Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kagawa anasemekana bado hana match fitness. Zaha bado dogo, ila anahitaji kuchezeshwa hata kidogo kidogo ili kujenga kujiamini.

Nimesikia Fellaini tayari is a done deal. Tunahitaji sana kuongeza ubunifu pale kati na kupata mtu wa box to box. Kama kweli tukiwapata Fellaini na Herrera, basi timu itakuwa poa sana.

Namwini sana Moyes, ni kocha mzuri sana. Ila watu wanataka miujiza, wakati ndiyo kwanza mechi 3 za ligi. Bado anajaribu kuweka staili yake ya uchezaji.

Defensively, tupo poa..goli 2 tu ndizo zimeingia nyavuni kwa United hadi sasa...ila Evra anapaswa awe anasaidiwa na Buttner. Rafael akirudi, Jones anaweza kuwa anasaidiana na box to box mid atakayesajiliwa. Huku Antonio akisaidiana na Zaha na Nani. Young hata mimi naanza kukata naye tamaa, sijui majeruhi ama!!! Nani anapaswa apewe nafasi sana za kuanza na Antonio, huku Zaha akiwasaidia.

Kagawa akiwa fit, atasaidiana sana na Rooney. Huku RvP, Hernandez na Welbeck wakipiga forward. Nilimwaminia sana Cleverley, lakini naona kama ananiangusha katika kupeleka pasi kwa forwards, anacheza kama namba 6 bana!! Hivyo Carrick na Anderson watasaidiana na midfielders watakaosajiliwa pia.

Cc: mfarisayo
Uchambuzi wako umetulia. nikiongezea kidogo tu kwamba, Ni wakati sasa wa Kagawa na Anderson kuonyesha ubora wao hivyo itakua ni jambo jema Moyes akiwapa nafasi.
 
Last edited by a moderator:
Uchambuzi wako umetulia. nikiongezea kidogo tu kwamba, Ni wakati sasa wa Kagawa na Anderson kuonyesha ubora wao hivyo itakua ni jambo jema Moyes akiwapa nafasi.

Kabisa. Jamaa inabidi wapewe nafasi. Kagawa ni bonge la playmaker; atasaidia sana timu.
 
Nyie mashabiki wa Arsenane mnakuja kwa mbwembwe badae mnamwachia Wacha na Balantanda jukwaani tunakuomba uwe unatembelea haya majukwaa hadi msimu unapoisha sio mkifungwa mnakimbia

......samahani naomba kuuliza,
Eti jukwaa la Manchester United limefutwa?

Thread inasomeka "NEW EVERTON!"

😆😆😆
 
Last edited by a moderator:
......samahani naomba kuuliza,
Eti jukwaa la Manchester United limefutwa?

Thread inasomeka "NEW EVERTON!"

😆😆😆



Bila samahani, majukwaa bado yapo yote pale old Trafford. Vipi unahitaji ticket nikupe bei zake?
 
......samahani naomba kuuliza,
Eti jukwaa la Manchester United limefutwa?

Thread inasomeka "NEW EVERTON!"


Meli ya Arsenal ikianza kuyumba na wewe unakimbilia kule MMU,
January tunakuja mchukua Ramsey naona ameshakomaa
 
Meli ya Arsenal ikianza kuyumba na wewe unakimbilia kule MMU,
January tunakuja mchukua Ramsey naona ameshakomaa

....heheh... Belo, mmu ndio mpango mzima hapa jf, hebu cheki hii....

...Robin Van Persie, has yet to be convinced by new Old Trafford boss Moyes, who replaced Sir Alex Ferguson in the summer.

The Dutchman has told pals he is missing Fergie, who was key in persuading him to quit Arsenal for Old Trafford a year ago in a £25m deal.

....umeona ee?! Yaani RvP anajiona kama anachezea EVERTON tu sasa.
Habari ndio hio...
 
Last edited by a moderator:
Nyie mashabiki wa Arsenane mnakuja kwa mbwembwe badae mnamwachia Wacha na Balantanda jukwaani tunakuomba uwe unatembelea haya majukwaa hadi msimu unapoisha sio mkifungwa mnakimbia

Tutaendelea kuwepo kuishuhudia Maneverton under Moyes & Phil Nevile mkuu hahahahahaha.
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • ca5e879cca1363719b4946aecc8ea271.jpg
    ca5e879cca1363719b4946aecc8ea271.jpg
    44.7 KB · Views: 84
  • 1c5907c1b9b4e2bc7a3ee240232089bb.jpg
    1c5907c1b9b4e2bc7a3ee240232089bb.jpg
    139.1 KB · Views: 84
Huyu fellaini anatakiwa aongeze ungangari na pia atoe pasi za mwisho,akiweza hayo atakuwa wa faida sana kwetu
 
Rooney: Some people seem to be questioning my commitment to the England squad and the fact I had to pull out of the 2 games. There's nothing I would like more than to be helping the lads in the qualifiers. I'm sure people will see from these images the reason why I won't be able to play.

999761_620325868026385_664437576_n.jpg


Get Well Soon
 
Huyu fellaini anatakiwa aongeze ungangari na pia atoe pasi za mwisho,akiweza hayo atakuwa wa faida sana kwetu

Nani kasaini mkataba wa miaka 5; inaonekana Moyes anataka kumtumia.
 

Attachments

  • edbab29585cff7c08363dfe2f46b20fa.jpg
    edbab29585cff7c08363dfe2f46b20fa.jpg
    44.5 KB · Views: 92
Rooney: Some people seem to be questioning my commitment to the England squad and the fact I had to pull out of the 2 games. There's nothing I would like more than to be helping the lads in the qualifiers. I'm sure people will see from these images the reason why I won't be able to play.

999761_620325868026385_664437576_n.jpg


Get Well Soon

Dah Poleni wakuu, atapumnzika mambo ya ushoga lakini khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

Nani kasaini mkataba wa miaka 5; inaonekana Moyes anataka kumtumia.


Huyu Moya naye kwa nini anakuwa na roho ya korosho namna hii, si angempa miaka kumi tu kieleweke. Haya Wacha tuangalie mambo ya NY chacha.
 
Back
Top Bottom