Ila Shaw jana alipiga mwingi, asee tukubali.OGS leo angemuanzisha Telles badala ya Shaw naimani tungeshinda,hasa baada ya kuingia cavan
Changamoto kubwa ya luke shaw,anapoteza sana mipira
cha kushangaza yule swala mechi ya newcastle united ilimshinda ndipo baadae yakafanywa mabadiliko ya kuingizwa pogba tukarudi kwenye mchezo bora.Ole haya majaribio yako na Dani James sasa iwe mwisho..the boy is championship quality.
Thus why watu huwa wanasema kocha wetu ni "substandard"..week moja anafanya right things next week anatoa boko la maana..cha kushangaza yule swala mechi ya newcastle united ilimshinda ndipo baadae yakafanywa mabadiliko ya kuingizwa pogba tukarudi kwenye mchezo bora.
bwana ole alivyo wa ajabu amerudi tena na game plan ile ile.
Cheza mpira ushinde acha kulilia vitu vya kipuuzi..kwahiyo kupata draw na sisi umefurahi sana sio?Kuna litakataka hapa liliropoka baada kupigwa Sita na Spurs, kuwa wanatafuta mnyonge wao walipize kisasi ..kuna lingine likaropoka eti itakuwa ni Chelsea..kwa mpira gani mlionao mshinde sita dhidi yetu?
Kwa huu upumbavu lijitu likikabwa linaanza kusukuma watu uwanjani hamna timu humu
Na bado Refa anapeta
second half dhidi ya newcastle, psg na chelsea:Thus why watu huwa wanasema kocha wetu ni "substandard"..week moja anafanya right things next week anatoa boko la maana..
Nafasi ya James angecheza VdB angeongeza quality passes kule mbele maana Fernandes alikuwa off kimtindo na pia angeongeza idadi ya watu kwenye box..Tumemsajili wa nini VdB?
Ole anafanya majaribio ya James kama last season alivyofanya na kale ka brazil anakuja kushtuka december yupo out of top 4.Thus why watu huwa wanasema kocha wetu ni "substandard"..week moja anafanya right things next week anatoa boko la maana..
Nafasi ya James angecheza VdB angeongeza quality passes kule mbele maana Fernandes alikuwa off kimtindo na pia angeongeza idadi ya watu kwenye box..Tumemsajili wa nini VdB?
Fred na Scott wote hawa ni poor Offensively,defensively wako vizuri,sasa inabidi uwe na wachezaji wanaotengeneza nafasi na kuzitumia vizuri ili uweze kushinda mechi kama hizi..
Game ya PSG Pogba alivyoingia aliongeza quality kule mbele na possession ikaongezeka na tukapata bao,kitu ambacho hakikuwepo kabla ya Pogba kuingia
Inabidi tuchukue point asee,maana wakubwa wengine wanapoteana,Ole inabidi ajitahidi ili baadae tuwe nafasi nzuri
Ovyo kabisaOle anafanya majaribio ya James kama last seasob alivyofanya na kale ka brazil anakuja kushtuka december yupo out of top 4.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Kwa quality ya James inabidi aondoke United au abadilishwe kama unavyosema awe RB na akomazwe kweli kweli..Telles ana delivery za hatari sana Shaw asubiri,so LB hakuna shida labda Ole azidishe mahaba kwa Shaw asiyeweza kupiga krosi.second half dhidi ya newcastle, psg na chelsea:
zimetuacha na funzo moja kubwa sana, kumbe tunaweza kucheza vizuri zaidi bila ya kutegemea uwepo wa winga kwa kila pembe.
fred + scott + pogba + bruno = maadui wanateseka sana na timu inakuwa na muunganiko bora sana kila eneojambo la muhimu zaidi linalopaswa kufanyiwa kazi ni hawa fullback wetu ambao bado wanachangia huduma ndogo sana tunapovamia lango la adui, wanapaswa waboreshe viwango vyao au tunapaswa tutafute njia nyengine ya kuondokana na hili tatizo.
bado nauliza huyu daniel james hawezi kucheza fullback?
endelea kusubiria VAR .....Leicester leo lazima awabake mchana kweupeLet me lllllmllpllppl
,,
?,..,
,
.
, ,
.,
. Llplp0l0
L
Lp0plpll
0pl0
L0pp00l
![]()
Shaw mbona tunam-underrate sana. Anaweza sana kugongeana ujue. Yupo poor kwenye marking tuu, lakini ana speed na anaweza ile gongagongaKwa quality ya James inabidi aondoke United au abadilishwe kama unavyosema awe RB na akomazwe kweli kweli..Telles ana delivery za hatari sana Shaw asubiri,so LB hakuna shida labda Ole azidishe mahaba kwa Shaw asiyeweza kupiga krosi.
Kimsingi hiki kikosi Ole ashindwe yeye tu kupata best of it..
