Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Soka la kizamani sn hili unaloongelea mkuu yn mchezaji ashindwe kutamba kisa kajaziwa watu upande wake si anahama upande tu cz mchezaji km anaweza basi anaweza tu ukimbana huku anahamia kule na bado anaweza kuleta madhara, ss mchezaji anayetegemea upande mmoja tu wa nn huyo?
si kila mchezaji ni Ronaldo na Messi kwamba akikabwa upande mmoja anahama, hivi leo Bissaka apate mbabe wake atahamia kushoto? hata wachezaji wetu wengi wa ushambuliaji hawana uwezo wa kucheza Kushoto na Kulia, labda kushoto na Kati, Including Martial, Rashford na wengineo.

na pia Mechi kubwa kama hizi Discipline ni muhimu sana, majukumu uliopewa unatakiwa kuyatimiza 101%, unaweza hama nafasi dk 1 tu na hapo hapo ikawa ndio mistake ya kupoteza point 3.
 
Everton amekojozwa tayari..

Msimu huu hii ligi ni hatari..watu hawaangalii usoni
Yaliyo mkuta Evaton huko ni siri yake mwenyewe.
EPL msimu huu hata Leeds anaweza kuchukua.
mimi bado naamini msimu huu tunachallenge ubingwa, bingwa anaweza asifikishe point 90 msimu huu.
 
★Which red is he?


manutd | l
IMG_20201025_225948_258.jpeg
 
★Bruno Fernandes has created more chances [18] than any other player in the Premier League.

10 in his last 2 appearances.


manutd |
IMG_20201025_225536_440.jpeg
 
★Solskjær on Van de Beek: "Don't worry about that, he will get his games — it is easy to say who should be playing, more difficult to say who shouldn't."★

#GGMU

manutd |
IMG_20201025_225446_410.jpeg
 
Back
Top Bottom