NtYga
JF-Expert Member
- Aug 23, 2018
- 4,945
- 12,695
★Jamaa wanacheka kama vile wana miaka 4 wanafahamiana hapo OT daaah★
Pogba mwana sn pia ana roho ya kitanzania sema basi tu.
Pogba mwana sn pia ana roho ya kitanzania sema basi tu.
Pigia mstariHv kesho Cavani atakuwepo auuu....
Lindelof, Tuanzebe, Teden Mengi, Luke Shaw, Alex Telles, Scot Mc tominay na Matic wanaweza kucheza centreback.Lindelof na nani sijui mana bora hata Rojo kwenye kikosi cha UEFA angekuwepo angesaidia na Lindelof ila bahati mbaya kwenye kikosi hayupo
Fadhila kwa lipi ?Kila la kheri mkuu, najua yote ni kwasababu unataka kulipa fadhila.
Here we go
Pogba huwa hachezi DM mkuuOle Out.
Ole usije tuletea ukuda wa kumuanzisha pogba DM wakati CB hawaeleweki. McTomminay Fred, Mata piga benchi Martial Weka MBE MVP.
na hawata amini★
Here we go
Mh unachezesha wachezaji ambao hawajawahi kucheza pamoja hata mara moja utegemee matokeo mazuri ?Napenda kuona hiki kikosi.
Henderson
Awb Lindelof Tuanzebe Telles
McTomminay Fred
VDB Mata fernandes
Rashford
Jamaa ananikera Sana na hzo comments zake anaanza na ole out, au akimaliza anaweka ole out!Pogba huwa hachezi DM mkuu
Mh tusikereke kwa maoni na mitazamo ya wenzetu labda kama wanatutukana.Jamaa ananikera Sana na hzo comments zake anaanza na ole out, au akimaliza anaweka ole out!
Roma haikujengwa siku moja, Ni swala la muda tu , kila kitu kitaenda poa , ok ole atoke , aje Nani ? Poch, ? Simione ? Allegry ? Wakija wanaguarrantee ubingwa season hii ???
Tutawafunga hapo hapo darajaniTar 24.
Chelsea vs Man utd
My fav team The Blues, I hope you'll make it![]()
★
Mbona hapo Arsenal8 siwaoni?