Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwenye Para ya mwisho

Huyo kocha wa Sotton kwa style yake usije shangaa tukikutana naye, Ole anamnyoosha za kutosha tu

Ole anashinda sana anapokutana na timu za aina hiyo

Ila hata mimi namkubali sana kazi anayofanya yule mwamba pale Sotton
 
Mavi yenu..hata Everton si mlisema wamekuja EPL na kasi ya 5G ...sasa wakakutana na ncha tukawachoma nayo pale nyuma ya makalio
sasa hivi ndio mlichobakiza hicho,kutukana watu matusi, maana mpira umewashinda.
 
★No touch says the Premier League, but Marcus Rashford wasn't so sure...



manutd |
 
Punguza mahaba kwa martial..
Mashabiki wengi wa ligi ya England kuanzia England kwenyewe mpk Tanzania huwa wanavumilia ujinga sn na ndiyo maana hz tm huwa hazifiki mbali ucl, unakuta mchezaji mbovu na anabaatisha lkn mashabiki hawaachi kujipa moyo, kule Spain hakunaga ufala wa kuvumilia wachezaji wazembe wazembe na ndiyo maana utakuta kikosi kizima wachezaji wote wako perfect.
 
Mkuu usitumie nguvu nyingi pliz, Martial is a trash.
 
Anamaanisha kupunguza mahaba kwa Martial hana lolote huyo mchezaji mkuu.
Huo ni mtazamo wako usilazimishe na wengine tuamini unachotaka wewe.

Mimi naamini ni mchezaji mzuri.
Aubameyang mechi ya nane hii hajafunga goli kwenye open play naye ni mchezaji mbaya ?
 
Huo ni mtazamo wako usilazimishe na wengine tuamini unachotaka wewe.

Mimi naamini ni mchezaji mzuri.
Aubameyang mechi ya nane hii hajafunga goli kwenye open play naye ni mchezaji mbaya ?
Mkuu usimuweke Auba kwenye level za Martial cz Auba amesha proof kwmb ni World class je huyo Martial ameproove kwa nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…