Tatizo ni ole jinsi ya kumchezesha pogba,,
Siku zote hakuna mchezaji world class anayependa kutokea bench,,na kupewa game time ndogo.,,mchezaji anapocheza game time nyingi ndy kunaongeza confidence yake uwanjani. ,,
Nadhani man u inapaswa itengeneze mfumo wa kuchezesha attacking midifilders 2 mbele,,
kwa mfumo huo ,,pogba apewe nafasi ya kuattack zaidi..na hata VDB pia atapata nafasi ya kucheza,,
Badala ya mfumo wa kuchezesha defensive medifilder 2 na attacking medifilder 1.
Mfumo huo wa kuchezesha 2 dmf unamfanya pogba na VDB kukosa nafasi...
Kocha abadilike mfumo.