Kabisa mkuu binafsi pia namkubali Sana shaw but shida yake huwa ipo kwenye end product maana anakaba vizuri anasogea mbele vizur na hizo gonga ulizozitaja hapo juu.Shaw mbona tunam-underrate sana. Anaweza sana kugengeana ujue. Yupo pooe kwenye marking tuu, lakini ana speed na anaweza ile gongagonga
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Final pass mkuu ndo cha msingi..man city wanapiga gongogonga mechi nzima na wanafungwa au draw..Shaw mbona tunam-underrate sana. Anaweza sana kugengeana ujue. Yupo pooe kwenye marking tuu, lakini ana speed na anaweza ile gongagonga
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Vdb sio winga, tunarudi pale pale, james amecheza sababu Martial yupo suspended, Woodward angemleta Sancho wala usingemuona James pale.Thus why watu huwa wanasema kocha wetu ni "substandard"..week moja anafanya right things next week anatoa boko la maana..
Nafasi ya James angecheza VdB angeongeza quality passes kule mbele maana Fernandes alikuwa off kimtindo na pia angeongeza idadi ya watu kwenye box..Tumemsajili wa nini VdB?
Fred na Scott wote hawa ni poor Offensively,defensively wako vizuri,sasa inabidi uwe na wachezaji wanaotengeneza nafasi na kuzitumia vizuri ili uweze kushinda mechi kama hizi..
Game ya PSG Pogba alivyoingia aliongeza quality kule mbele na possession ikaongezeka na tukapata bao,kitu ambacho hakikuwepo kabla ya Pogba kuingia
Inabidi tuchukue point asee,maana wakubwa wengine wanapoteana,Ole inabidi ajitahidi ili baadae tuwe nafasi nzuri
Ole anaonekana kushindwa kumtengeneza huyu muheshimiwa kuwa mchezaji wa hatari (si kwamba daniel ni mbovu sana), kinachoshangaza bado United tumeendeleza tabia ile ile ya kuwakumbatia wachezaji walioshindwa kufikia malengo yetu badala ya kuwauza kwa fedha ilio bora.Kwa quality ya James inabidi aondoke United au abadilishwe kama unavyosema awe RB na akomazwe kweli kweli..Telles ana delivery za hatari sana Shaw asubiri,so LB hakuna shida labda Ole azidishe mahaba kwa Shaw asiyeweza kupiga krosi.
Kimsingi hiki kikosi Ole ashindwe yeye tu kupata best of it..
mkuu kwa mechi ya jana kama martial angelikuwepo basi naamini daniel james angelipelekwa upande wa kulia.Vdb sio winga, tunarudi pale pale, james amecheza sababu Martial yupo suspended, Woodward angemleta Sancho wala usingemuona James pale.
Huyo martial naye anakufurahisha game chache tu , mbona alivyokuwepo hakufunga magoli mnayotaka .... Mkuu HV unajua martial game zote hizo hajatoka na on target hata moja mpk akatolewa na red card? Bora awe backup ya cavani tuVdb sio winga, tunarudi pale pale, james amecheza sababu Martial yupo suspended, Woodward angemleta Sancho wala usingemuona James pale.
Mechi ya jana Alivyoingia pogba na Cavani tulikuwa tumetawala mpira ila hatukuwa na threat yoyote kwenye goli, sababu Fernandez alipelekwa winga ya Kulia, Fernandez sio winga, Vdb pia sio winga, haitusaidii chochote hawa jamaa wakikaa pembeni,
Ila Alivyotoka Mc tominay na Kuingia Greenwood, Fernandez akarudi kati ghafla tukaanza tena kuwa Threat kwenye Goli lao, dk za mwisho tumewakosa Nafasi za kutosha tu.
Na wale Haters wa Martial nawakumbusha tu, Record zetu mbovu bila Martial zinaendelea.
Sio lazima acheze kama winger per se..mimi mechi zote alizocheza VdB kama Sub amekuwa akikaa upande wa kushoto..Vdb sio winga, tunarudi pale pale, james amecheza sababu Martial yupo suspended, Woodward angemleta Sancho wala usingemuona James pale.
Mechi ya jana Alivyoingia pogba na Cavani tulikuwa tumetawala mpira ila hatukuwa na threat yoyote kwenye goli, sababu Fernandez alipelekwa winga ya Kulia, Fernandez sio winga, Vdb pia sio winga, haitusaidii chochote hawa jamaa wakikaa pembeni,
Ila Alivyotoka Mc tominay na Kuingia Greenwood, Fernandez akarudi kati ghafla tukaanza tena kuwa Threat kwenye Goli lao, dk za mwisho tumewakosa Nafasi za kutosha tu.
Na wale Haters wa Martial nawakumbusha tu, Record zetu mbovu bila Martial zinaendelea.