duniani,,
Wachezaji wote anawakuta na viwango vyao..vya uchezaji.

Mimi bado najiuliza kwann ole alimnunuwa VDB na cavani?

Naomba mwenye uelewa anieleze..

Always nasema tatizo ni Ole..
Akija kocha mwingine watu kama Martial hastahili kucheza striker no 9.
Hili ndiyo tatizo la benchi letu la ufundi, yn wanashindwa kubadili mchezaji akawa moto ktk nafasi fulani mpk tusajili? Kocha kazi yake nn ss, ok Kuna academy kule inatumia mamilioni ya dollar so wanakosa wings wa kuwapandisha mpk tusajili? Huu wimbo huwa unaniudhi sn, kila cku ni kelele Sancho Sancho Sancho as if hyo namba ni special sn.
 
Wengi tu..mfano Wenger..van gaal ,,fergerson nk.

Van persi alipokuja. Arsenal alikuwa hachezi striker no 9 ,,baadae akambadilisha akampa makali,

Van gaal..alimbadilisha Valencia kutoka winger hadi beki akawa moto..

Wapo makocha wengi ambao huamini watoto na kuwapandisha viwango,,

Hivi rashford ,,,martial wa van gaali ndy hao?
Wanapata nafasi kumi za wazi wanafunga moja?
Na bado unamuanini?hata morinho asingekubali kumpanga martial over cavani..
Hapo kwetu tume feli..

Tatizo ni ole mkuu...
Hata yule wa Bayern anapandisha viwango wachezaji.
 
Hili ndiyo tatizo la benchi letu la ufundi, yn wanashindwa kubadili mchezaji akawa moto ktk nafasi fulani mpk tusajili? Kocha kazi yake nn ss, ok Kuna academy kule inatumia mamilioni ya shilling so wanakosa wings wa kuwapandisha mpk tusajili? Huu wimbo huwa unaniudhi sn, kila cku ni kelele Sancho Sancho Sancho as if hyo namba ni special sn.
Very strange mkuu
 
Morinho hajawahi pandisha Kiwango cha mchezaji yeyote duniani,,
Wachezaji wote anawakuta na viwango vyao..vya uchezaji.

Mimi bado najiuliza kwann ole alimnunuwa VDB na cavani?

Naomba mwenye uelewa anieleze..

Always nasema tatizo ni Ole..
Akija kocha mwingine watu kama Martial hastahili kucheza striker no 9.
Mourinho hajawahi pamdisha kiwango cha mchezaji!??? Absolute bullocks!!!!
 
★Manchester United goalkeeper Dean Henderson is desperate to leave the club on loan in January, reports The Sun.

Henderson needs to secure more game time to continue his push for an England spot with Bournemouth, Leeds and Brighton among the clubs that could look to take him on loan.★

manutd |
IMG_20201122_181648_262.jpeg
 
Anthony Martial ni mfano dhahiri kuwa kwenye maisha kuna watu wana bahati tuu na maisha hayako fair
And yet asipokuwepo tunakua butu? Unafikiri ni coincidence amerudi tumeanza Kushinda?

Tumecheza Bila Martial mechi 3 (4 ukijumlisha na spurs) tumeshinda mechi 1 tu, na mechi 3 kati ya hizo hatujafunga Goli lolote.

Amerudi Martial mechi 2 sasa zote tumeshinda. Jana tumefanya attempts 17, japo martial hakucheza vizuri lakini ame contribute move nyingi sana Za magoli.
 
Back
Top Bottom