Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nani akifungwa sasa kutakuwa na tatizo
Arse8 akifungwa leo kutakuwa na tatizo. Hivyo kuepuka matatizo ni lazima ashinde. Na mipango ya kushinda ipo..

Here we gooo Arsenaneeeeeeeeeeee😂😂😂💪💪💪
 
We can't afford to loose this one guys,,vijana wapambane hawa Arse8 wafe mapema kabisa
 
Leo kama kawaida yetu, mtu anakufa nyingi kama kasimama.

Kikosi naomba kiwe hivi.

Degea
A.w. Saka Lindelof Maguire show

Fred Tomney Fernandez


Matial Rashfod Pogba.

Hicho kikosi Arse8 labda apite juu.
 
Pendekezo: Ole dirisha la usajili January amsajili Mesut Ozil aje acheze wing ya kulia.

Ozil ni dhahabu iliyopo mikononi mwa kipofu hivyo haina thamani yoyote kwake.

Akija atatuongezea threat na dimension upande wa kulia hasa ukizingatia uwezo wake wa kusoma mchezo na kupiga pass za mwisho.

Akicheza hata miezi sita atatupa muda wa kuwapunguzia pressure kina Facundo Pellistri na Amad.

Lakini pia Ozil wetu ajaye Hanibal Mejbir atapata fursa ya kujifunza zaidi kutoka kwake.
 
Back
Top Bottom