Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
hii isijekuwa inalenga kuwapigia chapuo wachezaji wa kiingereza kupata team kwa urahisi....maana ni wachezaji wachache wa nje huwa wanaquality ndogoThe FA has urged Premier League clubs to accept its new system that will block "lower quality foreign players" from joining in the January transfer window.
PTER , Tanayzer , Chief-Mkwawa , Mc cane n.k
Unamleta mchezaji khalafu hachezi...sasa ulimleta ili akae benchi?View attachment 1613092
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Ni aibu kubwa Daniel James kumuweka bench VDB.★Afu kuna watu wanatete ety ulitaka wacheze wote uwanjani kwani hao wanao anza kabla ya VDB hawawezi acha aanze VDB hata kwa mechi moja moja wakapeana Shift afu wataingia kwa baadae ujue vitu vingine Ole anafanya kama hana akili timamu unanunua Mtu afu unamkalisha nje kweli ananikera sana huyu jamaa★
Ni aibu kubwa Daniel James kumuweka bench VDB.
Hiyo haikubaliki kamwe na ni aibu kwa soka kwa ujumla.Ni aibu kubwa Daniel James kumuweka bench VDB.
Na akirudia hili kosa mechi nyingine tukashindwa kuchukua point inabidi afukuzwe na hata sitomuonea huruma..There is no room for multiple errors week after weekNi aibu kubwa Daniel James kumuweka bench VDB.
Ulitaka back up iwe ni ya kiwango duni?★Mimi kwa uelewa wangu tu mala nyingi mtu ananunuliwa ili kuziba Pengo flani na sio kuja kuwa Backup kwa kila mechi.
afu mnachukuaje mchezaji kwa bei kubwa kiasi hicho kwa ajiri ya backup si uharibifu wa pesa pia unachukuaje mchezaji wa kiwango kisicho lingana na timu husika kuwa backup Evra akiongea ooh anajikuta kuwa na maumivu na team kuliko wazawa ujue kuna vitu vinakera unashindwa kuvumilia ila basi tu★
Sema Evra naye anaongea sana..★Mimi kwa uelewa wangu tu mala nyingi mtu ananunuliwa ili kuziba Pengo flani na sio kuja kuwa Backup kwa kila mechi.
afu mnachukuaje mchezaji kwa bei kubwa kiasi hicho kwa ajiri ya backup si uharibifu wa pesa pia unachukuaje mchezaji wa kiwango kisicho lingana na timu husika kuwa backup Evra akiongea ooh anajikuta kuwa na maumivu na team kuliko wazawa ujue kuna vitu vinakera unashindwa kuvumilia ila basi tu★
Ukilalamikia kwanini VDB hachezi una matatizo kidogo...
Ligi imechezwa mechi ngapi?
Ana uzoefu na ligi kiasi gani?(Inatakiwa azoee taratibu)
Alisajiliwa wa kazi gani? ( Uliwahi jiuliza akiumia Bruno nani atacheza?)
Tuache kuwa watu wa lawama jamani
Nisikilize nikwambie, vdb anatakiwa acheze cz ni classic player yn kocha anatakiwa afanye vyovyote awezavyo yule mtu acheze usiniambie hbr za winga.VDB anaweza kucheza winga?