Tukiachana na mapungufu ya bodi na Ed Woodward hii timu toka alivyoondoka Fergie ni kama hawatrain vizuri,atleast kipindi cha LVG mpira ulikuwa unapigwa,yaani unaona philosopy yake..Kaja Moyes tukawa utopolo,kaja Mourihno na soka lake la kubahatisha bahatisha haeleweki kabisa ili mradi timu inapata ushindi,huyu Ole ndo kabisa haeleweki anataka timu yake ichezeje..Ed kama utamsack Ole basi pia nafasi ya Director of Football iletwe na ijazwe na mtu wa mpira kweli kabla hata ya kuappoint kocha mwingine.
Inaonekana hata intensity ya mazoezi bado ipo chini maana wachezaji hata fiziki zao bado sana..
✓Maguire ametoka leicester ambako alikuwa kitasa,mfungaji wa magoli kwenye mipira iliyokufa n.k..kaja United kacheza vizuri kidogo na baada ya hapo amekuwa utopolo
✓AWB gemu zake za mwanzo alikuwa ni mtu anayejiamini na hakuna mtu alikuwa anampita..now days upande wake umekuwa utopolo mfano hakuna
✓As a matter of fact Fernandes wa February na March sio huyu tunayemuona sasa..Na kuna tetesi ile gemu ya spurs half time aliwasha moto balaa kwa kuwamind teammates na Manager pia ndo maana hakurudi second half
✓Daniel James gemu za mwanzo alikuwa unstopable,ila kwa sasa karudi kuwa Engllish League 1 player
✓Uwezo wa wachezaji wetu unaporomoka day by day
°°°°It seems like Ole,Carrick,McKenna na Phelan hawaleti vitu vizito kwenye meza°°°°
"""Kwa kikosi hiki tulichonacho naamini tukipata kocha anayejua soka ni lazima timu icheze kama timu inayoweza kutawala ulaya soon""
For the meantime tujifiche kwenye kivuli cha timu kukosa fitness,then wachezaji wakipata fitness tuambiane