Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fred kawa mchezaji muhimu sana kwetu, jamaa mapafu ya mbwa
 
Duh, mwaka Jana lakini ilifika semi final UCL. Everton hata kuingia makundi tu ya UCL sijui Mara ya mwisho ilikuwa lini.
Hata tottenham alifika hizo levels.

Na hiyo sio sababu pekee ya kuifanya iwe timu kubwa.

Na Leicester City nao walichukua EPL.

Hizo sio timu kubwa.

1. Fc Bayern Munich
2. Borusia Dortumund
3. Fc Schakle 04
4. Werder bremen.

Hizo ndo timu kubwa Germany.
 
Schakle 04 na werder bremen zilikuwa kubwa zamani siku hz ni za kawaida mnoooooo
 
Timu za ujerumani ukiondoa Bayern zingine huwa zinafluke msimu mmoja au miwili zinapotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…