BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Mbu wewe nilijua tu utakuwa umeangusha mstari matata..Bravo to Liverpool, mie nimenywea kama maji ya kwenye simtak🙂......salaam aleykum BelindaJacob, salaaam aleykum Belo, salaam aleykum Manda, ndugu, jamaa na marafiki wa Man United!...
...Wamejificha saa hizi wanachungulia kwa mbaliiii..... BelindaJacobs & Co where are you!? We miss you 🙂🙂🙂
Tupo sana BAK, si unajua midadi ya mpira mpaka 90 mnts..weekend imeisha vibaya kweli kweli, agrrrrrrr!! TEAMMAJANGA
Last edited by a moderator: