Nzi,
Last season tulicreate chance nyingi sana za kufunga,msimu huu limekuwa tatizo nashangaa kwa nini Moyes hataki kuwatumia Zaha na Kagawa,I hope Rafael atarudi soon Good thing msimu huu defence imeimprove sana
Nzi,
Last season tulicreate chance nyingi sana za kufunga,msimu huu limekuwa tatizo nashangaa kwa nini Moyes hataki kuwatumia Zaha na Kagawa,I hope Rafael atarudi soon Good thing msimu huu defence imeimprove sana
Kagawa anasemekana bado hana match fitness. Zaha bado dogo, ila anahitaji kuchezeshwa hata kidogo kidogo ili kujenga kujiamini.
Nimesikia Fellaini tayari is a done deal. Tunahitaji sana kuongeza ubunifu pale kati na kupata mtu wa box to box. Kama kweli tukiwapata Fellaini na Herrera, basi timu itakuwa poa sana.
Namwini sana Moyes, ni kocha mzuri sana. Ila watu wanataka miujiza, wakati ndiyo kwanza mechi 3 za ligi. Bado anajaribu kuweka staili yake ya uchezaji.
Defensively, tupo poa..goli 2 tu ndizo zimeingia nyavuni kwa United hadi sasa...ila Evra anapaswa awe anasaidiwa na Buttner. Rafael akirudi, Jones anaweza kuwa anasaidiana na box to box mid atakayesajiliwa. Huku Antonio akisaidiana na Zaha na Nani. Young hata mimi naanza kukata naye tamaa, sijui majeruhi ama!!! Nani anapaswa apewe nafasi sana za kuanza na Antonio, huku Zaha akiwasaidia.
Kagawa akiwa fit, atasaidiana sana na Rooney. Huku RvP, Hernandez na Welbeck wakipiga forward. Nilimwaminia sana Cleverley, lakini naona kama ananiangusha katika kupeleka pasi kwa forwards, anacheza kama namba 6 bana!! Hivyo Carrick na Anderson watasaidiana na midfielders watakaosajiliwa pia.
Cc: mfarisayo
Ngoja tusubiri suprise ya usajili leo,in general timu iko vizuri tatizo kubwa ni kutengeneza nafasi za kufunga
![]()
Judas Iskariot hakucheza leo .... .
![]()
Cleverly hakuwepo .... ... .
![]()
![]()
Daniel Sturridge gave Liverpool the lead with a header
in the fourth minute
![]()
Right place: Sturridge flicked home Daniel Agger's header from two yards
![]()
On form: Sturridge has scored in all four
of Liverpool's matches this season
![]()
Embrace: Sturridge hugs manager Brendan Rodgers
after giving Liverpool the lead
Manure folks ooops Mashoga .... ... look away now! Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee ushoga haulipi kwenye soka.
Ngoja tusubiri suprise ya usajili leo,in general timu iko vizuri tatizo kubwa ni kutengeneza nafasi za kufunga
Plan Moyes kumsajili Baines au Contrecao imeshindwa, Moyes alikuwa analenga kumtumia Evra kama Winga ili kuleta ufanisi kwenye Cross Winga waliopo wameshindwa kabisa kutengeneza nafasi kwa Washambuliaji
Bado naamini Nani na Antonio ni wingers wazuri tu. Moyes anapaswa awaanzishe wote, huku wakisaidiwa na Zaha.
Kwa upande mwingine, kama anataka Evra acheze kama winger, basi amtumie dogo Buttner katika namba 3. Ili Evra aende mbele.
Lakini mimi naona option ya kuwatumia Nani na Antonio ndiyo yenyewe.
Anyway, Moyes ndiyo mwamuzi wa mwisho.
........hahaha, na mshaanza kucheza kama Everton mjue!
Na pia watachukua nafasi ya Everton msimu huu.